Waganga wa kienyeji wametusaidia. Tusiwabeze

Kitu ambacho hatukijui ni kuwa waganga wote wapiga Ramli ni wachawi

Vitu ambavyo hufanya ni kukuloga ili uende kwake akutibie
Ukijua hili hutasumbuka nao
 
picha
 
Sasa mbona unasema mganga ndio anakuroga ili uwende kwake akutibu?
Nilichokuambia ni kweli wewe jidai kakuloga mwingine uende kwa mwingine hapo wanashindana wao kwa wao atakayezidiwa anapelekwa kifungoni

Namaanisha waganga wako wengi akikuloga mmoja harafu wewe ukaenda kwa mganga mwingine umewachangonganisha wanaanza kupimana wao wenyewe sasa

Labda huyo uliyeenda kwake awe mzito

Lkn na wachawi ambao siyo waganga pia wapo jua hivo
 
Sasa mkuu utajuaje kuwa tatizo ulilonalo ni uchawi na aliyekuroga ni mganga fulani ili uende kwa huyo mganga aliyekuroga? Mimi sidhani kama unachosema kina uhalisia,mfano eneo naloishi hakuna mganga ila kuna watu wanaohisiwa ni wachawi tu hawatibu mtu wao wanahisiwa kuwaroga watu basi,sasa mfano nikijiona nimerogwa ndio nitasema niende kwa hao wachawi ili wanitibu au kutakuwa na mganga huko kwengine kabisa na eneo langu ndio kaniroga?
 
Tangazo limeletwa kwa mbinu mpya...
 
Nipe connection mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…