Waganga wa kienyeji wanavyolala na wanawake kwa kigezo cha matibabu

Hawakukamatwa hao matapeli wa mchongo?
Aliitwa na huyo Mtoto wa Kigogo na waganga wawili ilikuwa 27.12.2015 au 2016 wamuua wamkatumbukiza huko shimoni... Yule Mama alitafutwa almost mwezi...

Kosa likawa yule.Mganga aishie Uchira Kilimanjaro alichukua Simu ya Marehemu.... sasa alikuwa na Kidemu chake kikawa kinamuomba awake Line NDIPO WALIPOKAMATWA WOOOOTE.
 
Ila watu Wana roho ngumu hatari

Hiyo Maiti si waliikuta imeshaanza kuoza kabisa na Wadudu wanatoka? πŸ™Œ

Hatari sana
 
Safi sana.

Akili zinawarudi baada ya kuwekewa dawa na dyudyu.

Wakawaambie waume zao wafungue mashtaka
 
Safi sana.

Akili zinawarudi baada ya kuwekewa dawa na dyudyu.

Wakawaambie waume zao wafungue mashtaka
Ndiyo ujue kwanini makanisani na Kwa Waganga wanaoendaga mara kwa mara ni Wanawake.

Mambo mengi wanayafanya kwa hisia zaidi pasipo kuyafikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…