Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #21
Wanachapwa viboko vya upako wanashangiliaTatizo ushirikina watu wengi hawajui ni nini,ndio maana unakuta mtu hata ushirikina ukifanyika kwenye nyumba yake ya ibada hajui yeye anafurahia tu na kusifu miujiza ya Mungu.
Mkuu Ivi ramli inakuaje ?Wanachapwa viboko vya upako wanashangilia
pichaLeo ukiwa unaimba kwaya unarukaruka unawatukana waganga wa kienyeji na kusahau kuwa huenda sasa ungekuwa unaitwa marehemu. Ila waganga wa kienyeji ndio waliokutoa kwenye mikono ya adui zako kipindi ukiwa mtoto au kijana.
Nakumbuka nikiwa darasa la tatu siku moja nikiwa shule nilipata stroke ya miguu na ghafla nikawa Kiwete.
Nikafuatwa kwa baiskeli nikarudishwa home.
Nikawa mtu wa kukaa ndani tu, siumwi mahali popote ila miguu siwezi kuinyakua.
Siku moja nikawa najadiliana na mdogo wangu ambaye ni rika moja na mimi. Baba mmoja kasoro mama tu. Nikamwambia twende kwa mganga wa kienyeji mtaa wa pili. Nilijua nitakwenda kwa msaada wa mtu. Ile nainuka tu nikawa mzima, nilitembea mpaka kwa mganga.
Akapiga ramli bure, akanitibu bure. Nikapona moja kwa moja. Nikarudi shule nikaendelea kufanya vizuri na sasa nimegraduate shahada yangu ya kwanza ya International Relations & Diplomacy na sasa nimekuwa mlinzi mwenye degree.
Sijawahi kwenda kwa waganga miaka hii ila jana usiku nimekumbuka fadhila za yule mganga, nawaza nikampe zawadi (sio kupata huduma).
Ni miaka karibu 20 sasa sijamuona machoni. Nimewauliza kijijini wanasema bado yupo. Kumtibu mtu bure kwa tatizo kubwa kiasi kile ni upendo wa ajabu sana, hawa wachungaji wakikuponya sikio tu watakurusha kwenye tv kila siku ili kuvutia watu kwao.
Kuna waganga wanakufa wakati wapojaribu kumtibu mtu(kumuagua),hao unawazungumziaje?Kitu ambacho hatukijui ni kuwa waganga wote wapiga Ramli ni wachawi
Vitu ambavyo hufanya ni kukuloga ili uende kwake akutibie
Ukijua hili hutasumbuka nao
Kazidiwa na mchawi mwenzie anapelekwa kifungoniKuna waganga wanakufa wakati wapojaribu kumtibu mtu,hao unawazungumziaje?
Sasa mbona unasema mganga ndio anakuroga ili uwende kwake akutibu?Kazidiwa na mchawi mwenzie anapelekwa kifungoni
Nilichokuambia ni kweli wewe jidai kakuloga mwingine uende kwa mwingine hapo wanashindana wao kwa wao atakayezidiwa anapelekwa kifungoniSasa mbona unasema mganga ndio anakuroga ili uwende kwake akutibu?
Sasa mkuu utajuaje kuwa tatizo ulilonalo ni uchawi na aliyekuroga ni mganga fulani ili uende kwa huyo mganga aliyekuroga? Mimi sidhani kama unachosema kina uhalisia,mfano eneo naloishi hakuna mganga ila kuna watu wanaohisiwa ni wachawi tu hawatibu mtu wao wanahisiwa kuwaroga watu basi,sasa mfano nikijiona nimerogwa ndio nitasema niende kwa hao wachawi ili wanitibu au kutakuwa na mganga huko kwengine kabisa na eneo langu ndio kaniroga?Nilichokuambia ni kweli wewe jidai kakuloga mwingine uende kwa mwingine hapo wanashindana wao kwa wao atakayezidiwa anapelekwa kifungoni
Namaanisha waganga wako wengi akikuloga mmoja harafu wewe ukaenda kwa mganga mwingine umewachangonganisha wanaanza kupimana wao wenyewe sasa
Labda huyo uliyeenda kwake awe mzito
Lkn na wachawi ambao siyo waganga pia wapo jua hivo
Nipe connection mkuu.Mtoto alitaka kumchukua msukule baba yake, baba alishtuka akaenda kwa mganga na akaambiwa imebaki wiki tu aondoke duniani. Mganga akamgeuzia kibao Yule mtoto akafa kwa ajali ya bajaji. Baba akapona na akasema kaburi la mwanae liongezewe m moja kwenda chini. Mganga kamuokoa mzee!
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app