Waganda watumia Biblia kumshawishi Museveni kung’oka, Hongera Magufuli

Waganda watumia Biblia kumshawishi Museveni kung’oka, Hongera Magufuli

Huo ndo ugonjwa mlionao, maana kila mtu anayefikiri tofauti na ninyi basi ni wa Lumumba. Ndio maana mkapewa lile jina la Wanyama mbumbumbu wanaoingia tu katika hatari bila tahadhari. Aliyewapa lile jina alitafakari sana, kweli akawatendea haki
Najua hii ndio ajira yako lazima ukomae
 
Siku hizi mnalipwa kwa post au kutwa???

Ni kama vile Mtukufu Mbw anavyokulipa wewe kwa kutukana humu. Maana nasikia anakulipa kutokana na idadi ya matusi uliyoimwagia serikali na viongozi wake.
 
Ata sijui uwa mnafikiria nini,afu nyie jf siwaelewi upuuzi uwa amfuti
 
Ata sijui uwa mnafikiria nini,afu nyie jf siwaelewi upuuzi uwa amfuti

Inabid waanze na upuuzi uliouandika hapa, maana kwa mwenye akili lazima akuone wewe hamnazo tu. Siku zote dawa huwa ni chungu, lazima uikubali ili upone. Na wewe lazima ukubali hoja ambazo ubongo wako hauzitaki ndo uelimike vinginevyo utaendelea kuwa mburula tu.
 
Back
Top Bottom