Waganga wajitolea kumtibu Wema Sepetu

Waganga wajitolea kumtibu Wema Sepetu

Wema atumie bongo yake kwenye hilo la kutibiwa na waganga wanaume hapa Afrika ya mashariki.Baadhi ya hawa waganga ni tamaa tu za kiume. Nina uhakika moja ya dawa atakayoambiwa Wema ni kupokea dushe la mganga lililopakwa 'dawa'
Be on your alert Wema!

akyanani nilitaka kusema hiki kitu........mwache wakamtesti kwanza
 
akyanani nilitaka kusema hiki kitu........mwache wakamtesti kwanza
Sidhani kama Wema anataka kutestiwa. Anataka tiba ambayo itampa uwezo wa kuzaa na mwanaume of her choice!
 
Sidhani kama Wema anataka kutestiwa. Anataka tiba ambayo itampa uwezo wa kuzaa na mwanaume of her choice!

kwani kuna wanaopendaga kutestiwa?? si ni masharti ya dawa ndg, ndo wanavyowadanganyaga wanaingia mkenge
 
kwani kuna wanaopendaga kutestiwa?? si ni masharti ya dawa ndg, ndo wanavyowadanganyaga wanaingia mkenge
Huo ndio mtihani mkubwa wa huyo bibie.Akikubali kutestiwa, mkenge
keshauvaa!
 
Mungu akusaidie wema i feel the pain you have in your heart,plz watanzania naomba muache kumtumia sms za kumuumiza nae ni binadamu kama sisi ana moyo wa nyama jambo la kukosa mtoto co dogo kama mnavyolichukulia take an example if it could be to your side,hebu tuonyeshe upendo kwake na kumtia moyo coz hakuna asiekuwa na mapungufu as a human being so kasoro zake tuziweke pemben and always before u judge others luk about your self are u perfect?Finally only GOD is the jugde and final say
 
Kama source itakuwa coz of ABORTIONS imekula kwake! Kupata mtoto itakuwa ni ndoto za ABUNUASI!
 
Wema sijui anachoharakia ni nn jmn. Mbona she is still young jmn. Asijali atapata tuu mtoto. Watu wanazaa wakiwa na miaka 40 jmn mbona bado. Yeye anachotakiwa kufanya nikupotezea tuu hiyo kitu. Na kuisahau akili ni mwake. Atashangaa siku kina nasa tu unexpectedly yaan hivyo. Atoe hayo mawazo kbsa. Amuombe mungu tuu. Mbona mungu ndo author Wa Wema wengine she vishabiki maandazi tuuu
 
Back
Top Bottom