Wageni someni hapa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Je mnakuja kuimarisha hii nyumba au nyie ni wanafiki na vizabizabina mlio tumwa kuiharibu na kuivunja hii nyumba?
Kabla hujaingia humu ndani jiulize dhamira yako kama wewe ni mwema au mfitini.
Kama umekuja kwa mabaya, kwa kutumwa na kundi fulani au chama fulani hapa hapakufai.
 
nimeipenda hiyo lakini fafanua zaidi,je mnapenda kuendelea kubakia nyie wenyewe wa zamani tuu???
hapo kuna kitu nimekisoma!!!!!!
 
Kijana katoa wito kwamba wageni wajichunguze nia ya ujio wao JF. Wale wenye nia mbaya ndio mikela hawataki, ila wale wasi wa roho anawakaribisha. Kijana leo bnaona amekuwa mkali sana, sijui ndio changamoto za kwenye ndoa?
 
Kijana katoa wito kwamba wageni wajichunguze nia ya ujio wao JF. Wale wenye nia mbaya ndio mikela hawataki, ila wale wasi wa roho anawakaribisha. Kijana leo bnaona amekuwa mkali sana, sijui ndio changamoto za kwenye ndoa?

Sawa,wazo zuri na wenyewe watazingatia.
 
Mikela, kweli hutaki mchezo na lile kundi lililotumwa na ze komedians magamba
 

Wazuri wabaya wote ni wanao utamtupia mvuta bange watoto wabaya ili iweje!
Unaye muona mbaya Mpende anahitaji upendo wako ili abadilike.
Bozi ni lyako mkulu!
 
nimeipenda hiyo lakini fafanua zaidi,je mnapenda kuendelea kubakia nyie wenyewe wa zamani tuu???
hapo kuna kitu nimekisoma!!!!!!
Issue si wazamani au WAPYA...............NI DHAMIRA YA MHUSIKA.............. hili neno wapya/wa zamani limetumika kuonyesha wanaojiunga sasa wengine WAMENNAPE NNAUYELIWA
 
Some people r not serious kbs!!

Suala si uzamani au upya, la msingi ni ujenzi wa hoja muhimu za kuinuana na kusaidiana . Zaidi sana kupeana mawazo ya nini kifanyike ili kuinusuru nchi yetu ambayo imezama kama MV Bukoba
 
Mbona twalumbana watoto wa baba mmoja the onry thing 2 peane suport walio safi na wasio safi in order 2b parfect chao
 
Mikela be passion do talk like that is not away 2 wellcom us .
 
Mkuu Mikale yaani umegonga penyewe hasa maana kweli wanachafua hali ya hewa humu ndani, nimategemeo yangu watajirekebisha
 
Ishu sio upya wala Ugeni. jambo la kuangalia ni kusudi gani lilokuleta humu JF, kuharibu mijadala ya watu? kujenga hoja na kushare mawazo yako na member wengine? au kujifunza nini watu wanafanya.
Ugeni au Uzamani sio ishu hata wewe uliyeleta thread na wewe wakati unajiunga ulikuwa mgeni.
am here for the purpose!
 
sijui unataka kumaanisha nin!.kuharibiwa kivipi,au mtu kupinga mawazo ya walio wengi ndo kuharibu?na JF si ni ya area kwa ajili ya watu kuexpose mawazo yao,so what presented is a total reflection ya jamii,kama unataka watu wawe sawa,hapo ni chalenge unayoimpose kwa MUNGU,bt respect wageni na siniourz,dnt repeat ths rediculous!
 

Karibu san, mkuu lakini hili jukwaa la wote sio sehemu za kupigiana hadithi za Juma na Roza, lazima ukubali challange ndio maana ya jukwaa
 
asante kwa ukaribisho. Ila nadhani, watu wenye nia tofauti ndo wanaoleta challenges. And we should always be prepared to defeat the chalenges so as to make one step ahead!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…