Pre GE2025 Waganga wakataa kuhusishwa na matukio ya mauaji ya watu yanayotokea karibuni nchini

Pre GE2025 Waganga wakataa kuhusishwa na matukio ya mauaji ya watu yanayotokea karibuni nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Waganga wa Tiba asili waomba kutohusishwa na matukio ya ukatili yanayotokea kwenye jamii kwani wao hawahusiki na kuwatuma watu wafanye ukatili badala yake wameomba kupewa thamani kama ambavyo madaktari wa Hospitalini wanavyothaminiwa kwani dawa zote za hospitali zilitokana na dawa za asili zikaboreshwa ndio zikatumika Hospitali.

Pia soma:
~ Kuelekea 2025 - Matukio ya watu kupotea na waganga kuhusishwa na vifo vyao ajenda ya kuisafisha serikali na polisi kwenye tuhuma hizo?
~ Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Wamesema vitendo vingi wamekuwa wakitajwa lakini sio kweli kama wanatumika isipokuwa watu wamekosa utu ndio maana wanatekeleza matukio hayo.

1725624261737.png
 
Waganga wa Tiba asili waomba kutohusishwa na matukio ya ukatili yanayotokea kwenye jamii kwani wao hawahusiki na kuwatuma watu wafanye ukatili badala yake wameomba kupewa thamani kama ambavyo madaktari wa Hospitalini wanavyothaminiwa kwani dawa zote za hospitali zilitokana na dawa za asili zikaboreshwa ndio zikatumika Hospitali.

Pia soma:
~ Kuelekea 2025 - Matukio ya watu kupotea na waganga kuhusishwa na vifo vyao ajenda ya kuisafisha serikali na polisi kwenye tuhuma hizo?
~ Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Wamesema vitendo vingi wamekuwa wakitajwa lakini sio kweli kama wanatumika isipokuwa watu wamekosa utu ndio maana wanatekeleza matukio hayo.

Samaki mmoja akioza....
 
Waganga wa Tiba asili waomba kutohusishwa na matukio ya ukatili yanayotokea kwenye jamii kwani wao hawahusiki na kuwatuma watu wafanye ukatili badala yake wameomba kupewa thamani kama ambavyo madaktari wa Hospitalini wanavyothaminiwa kwani dawa zote za hospitali zilitokana na dawa za asili zikaboreshwa ndio zikatumika Hospitali.

Pia soma:
~ Kuelekea 2025 - Matukio ya watu kupotea na waganga kuhusishwa na vifo vyao ajenda ya kuisafisha serikali na polisi kwenye tuhuma hizo?
~ Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Wamesema vitendo vingi wamekuwa wakitajwa lakini sio kweli kama wanatumika isipokuwa watu wamekosa utu ndio maana wanatekeleza matukio hayo.

Kila mmoja anakataa kuhusishwa licha ya kwamba anadaiwa kuhusishwa
 
Back
Top Bottom