Waganga wa kienyeji kutapeli na kuua watu mara kwa mara, kwanini serikali haiwachukulii hatua?

Waganga wa kienyeji kutapeli na kuua watu mara kwa mara, kwanini serikali haiwachukulii hatua?

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau.

Binafsi najiuliza, kwanini waganga wa kienyeji wanaruhusiwa kutoa huduma zao huku ni matapeli?

Mwalimu kauliwa Musoma na kuibiwa milion 9 na waganga wa kienyeji. Mwaka jana Moshi binti akishirikiana na waganga wa kienyeji walimuua mama nesi mstaafu baada ya kumtapeli mafao zaidi ya milioni 60.

Albino wanauwawa sana kwa order za waganga. Wastaafu wengi wanapigwa mafao yao na waganga wa kienyeji kwa kudanganywa wanatibiwa ama kuzindikiwa mafao yao.

Why serikali haiwapigi ban waganga wa kienyeji?
 
Huo uongozi serkalini wataupataje?waganga hawashikiki kienyeji,Labda kama wamechoka kulamba asali
 
Habari wadau.

Binafsi najiuliza waganga wa kienyeji kwa nini wanaruhusiwa kutoa huduma zao huku ni matapeli

Mwalimu kauliwa musoma na kuibiwa milion 9 na waganga wa kienyeji

Mwaka jana moshi binti akishirikiana na waganga wa kienyeji walimuua mama nesi mstaafu baada ya kumtapeli mafao zaidi ya milioni 60

Albino wanauwawa sana kwa oda za waganga

Wastaafu wengi wanapigwa mafao yao na waganga wa kienyeji kwa kufanganywa wanatibiwa ama kuzindikwa

Why serikali haiwapigi ban waganga wa kienyeji ?
Hao watu wa serikalini wapo kwenye Madaraka Kwa nguvu za waganga wa kienyeji.

Wala Hujui hata ulichokiandika, ikulu ya magogoni ilikuwa inalindwa na majini ya Sheikh Yahya kumkinga Kikwete asidhurike.

Unajuwq uswahiba wa Magufuli na Makonda ulitokana na nini?
 
Habari wadau.

Binafsi najiuliza waganga wa kienyeji kwa nini wanaruhusiwa kutoa huduma zao huku ni matapeli

Mwalimu kauliwa musoma na kuibiwa milion 9 na waganga wa kienyeji

Mwaka jana moshi binti akishirikiana na waganga wa kienyeji walimuua mama nesi mstaafu baada ya kumtapeli mafao zaidi ya milioni 60

Albino wanauwawa sana kwa oda za waganga

Wastaafu wengi wanapigwa mafao yao na waganga wa kienyeji kwa kudanganywa wanatibiwa ama kuzindikiwa mafao yao

Why serikali haiwapigi ban waganga wa kienyeji ?
Yaani upige ban na kipindi cha uchaguzi itakuwaje?🤔🤔🤔
 
Afu utasikia mtu anakuja na porojo kuwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa ifutwe. Mwl wa watu anatapeliwa haitoshi wanamnywesha dawa za kupoteza fahamu kisha wanamnyonga kwa mikono yao na kutuma msg kwa ndugu wa marehemu kuwa wasimtafute amesafiri nje ya nchi
. Wamekamatwa afu anaibuka mtu eti haki za binadamu kupigwa au kunyongwa ila aliyeuliwa anakuwa ana haki ya mnyama. inaniumiza utadhani aliyeuliwa ni damu yangu. Ngoja niishie hapa.
 
Adui namba nne nchi hii ni imani za kishirikina. Tumempuuza amekuwa mkubwa sana.
 
Ni kipimo gani kinaweza kuwapima kujua uwezo wao ili wanaofaa wapewe vibali?

Nachojua science has a limit!, kutokea hapo nani ana sifa ya kukamilisha palipobaki?
 
Inategemea unaenda🤦hukokwa lengo gani?? Na hujui kanyongwa Kisa Nini ya ngoswe mwachie ngoswe
 
Hao watu wa serikalini wapo kwenye Madaraka Kwa nguvu za waganga wa kienyeji.

Wala Hujui hata ulichokiandika, ikulu ya magogoni ilikuwa inalindwa na majini ya Sheikh Yahya kumkinga Kikwete asidhurike.

Unajuwq uswahiba wa Magufuli na Makonda ulitokana na nini?
Ulitokana na nn
 
Back
Top Bottom