Waganga wa jadi na nguvu za kiume

Waganga wa jadi na nguvu za kiume

Copied from drmanyuki.com....:

<TABLE width=344><TBODY><TR><TD height=154 vAlign=top width=336>Medicine for enlargement, powerful erection, marriage problems the best in Africa and enjoyment in bed the medicine is in liquid form mixed with fresh honey known as Harai
Dosage
Use for 21 days morning one (spoon) and evening one (spoon)

Prices
USD 250 per dose 21 days

</TD></TR><TR><TD vAlign=top>Medicine for powerful erection and making it longer especially for those with smaller parts many people have used it and it does not do any harm and it makes the inch to 7 from 2
Dosage
Smearing
Swallowing
inoculation

Prices
USD 350.
And for women who can not reach culmination an they do not enjoy on bed
Dosage
Swallowing
Smearing
Prices
USD 150

</TD></TR><TR><TD height=194>Kazi kweli kweli!
</TD></TR></TBODY></TABLE>
 
copied from drmanyuki.com....:

<table width=344><tbody><tr><td height=154 valign=top width=336>medicine for enlargement, powerful erection, marriage problems the best in africa and enjoyment in bed the medicine is in liquid form mixed with fresh honey known as harai
dosage
use for 21 days morning one (spoon) and evening one (spoon)

prices
usd 250 per dose 21 days

</td></tr><tr><td valign=top>medicine for powerful erection and making it longer especially for those with smaller parts many people have used it and it does not do any harm and it makes the inch to 7 from 2
dosage
smearing
swallowing
inoculation

prices
usd 350.
and for women who can not reach culmination an they do not enjoy on bed
dosage
swallowing
smearing
prices
usd 150

</td></tr><tr><td height=194>kazi kweli kweli!
</td></tr></tbody></table>

hizo bei tu zinatosha kuwaambieni ni utapeli mtupu!
 
SERIKALI imewataka waganga wa jadi kuondoa mabango ya matangazo katika maeneo mbalimbali nchini, yanayohusu kuongeza nguvu za kiume na mvuto wa kimapenzi.

Tamko hilo, lilitolewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Chiku Galawa katika maadhimisho ya siku ya ukimwi Duniani ambayo kitaifa yalifanyika mkoani Morogoro na kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijni Dar es Salaam jana.

Galawa alisema waganga hao, wanapaswa kuondoa mabango hayo kwa kuwa yanachochea watu kufanya mapenzi na wakati mwengine kufanya ngono ambazo si salama na kuambukizwa Virusi Vya Ukimwi (VVU).

source : Mwananchi Wednesday, 01 December 2010
 
Si kila mwanaume aliye rijari lazima aambukize/apate maambukizi ya ukimwi. Vile vile, kama ilivyo sasa, wanaume wengi wakiwa na tatizo la nguvu za kiume, maambukizi yatakwisha/kupungua. Nadhani huyo Mh. kiongozi wetu ameteleza kwenye fikra, kama alidhani kuwa huo ni ufumbuzi wa kuondoa/kupunguza maambukizi ya VVU.
 
Nimekuwa nikisoma kwenye magazeti na vipeperuhi mbalimbali kuhusu dawa mbalimbali hasa kwenye ile nyanja ya mapenzi/ngono kama ifuatavyo:

1) Kurefusha/kunenepesha uu.me

2) Kuongeza nguvu za kiume (wakidai kuwa kama huwa unakwenda safari moja tu, basi sasa utaweza kwenda safari hata nne)

3) Kuchelewa kufika kileleni.

Swali langu ni dogo tu: Kuna yeyote ambaye amewahi kutumia dawa yoyote kati ya hizo na matokeo yalikuwaje?

Feel free to share your experience. Sharing is caring!
 
Nimekuwa nikisoma kwenye magazeti na vipeperuhi mbalimbali kuhusu dawa mbalimbali hasa kwenye ile nyanja ya mapenzi/ngono kama ifuatavyo:

1) Kurefusha/kunenepesha uu.me

2) Kuongeza nguvu za kiume (wakidai kuwa kama huwa unakwenda safari moja tu, basi sasa utaweza kwenda safari hata nne)

3) Kuchelewa kufika kileleni.

Swali langu ni dogo tu: Kuna yeyote ambaye amewahi kutumia dawa yoyote kati ya hizo na matokeo yalikuwaje?

Feel free to share your experience. Sharing is caring!

Kaka/dada watanzania wengi hawapendi kuweka mambo yao ya faragha hadharani ila ya wengine ruksa, ndio maana utaona mijadala mingi humu janvini inaanza na maneno kama, "..nina rafiki yangu..", "..rafiki yake na rafiki yangu....". Naamini huwezi kupata jibu la mtu la moja kwa moja.

Kuna theory moja ya use and disuse hii ipo sahihi sana
 
Kaka/dada watanzania wengi hawapendi kuweka mambo yao ya faragha hadharani ila ya wengine ruksa, ndio maana utaona mijadala mingi humu janvini inaanza na maneno kama, "..nina rafiki yangu..", "..rafiki yake na rafiki yangu....". Naamini huwezi kupata jibu la mtu la moja kwa moja.

Angalau basi waje na waseme....''yes, zipo za ukweli maana kuna jamaa yangu au BF wangu alikuwa/huwa anatumia....''
 
nimeona hii pale mlimani city, ukishuka tu kwenye gari,au ukiwa unatembea kijana wa kiume utafuatwa na wamasai, na kukwambia wanauza dawa kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume (sina uhakika kama na za nguvu za kike wanazo)...ishu ninayouliza ni kwamba, je kumekua na shida gani na nguvu za kiume? na je zinafanya kazi kama wanavyosema?..zaidi wana niacha hoi wanakuambia changanya na supu nzuri ya ng'ombe...supu yenyewe tu ni dawa!!!..
 
Duh! Ina maana kuna watu wameshampa order. Kajaribu uwajuze wadau.
 
Hili tatizo lipo sana siku hizi,tulikuwa tunakunywa na marafiki zangu wawili pale Kona bar na kucheza pool siku moja wakaja wadada wawili wakakaa na sisi tukawanunulia bia na kupiga nao stori na tuliwauliza maswali mengi na walitujibu vizuri tu wakidhani labda baadae tutaondoka nao,sisi tulikuwa tunataka stori tu na kujua mengi kuhusu kazi zao.

Jibu moja ambalo nalikumbuka mpaka sasa lilikuwa 'zamani ukienda na mteja wa kulala ujue hamna kulala unaweza pigwa 3-4 lakini siku hizi wateja wa kulala tunawapenda wengi mkifika anapiga kimoja na kimoja asubuhi na wengine hata hicho cha asubuhi hamna'.
 
Dawa nyingi za kienyeji zimejaa utapeli, hazijapimwa kuthibitisha nguvu zake na athari zake ndani ya miili yetu........
 
Hao wamasai hata mimi wananikera sana. Mi nina matatizo ya Macho, so natumia Miwani. Juzi kati nashuka palepale Mlimani City wakanifuata, eti wana dawa ya kuwezesha kuona vizuri bila miwani kwa siku moja tu, bei alfu 10.

Imagine navaa miwani mwaka wa 12 sasa, eti nkitumia siku hiyo tu, kesho yake poa, nikainunua!!
Hakukua na kupona wala nini, na kesho yake nikakutana nae tena, kuniona akageuka kurudi alipotoka, nkajua nishaingizwa mjini.
 
Kaka nimeshatupia na ndio maana nikatupia wadau, labda mm ndio tatizo!!..ckuona jipya...round zangu (idadi kapuni)zimeendelea vilevile!!..labda kale kasupu nilikokunywa kali-push kidogo!!
Duh! Ina maana kuna watu wameshampa order. Kajaribu uwajuze wadau.
 
hizo dawa watu wanalia sana .... nadhani siku hizi wengi hawaweki mawazo yao wakati wa tendo
 
Tatizo watz tunapenda vitu cheap sana.
Wale ni matapeli wakubwa.
OTIS.
 
Back
Top Bottom