Waganga na Wachungaji mnawapa nini hawa Wanawake?

Waganga na Wachungaji mnawapa nini hawa Wanawake?

Inabidi utuheshimu sisi waganha tunachangia kustawi kwa uchumi wa nchi na mshikamano wa familia

Wafanyabiashara wote wanatutegemea sisi ili mambo yao yaende.

Sisi ndio msingi wa uchumi wa nchi ya hii kuanzia machinga, boda boda mama ntilie mpaka wamiliki wa viwanda wanatutegemea sisi.

Kuwa na adabu
 
Inabidi utuheshimu sisi waganha tunachangia kustawi kwa uchumi wa nchi na mshikamano wa familia

Wafanyabiashara wote wanatutegemea sisi ili mambo yao yaende.

Sisi ndio msingi wa uchumi wa nchi ya hii kuanzia machinga, boda boda mama ntilie mpaka wamiliki wa viwanda wanatutegemea sisi.

Kuwa na adabu
🤣Ifike mahala Muache utapeli na ramli chonganishi
 
Hakuna watu wanaokula ya mwanamke pesa kiulaini kama waganga na wachungaji🤣

Dah Leo nimeenda kwenye Misa moja hivi jioni ya jumuiya Sasa kwa yale magoti ambayo mchungaji alikuwa akipigiwa noma na wale wanawake ebwana Dah 🤔


Wanawake kwa wachungaji na waganga hawafui dafu mwanangu!

👉Nihitimishe tu Yani Laiti kama Ile adabu wanayoonyesha kwa waganga na wachungaji wangetuonyesha na sisi dunia ingekua sehemu salama sana!

Mtanisamehe Sikupiga picha maadili si ya Misa. (najua ushahidi kwa jf ni muhimu)
Wanakula pesa na uchi pia.
Kama una mwanamke huko pole sana
 
Back
Top Bottom