DarProperty Tz
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 168
- 29
Hivi karibuni Raisi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alisema serikali inafikiria kupitia upya sheria ya umiliki wa mali zisizohamishika hasa zinazoweka vizuizi kwa wageni kununua nyumba nchini.
Chanzo; The Citizen Newspaper 9/10/2015
Unadhani hatua hii inamatokeo gani kiuchumi na kijamii?
N.B. Baadhi ya maoni yatawekwa kwenye toleo lijalo la The Darproperty Magazine.
Chanzo; The Citizen Newspaper 9/10/2015
Unadhani hatua hii inamatokeo gani kiuchumi na kijamii?
N.B. Baadhi ya maoni yatawekwa kwenye toleo lijalo la The Darproperty Magazine.