Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Je mnakuja kuimarisha hii nyumba au nyie ni wanafiki na vizabizabina mlio tumwa kuiharibu na kuivunja hii nyumba?
Kabla hujaingia humu ndani jiulize dhamira yako kama wewe ni mwema au mfitini.
Kama umekuja kwa mabaya, kwa kutumwa na kundi fulani au chama fulani hapa hapakufai.
Kabla hujaingia humu ndani jiulize dhamira yako kama wewe ni mwema au mfitini.
Kama umekuja kwa mabaya, kwa kutumwa na kundi fulani au chama fulani hapa hapakufai.