Waganga wa jadi na nguvu za kiume

Waganga wa jadi na nguvu za kiume

Kula vyakula bora, fanya mazoezi ya mwili nafikiri itasaidia kuachana na hizi dawa za uongo.
 
wamasai wa sasa sio wa pori ni wa mjini matapeli sana
 
matapeli tuu hao hakuna kitu
sana sana watakupa dawa ambayo itakufanya uwe addicted ili urudi tena maana itakusisimua siku moja kumbe hakuna kitu
 
Hivi kuna wanaume wengine wakinywa si wanaweza ua, kwa nn wanaume wanapungukiwa nguvu zao
 
Back
Top Bottom