🤣Mkuu ni kama unataka kukwepa lakini mchungaji kugongewa sio ishu ni wale waumini wa kike🤣mke anaweza akakunyima ustumie glass fulan nyumbani Ila mchungaji akapewaBaltazar ala mke wa mchungaji wake.
Mganga aenda polisi kuripoti kuibiwa TV.
Kwo sisi hatuwapi matumainiWanatupa tumaini jipya sana pale mioyo iliyo pondeka
Kwako Mrs Besyige . Tunaomba jibu.Hakuna watu wanaokula ya mwanamke pesa kiulaini kama waganga na wachungaji🤣
Dah Leo nimeenda kwenye Misa moja hivi jioni ya jumuiya Sasa kwa yale magoti ambayo mchungaji alikuwa akipigiwa noma na wale wanawake ebwana Dah 🤔
Wanawake kwa wachungaji na waganga hawafui dafu mwanangu!
👉Nihitimishe tu Yani Laiti kama Ile adabu wanayoonyesha kwa waganga na wachungaji wangetuonyesha na sisi dunia ingekua sehemu salama sana!
Mtanisamehe Sikupiga picha maadili si ya Misa. (najua ushahidi kwa jf ni muhimu)
Kumasii huko
By jesus, huyu huyu ambae hakuwahi kuwa na mwanamke?
Kumasi ujanja ujanja Kama MigoMigo tu.Kumasii huko
Gobole sijui atakuwa ameifunga na mapira?
Labda Gabriel Jesus au Jesus Navas.By jesus, huyu huyu ambae hakuwahi kuwa na mwanamke?
Huenda alimaanisha hao 😂Labda Gabriel Jesus au Jesus Navas.
Hapo waumini hawaoni Hilo utaskia ...Ni mtumishi wa Mungu .. mpakwa mafuta wa bwana usimnene vibaya.Gobole sijui atakuwa ameifunga na mapira?
Ngumu kuamini Yesu alipiga mbuno kama hizo za mwamba.Huenda alimaanisha hao 😂