Waganga na Wachungaji mnawapa nini hawa Wanawake?

Inabidi utuheshimu sisi waganha tunachangia kustawi kwa uchumi wa nchi na mshikamano wa familia

Wafanyabiashara wote wanatutegemea sisi ili mambo yao yaende.

Sisi ndio msingi wa uchumi wa nchi ya hii kuanzia machinga, boda boda mama ntilie mpaka wamiliki wa viwanda wanatutegemea sisi.

Kuwa na adabu
 
🤣Ifike mahala Muache utapeli na ramli chonganishi
 
Wanakula pesa na uchi pia.
Kama una mwanamke huko pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…