Waganga hutengeneza dawa zao kwa kutumia nini?

Waganga hutengeneza dawa zao kwa kutumia nini?

Forgotten

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,518
Reaction score
10,839
Habari, wana-JF. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza ningependa kujua waganga hutumia nini kutengeneza dawa zao? Mimi binafsi sijawahi kufika kwa mganga ila nimeshaona dawa wanazopewa watu kwaajili ya kujitibu au kutatua matatizo mbalimbali ambayo wanaamini waganga wanaweza kuwasaidia.

Dawa hizo mara nyingi huwa ni nyeusi, kitu kinachonipa maswali hizi dawa wanatumia vitu gani kutengeneza?

Najua JF ni jamii kubwa sana, hivyo naamini leo nitapata majibu ya maswali yangu juu ya Sayansi hii ya Mu-Afrika.

Mshana Jr
 
Dawa nyingi za kienyeji huwa ni Miti na mizizi

Sasahivi Kuna research inaendelea ya Wachina, wanataka kufungua hospitali hapa Bongo itakayotumia dawa za mitishamba kutibu

Badala ya chemicals za viwandani
 
Habari, wana-JF. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza ningependa kujua waganga hutumia nini kutengeneza dawa zao? Mimi binafsi sijawahi kufika kwa mganga ila nimeshaona dawa wanazopewa watu kwaajili ya kujitibu au kutatua matatizo mbalimbali ambayo wanaamini waganga wanaweza kuwasaidia.

Dawa hizo mara nyingi huwa ni nyeusi, kitu kinachonipa maswali hizi dawa wanatumia vitu gani kutengeneza?

Najua JF ni jamii kubwa sana, hivyo naamini leo nitapata majibu ya maswali yangu juu ya Sayansi hii ya Mu-Afrika.

Mshana Jr
Dawa nyingi za waganga wa asili hazitibu kisayansi, namaanisha hazitumii kanuni za ki-kemia au ki-biologia, bali hutibu kwa kutumia nguvu za kiroho. Huwezi kutumia mti uliochomwa hadi kuwa mkaa ukapona kwani mkaa ni carbon na carbon huwa ni un-reactive, haiwezi kumeng'enywa na kuingia mwilini.

Hivyo basi mara nyingi dawa hizo nyeusi ni vitu vilivyochomwa moto na kuwa mkaa na kusagwa. Baadhi ya vitu wanavyochoma moto waganga na kutengeneza dawa ni:

1. Miti shamba
2. Sehemu mbalimbali za wanyama
3. Mifupa
4. Miili ya watoto
5. Maiti za watu
 
Huwa ni majini/mizimu yanawapa maelekezo kuhusu hizo dawa,unapoenda kwa mganga Kuna Hela unaweka mahali ,baadae majini wanatoa maelekezo kuhusu hiyo Hela itumike kwenye labda kununua mbuzi au kitu chochote kwa ajili ya kafara then mganga atapewa maelekezo ya madawa husika na mizimu au majini yake
 
Habari, wana-JF. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza ningependa kujua waganga hutumia nini kutengeneza dawa zao? Mimi binafsi sijawahi kufika kwa mganga ila nimeshaona dawa wanazopewa watu kwaajili ya kujitibu au kutatua matatizo mbalimbali ambayo wanaamini waganga wanaweza kuwasaidia.

Dawa hizo mara nyingi huwa ni nyeusi, kitu kinachonipa maswali hizi dawa wanatumia vitu gani kutengeneza?

Najua JF ni jamii kubwa sana, hivyo naamini leo nitapata majibu ya maswali yangu juu ya Sayansi hii ya Mu-Afrika.

Mshana Jr
Unajua kwanini dawa za kienyeji/za waganga zinaitwa tiba za mitishamba? Ni kwa sababu assilimia 95 ya hizo dawa zinatokana na miti na mimea
Karibia kila mti na kila mmea ni tiba ya maradhi Fulani.. Kwa wale waliokwisha ijua hiyo siri hawahangaiki kabisa na tiba za hospital
Habari, wana-JF. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza ningependa kujua waganga hutumia nini kutengeneza dawa zao? Mimi binafsi sijawahi kufika kwa mganga ila nimeshaona dawa wanazopewa watu kwaajili ya kujitibu au kutatua matatizo mbalimbali ambayo wanaamini waganga wanaweza kuwasaidia.

Dawa hizo mara nyingi huwa ni nyeusi, kitu kinachonipa maswali hizi dawa wanatumia vitu gani kutengeneza?

Najua JF ni jamii kubwa sana, hivyo naamini leo nitapata majibu ya maswali yangu juu ya Sayansi hii ya Mu-Afrika.

Mshana Jr
 
Usipende kujua unaweza chizika kuna vitu vingi mchanganyiko kuna mafuta ya ......
 
Back
Top Bottom