Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Mwisho uko karibu sana...it may be sooner than we think. Wengine wanabeza habari hizi na kuona kama ni mzaha fulani...but habari hizi ni za kweli hakika.Yeah nilikua nimechanganya maneno ndio maana.
Ahasuhero na ashuru vilinichanganya, thanks kwa kunirekebisha.
Ila kiukweli kwa kuangalia unabii na hali ya maisha ya sasa unaona kabisa dunia yafika kikomo.
Upo vizuriKu a muda natamani tukae tupige historia za Mesopotamia, Misri, Israel,Norway, Greece, basi tu hua Napenda sana masuala ya historia na deity mbalimbali...
Ila misri kwakua ni hapahapa Afrika napenda Zaid.
wakati mfamle Themistocles wa Jiji la Athens (Ugirki) anahangaika kuhamasisha wafalme wa majiji mengine kama Queen Gogo, King Leonidas waungane wawe taifa moja wao wamisri walikua wanafanya vumbuzi kubwa kubwa zilizoacha ulimwengu kinywa wazi. Nitaorodhesha baadhi ya mambo machache ambayo yamegunduliwa na wamisri weusi kipindi hiko hata Amerika kunakaa nyani na sokwe ,Red Indian na Wamaya
Baadhi ya vitu vilivyogunduiwa na wamisri
Mathematics
Wakati wanasayansi kutoka ugiriki kama Euclid,Pythogras,Archimedes na ugiriki kwa ujumla wakipewa heshima ya kuvumbua hisabati lakini ukweli mchungu ni kwamba wamisri ndio wamegundua hisabati. Geometry,survey,vyote hvyo vimegunduliwa Misri.
Maandishi
Wamisri ndio waliogundua mfumo wa kuweka lugha yao katika maandishi, walikua na mfumo wao wa maandishi unaitwa pictograms, kutokana na picha hizo ndipo kulipozaliwa herufi mbalimbali lakini hii iliendelezwa zaidi na wagiriki’
Dawa ya meno
Kama meno yako ni meupe na masafi basi nenda katambikie kuheshimu mizimu ya mababu zenu wa kimisri maana bila wao tusingepata dawa ya meno.
Wigi, Make-Up na Vipodozi
Mnasikia kua mwanamke mzuri zaidi duniani ni Cleopatra, basi uzuri wake ulichagizwa na vipodozi na make ups za kutosha. Wewe dada waheshimu sana wamisri maana bila wao sijui ingekuaje, miaka hiyo hata Yakobo hajahamia misri..watu wa misri walikua washagundua kuvaa mawigi,kutengeneza vipodozi na kufanya make up. Wanja na kuchonga nyusi kumeanzia huko misri, mafarao ilikua sifa kwao kupaka wanja na make up..nyusi wananyoa zote. Ikumbukwe kwamba wamisri walikua hawapaki wanja kama urembo ila ilikua ni kwa ajili ya imani zao pia waliamini kufanyia macho urembo kulikua kunawasaidia kuwakinga na magonjwa ya macho.
Wino Mweusi, Karatasi na Meza
Juhudi za watu weusi ndio zinafanya wazungu waweze kukaa na kuandika propaganda zao kuhusu watu weusi.wamisri ndio wamegundua wino mweusi kwa ajili ya kuandikia na kutengeneza meza. Wakati wazungu na watu wa jamii zingine wakitumia mbao,mawe na ngozi katika kuandika Wao wamisri walivumbua Karatasi za kuandikia zilikua zinaitwa “papylus sheets”. Baadae wagiriki waliziboresha na kuziita paper kutokana na neno Papyrus.
Mashine za kuvuna na kusaga nafaka na kilimo cha umwagiliaji
Wao ndio walivumbua mashine za kuvuna na kusaga/kukoboa nafaka hasa ngano, miaka hii Israel ndio inasifika kwa kilimo cha umwagiliaji na kua sehemu ya tafiti za kilimo cha umwagiliaji duniani lakini ukweli ni kwamba misri ya kale ndio ilianza kugunda kilimo cha umwagiliaji. Wamisr wa kale walijenga mifereji mingi kusambaza maji kutoka mto nile kupeleka mashambani.
Majira na Kalenda
Wakati red Indians wa marekani wakiokota matunda nan a kuwinda wadudu kama mlo wa siku kwenye misitu mikubwa iliyokuwepo Newyork miaka ya 1300AD, Miaka karibia elfu kadhaa iliyopita kabla ya Kristo wazee wa Afrika kutoka misri walikua wameshagundua jinsi ya kutambua saa za siku na kutengeneza kalenda ya kuonyesha majira ya mwaka. Kalenda yao ilikua na miezi 12 na siku 365, kila mwezi ulikua na siku 30…lakini pia walikua washatengeneza saa zao za asili ajili ya kupima masaa ya siku.
Kufuli
Wamisri ndio watu wa kwanza kuvumbua kufuli, unambiwa funguo za kufuli zao zilikua zinauweza kua na urefu wa futi 2. Lakini hawa mababu pia sometimes kwenye IT tunawataja kama watu wa kwanza kutengeneza codes, maana ile milango ya Pyramids kuna mingine haifunguliwi na funguo ila ni codes Fulani walizoziweka miaka zaidi ya elfu 5 iliyopita. Hivyo hata coding tunaweza sema imeanzia misri.
Polisi na Serikali
Kama ulikua hujui basi ndio hivyo polisi zimeanzishwa kwa mara ya kwanza misri, polisi walikua wanatumia siraha na mbwa katika kufanya doria zao. Hakuna maskini wala tajiri aliyekua juu ya sharia halafu adhabu zao ilikua kukupa kichapo, kukuhasi,kukata pua na maskio halafu ukifa ulikua huzikwi unatupwa kama mzoga. Wamisri walikua wanaamini kwamba ukizikwa kwa heshima basi kunauwezekano mkubwa wa kwenda kwenye maisha ya baadae/mbinguni/Afterlife. Mifumo hii ya serikali zetu duniani unazoziona sasa imetengenezwa na wamisri ndio maana Yosef mtoto wa Israel alikua waziri mkuu kipindi kile. Yaani wakati Abrahm Lincoln anatunga definition ya Democracy huko misri wao walikua washamaliza kia kitu kuhusu mifumo-endeshi ya serikali (ujamaa,Udikteta,ubepari nk nk)
Egyptian Hieroglyphics (Aka Emoji za Misri[emoji38])
View attachment 1902031
Hii ni michoro adhimu kabisa iliyobuniwa na wazee wa kiafrika ili kuwasiliana, pia zilikua zinatumika kueleza matukio yaliyopita na yajayo..so ilitumika kuweka rekodi za jamii ya watu wa misri. Unaweza kuona mchorouiliochorwa miaka zaidi ya elfu tano iliyopita ukionyesha image ya aeroplane ni ile ie iliyochorwa na Davinci miaka ya 1600sBC
Huwa napenda sana History Channel kwenye king'amuzi cha Azam. Kuna siku nilifuatilia hiyo Roman Empire aisee hao jamaa kwa vita acha kabisa. Hii mishale yetu wao ya kwao ilikuwa very advanced na mikubwa na very deadly, na huvutwa kwa kutumia kimashine cha mbao na inawekwa humo kumi au zaidi. Hivyo mpigaji kuna sehemu anazungusha hicho kimashine mishale inadogezwa kwenye kitu kama chemba ya bunduki, sasa akija kufyatua inatoka mishale mitano kwa mpigo. Nguvu ya mshale kama uko mita 50 - 100 ukikupata kichwani kwenye sikio unatokea sikio la upande wa pili.Sio kwamba Rumi ndio iliangushwa na lugha?? Ila Rumi wajanja waliachana na kutumia ubabe wakatawala watu kwa kutumia dini! Na wote tuseme amina [emoji38]
Constantino mjanja sana nadhani aliona tawala ya Rumi inaenda kufa akaamua kutumia njia nyingine kutawala dunia. Si unaona watawala wa superpower county lazima wakapige chata kwanza Vatican [emoji38]
Sisi uonevu umezidi,yaani ukigundua kitu halafu hujasoma wasomi lazima wakuwekee zengwe.Wagiriki walivyokua bado hawajaungana kila Eneo linajitawala walitumia nguvu zaidi kujiimarisha maana wao hawakugopa kufa waliaamini wao ni viumbe special kutoka kwa baba yao wa uumbaji Zeus. Majina mengi ya kigiriki yanaishia na S hata majina ya watu wa mataifai mengine yanaishia S kwakua ni utamaduni uliotokana na wagiriki. Yesu pia jina lake laishia na S yaani Jesus sababu ni kwamba wagiriki wanaamini majina yanayoishia na S yanamaanisha ni mwanaume kutokana na Mungu wao wa kiume Zeus jina lake lainshia na S
Walivyoungana na kua kitu kimoja wakaanza kutumia akili na nguvu ili kujiimarisha zaido kwa kila nyanja wafalme waliwatumia watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri katika kutatua changamoto zinazowakabiri na waliwekea mazingira wezeshi hapa sasa ndio gunduzi zikaanza.
Mfano......
Kipindi fulani ugiriki ilikua ni sherehe ya mavuno hivyo wagiriki walikua wanamsherehekea Mungu wao wa mavuno kuwapatia mavuno mengi. Mfalme kama kiongozi mkuu alitakiwa awepo kwenye sherehe sasa mfalme akampatia dhahabu Muhunzi (Goldsmith) amtengenezee kofia ya kuvaa wakati wa sherehe (Crown), Muhunzi kuona dhahabu kashikwa na tamaa akachakachua dhahabu akaweka dhahabu nusu akaongezea na bronze (shaba) akampelekea mfalme kofia yake.... Mfalme akaangalia kofia akaona hapa kashapigwa cha juu ila hana uhakika.
Akaamua kumuita jamaa mmoja ambae kipindi hicho aliaminika ana akili sana aje amchunguzie kofia yake kama imetengenezwa kwa dhahabu tupu kweli au imechanganywa. Ila akamwambia asiiharibu wakati wa kuichunguza maana hana kofia nyingine...Jamaa huyo ni Archimedes
Archimedes akachukua kofia akaenda maabala kwakwe akachunguza wee akashindwa kupata majibu kichwa kikawaka moto hajui afanye nini.. akamuagiza mfanyakazi wake amuwekee mai ya kuoga bafuni kwenye Jacuzzi.
Akaenda bafuni akavua nguo akaingia kwenye Jacuzzi maji yakamwagika nje aivyoona hivo akatoka nje akikimbia uchi huku anapiga kelele hadi ikulu.
Alipomfikia mfalme akaanza kusema harakaharaa "When a body is totally or partially immersed in a fluid is subjected to an upwards force equal to the weight of the displaced fluid. "
Mfalme akamwambia unamaanisha nini wewe mbona sikuelewi 😂😂
Ndio mzee baba akaanza kumuelezea vizuri sasa... Akachukua vipimo vyake akapima uzito wa dhahabu na Shaba kisha akapima uzito wa Ile kofia ikaonekana muhunzi aliiba dhahabu. Na hapo ndio tukapata Law pedwa ya Archimedes principle na law of floatation inayohusu Density. Kupitia law hizo tumepata Meli mbalimbali..
Sio hivyo tu Archimedes alisaidia san kwenye vita..alikua anatengeneza vifaa vya kivita au anatumia vioo kuunguza meli za maadui wanakuja kuvamia nchi yake.
Sisi huku kama una ujuzi wa kutengeneza Gobole au siraha unanyanganywa na unakomeshwa kabisa uwe mfano wengine wasirudie upuuzi kama huo
Wagiriki ndio Wayunani...tawala iliyokuja baada ya Babeli kisha Uami na Uajemi (Iran & Iraq)Kwakweli sijajua kama wagiriki ndio wayunani... Lakini mkui Takwimu zaonyesha uchumi wa dunia umeshikiliwa na wayahudi.
Warumi walikuwa wazuri pia kwenye Nutrition, mpaka leo hii Waitaliano wana diet nzuri zaidi ulaya wana long life span kuliko hata WamarekaniHuwa napenda sana History Channel kwenye king'amuzi cha Azam. Kuna siku nilifuatilia hiyo Roman Empire aisee hao jamaa kwa vita acha kabisa. Hii mishale yetu wao ya kwao ilikuwa very advanced na mikubwa na very deadly, na huvutwa kwa kutumia kimashine cha mbao na inawekwa humo kumi au zaidi. Hivyo mpigaji kuna sehemu anazungusha hicho kimashine mishale inadogezwa kwenye kitu kama chemba ya bunduki, sasa akija kufyatua inatoka mishale mitano kwa mpigo. Nguvu ya mshale kama uko mita 50 - 100 ukikupata kichwani kwenye sikio unatokea sikio la upande wa pili.
Nami najiuliza tu sasa hivi hata kutoka kupigania katiba hawatoki wakati zamani walipigana na mkoloni mwenye bunduki
PharmacognosyUkifunua vitabu vya sekondari kila definition utaona inaanza "it's greek Word" hata lugha rasmi ya Binomial nomenclature ni Greek tuseme Biology na sayansi kwa ujumla lugha yake ni Kigiriki.
Kwanini?
Asiilimia 70% ya wanafalsafa, Wanasayansi, Wagunduzi wote wanatoka Ugiriki. Kwa ufupi Sayansi imeanzia Misri ya kale na kutapakaa ulaya hasa ugiriki huko ndiko ilikofanyiwa kazi vizuri wewe chunguza kila mwanafalsafa anatoka Ugiriki.
Ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo mia moja ambapo kila mji ulikua na utawala wake, Mji wa Athens na Sparta ndio ilikua miji mikubwa na yenye nguvu zaidi, japo miji hii mra nyingi ilikua inapigana kwa ajili ya kugombania ardhi lakini vilikua vimejiunga pamoja ili kujilinda na uvamizi wa kutoka nje.
Enzi hizo Ugiriki ilikua Ugiriki kweli kuna madume ya haja hasa (Alpha, Beta peoples) mwaka 480 BC Mfalme Leonidas wa Sparta aliongoza jeshi la wanaume 300 tu kupambana na mfalme Xerxes kutoka Persia mwenye jeshi la watu 10000+ lakini waliwachinja hasa richa ya uchache wao. Japo Leonidas aliahindwa ila alijitahidi kuziwia uvamiI huo ambapo baadae Mfalme Xerxes alikuja kuuwawa na mrithi wa leonidas Themistocles
✓✓Kumbuka mfalme Xerxes ndio mfalme aliyemuoa Ester wa kwenye biblia ambae ester alitumia penzi kuziwia kuuwawa kwa Wayahudi wotewaliokua Babeli. (Kaa kumbukumbu zangu zipo sawa) Wafalme wa Persia waliitwa Ahasuerus. (Ahusuhero).
Sasa waku nini kiliwapata hawa watu? Gunduzi zote zilizofanywa kwao haziwanufaishi. Nilitegemea Ugiriki iwe miongoni mwa Super power county ila hata G7 haipo sijui G20.
Nini kiliwatokea? Sasa hivi hamna tena watu wenye akili au??
Religion hapo hujaweka uislamu, uhindi, taoism n.k nao wanasemaje ...Mzee baba ulitakiwa kuwalaumu waafrika maana hao wagiriki ni chamtoto kabsa, technologia yote na theories zote za kisayansi walizowakalilisha walimu wenu wa uongo ni copied from ancients Africans, yaan karbia 90% ya sayans na technologia zlianzia afrika zkaja ugiriki, then kwa waarabu&wahind&wachina na watu wamwisho ni warumi au wazungu wotee.
na ndvyo ilivyo, mm nna ushahidi nitajie jambo lolote kubwa unalojua kavumbua mgiriki au mrumi kama halina mkono wa muafrika nyuma, ni vile tulimuhasi MUUMBA wa Afrika, akatupiga laana ya usahaulifu, yaan kila kitu tulchofanya kimesahaulika, kuna baazi ya muvies zmejarbu kuwafungua waafrika kuhusu ukuu wa muafria, lkn sie kwa kukaza akili hatuelewi, mfano kuna muvi ya Avatar ya mwaka 2009 December 19 by james cameron imejarbu kueleza nn kiliikumba jamii kama hii ya black people, pia kuna muvie ya Black panther ya juzi tu hapo nayo imejarbu kwambaal kuonesha ukuu wa muafrika japo kidogo sana lkn vichwa ngumu hamuelewi zaid ya kutizama actions bila kutafakari ujumbe wa muvi hiyo,,
Pia kuna masalia na mabaki ya technology za zaman ambazo mpka leo hii baaz ya watawala wetu wanatuficha kwa kutuhujumu na kuzikabizi kwa mabeberu(JIULIZE KWANINI SAMIA NA KIBARAKA WAKE NDALICHAKO WALISITISHA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA?), pia mujue kuwa hata lile sanduku la agano ambalo ktk biblia zenu za uongo zimelipotosha ukwel wake, ukwel ni kwamba lipo Afrika na linatafutwa zaid ya yanavyotafutwa madini yoyote hapa dunian, na wanaolitafta wanafanya siri, kupitia mawakala wao na maspy wao ambao wanakuja kama watalii, wana dini(catholic), wavumbuz wa mali kale, wawekezaji na mamluki wengine, na hili linafanywa kwa siri sana maana hata waafrika hamtambui hili jambo, na hamuwez kutambua mpka pale akil zetu zitakapoamka kutoka ktk usingiz wa kiroho ambao umesababishwa na sie kushika maadili na imani za hovyo, pia laana ya kumuhasi Muumba wa Dunia ambaye ni zaid ya Uungu wa imani zote za kigen, huyu afananishwi na lolote, hajawai onekana na hatowai onekana kwa kiumbe kama mtu, zaid utahisii uwepo wake kupitia nguvu zake(Roho mtakatifu) Ama nguvu za asiri, ama nature ambayo ina control kila kitu hapa dunian.
Huwa nasikitika sana kuwaona waafrika wanamtukuza mtu mweupe yaani hiyo ni zaid ya kufuru, najua wengi hamjabahatika kupata ukomboz wa fikra ndyomaana bado hamuelewi nachokisema, kila ukionacho hiv leo si kipya, bali kilikuwepo kwa namna nyingine, leo kipo kwa namna nyingne ambayo n namna ya uongo wa kubuni kutoka ktk ukweli halisi....AMKENI WAAFRIKA, WEW NDYE mungu wa dunia baada ya Yule asiefananishwa na lolote, naposema MUUMBA namaanisha zaidi ya Umungu, Muumba wa kwel ni zaid ya umungu wenu mliokalilishwa na imani zakipuuzi hizo....Amkeni wakati ni sasa.
.View attachment 1902057
Kwa nini usianze na musri ndio uje ugiriki.Ukifunua vitabu vya sekondari kila definition utaona inaanza "it's greek Word" hata lugha rasmi ya Binomial nomenclature ni Greek tuseme Biology na sayansi kwa ujumla lugha yake ni Kigiriki.
Kwanini?
Asiilimia 70% ya wanafalsafa, Wanasayansi, Wagunduzi wote wanatoka Ugiriki. Kwa ufupi Sayansi imeanzia Misri ya kale na kutapakaa ulaya hasa ugiriki huko ndiko ilikofanyiwa kazi vizuri wewe chunguza kila mwanafalsafa anatoka Ugiriki.
Ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo mia moja ambapo kila mji ulikua na utawala wake, Mji wa Athens na Sparta ndio ilikua miji mikubwa na yenye nguvu zaidi, japo miji hii mra nyingi ilikua inapigana kwa ajili ya kugombania ardhi lakini vilikua vimejiunga pamoja ili kujilinda na uvamizi wa kutoka nje.
Enzi hizo Ugiriki ilikua Ugiriki kweli kuna madume ya haja hasa (Alpha, Beta peoples) mwaka 480 BC Mfalme Leonidas wa Sparta aliongoza jeshi la wanaume 300 tu kupambana na mfalme Xerxes kutoka Persia mwenye jeshi la watu 10000+ lakini waliwachinja hasa richa ya uchache wao. Japo Leonidas aliahindwa ila alijitahidi kuziwia uvamiI huo ambapo baadae Mfalme Xerxes alikuja kuuwawa na mrithi wa leonidas Themistocles
✓✓Kumbuka mfalme Xerxes ndio mfalme aliyemuoa Ester wa kwenye biblia ambae ester alitumia penzi kuziwia kuuwawa kwa Wayahudi wotewaliokua Babeli. (Kaa kumbukumbu zangu zipo sawa) Wafalme wa Persia waliitwa Ahasuerus. (Ahusuhero).
Sasa waku nini kiliwapata hawa watu? Gunduzi zote zilizofanywa kwao haziwanufaishi. Nilitegemea Ugiriki iwe miongoni mwa Super power county ila hata G7 haipo sijui G20.
Nini kiliwatokea? Sasa hivi hamna tena watu wenye akili au??
Aliekwambia hakina faida nani?Kweli hapo nimechapia ase ila Gemetry imeanzia Misri ila mzee baba Pythagoras na Archimedes walizikuza zaidi.
Da Vinci alizitumia kuchora na kuficha details kweye mchoro wake wa Vitruvius Man.
Hichi kitu hapa chini hakin faida kwa Mwanadamu basi tu kukaririshana😆
Ok, Ahsante kwa ufafanuzi.Wagiriki ndio Wayunani...tawala iliyokuja baada ya Babeli kisha Uami na Uajemi (Iran & Iraq)
Kimaandiko ndio waliokuwa na Elimu ya Tiba, Sayansi, Unajimu, nyota na Elementary Education kwa ujumla
Waliangushwa na dola ya kirumi wenye nguvu ya Pesa na Elimu (Ndio taasisi zenye Elimu bora zaidi duniani na pesa nyingi zaidi kupitia Roman Catholic Church)
Israel ni exceptional, walikuwepo tangu mwanzo na baraka za kipekee kwa wale waliomcha Mungu ila hawakuwa Organized kwa karne nyingi sana
Mwanazoni nilipoanza kusoma comment yako nilianza kuvutiwa kweli kuona kumbe kuna elimu nzuri nilikuwa siijui kuhusu Africa yetu. Nilipofika pale umeandika Ndalichako na Samia wamesitisha somo la uzalendo nikashituka ghafla, nikapoteza hata interest ya kuendelea kusoma.Mzee baba ulitakiwa kuwalaumu waafrika maana hao wagiriki ni chamtoto kabsa, technologia yote na theories zote za kisayansi walizowakalilisha walimu wenu wa uongo ni copied from ancients Africans, yaan karbia 90% ya sayans na technologia zlianzia afrika zkaja ugiriki, then kwa waarabu&wahind&wachina na watu wamwisho ni warumi au wazungu wotee.
na ndvyo ilivyo, mm nna ushahidi nitajie jambo lolote kubwa unalojua kavumbua mgiriki au mrumi kama halina mkono wa muafrika nyuma, ni vile tulimuhasi MUUMBA wa Afrika, akatupiga laana ya usahaulifu, yaan kila kitu tulchofanya kimesahaulika, kuna baazi ya muvies zmejarbu kuwafungua waafrika kuhusu ukuu wa muafria, lkn sie kwa kukaza akili hatuelewi, mfano kuna muvi ya Avatar ya mwaka 2009 December 19 by james cameron imejarbu kueleza nn kiliikumba jamii kama hii ya black people, pia kuna muvie ya Black panther ya juzi tu hapo nayo imejarbu kwambaal kuonesha ukuu wa muafrika japo kidogo sana lkn vichwa ngumu hamuelewi zaid ya kutizama actions bila kutafakari ujumbe wa muvi hiyo,,
Pia kuna masalia na mabaki ya technology za zaman ambazo mpka leo hii baaz ya watawala wetu wanatuficha kwa kutuhujumu na kuzikabizi kwa mabeberu(JIULIZE KWANINI SAMIA NA KIBARAKA WAKE NDALICHAKO WALISITISHA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA?), pia mujue kuwa hata lile sanduku la agano ambalo ktk biblia zenu za uongo zimelipotosha ukwel wake, ukwel ni kwamba lipo Afrika na linatafutwa zaid ya yanavyotafutwa madini yoyote hapa dunian, na wanaolitafta wanafanya siri, kupitia mawakala wao na maspy wao ambao wanakuja kama watalii, wana dini(catholic), wavumbuz wa mali kale, wawekezaji na mamluki wengine, na hili linafanywa kwa siri sana maana hata waafrika hamtambui hili jambo, na hamuwez kutambua mpka pale akil zetu zitakapoamka kutoka ktk usingiz wa kiroho ambao umesababishwa na sie kushika maadili na imani za hovyo, pia laana ya kumuhasi Muumba wa Dunia ambaye ni zaid ya Uungu wa imani zote za kigen, huyu afananishwi na lolote, hajawai onekana na hatowai onekana kwa kiumbe kama mtu, zaid utahisii uwepo wake kupitia nguvu zake(Roho mtakatifu) Ama nguvu za asiri, ama nature ambayo ina control kila kitu hapa dunian.
Huwa nasikitika sana kuwaona waafrika wanamtukuza mtu mweupe yaani hiyo ni zaid ya kufuru, najua wengi hamjabahatika kupata ukomboz wa fikra ndyomaana bado hamuelewi nachokisema, kila ukionacho hiv leo si kipya, bali kilikuwepo kwa namna nyingine, leo kipo kwa namna nyingne ambayo n namna ya uongo wa kubuni kutoka ktk ukweli halisi....AMKENI WAAFRIKA, WEW NDYE mungu wa dunia baada ya Yule asiefananishwa na lolote, naposema MUUMBA namaanisha zaidi ya Umungu, Muumba wa kwel ni zaid ya umungu wenu mliokalilishwa na imani zakipuuzi hizo....Amkeni wakati ni sasa.
.View attachment 1902057
Bila shaka ni Mungu pale alipompatia Katiba kwa maneno Adam na Eva baadae akampatia katiba Musa za kuwaongoza wayahudi. Ilikua ni katiba yenye sheria kumi tu na zingine zaid ya sabini zilizotoka kwenye mila za wayahudiHivi ni nani alianzisha Katiba duniani?
Historia ya Tanzania ilikuwa ni upuuzi mtupu!Mzee baba ulitakiwa kuwalaumu waafrika maana hao wagiriki ni chamtoto kabsa, technologia yote na theories zote za kisayansi walizowakalilisha walimu wenu wa uongo ni copied from ancients Africans, yaan karbia 90% ya sayans na technologia zlianzia afrika zkaja ugiriki, then kwa waarabu&wahind&wachina na watu wamwisho ni warumi au wazungu wotee.
na ndvyo ilivyo, mm nna ushahidi nitajie jambo lolote kubwa unalojua kavumbua mgiriki au mrumi kama halina mkono wa muafrika nyuma, ni vile tulimuhasi MUUMBA wa Afrika, akatupiga laana ya usahaulifu, yaan kila kitu tulchofanya kimesahaulika, kuna baazi ya muvies zmejarbu kuwafungua waafrika kuhusu ukuu wa muafria, lkn sie kwa kukaza akili hatuelewi, mfano kuna muvi ya Avatar ya mwaka 2009 December 19 by james cameron imejarbu kueleza nn kiliikumba jamii kama hii ya black people, pia kuna muvie ya Black panther ya juzi tu hapo nayo imejarbu kwambaal kuonesha ukuu wa muafrika japo kidogo sana lkn vichwa ngumu hamuelewi zaid ya kutizama actions bila kutafakari ujumbe wa muvi hiyo,,
Pia kuna masalia na mabaki ya technology za zaman ambazo mpka leo hii baaz ya watawala wetu wanatuficha kwa kutuhujumu na kuzikabizi kwa mabeberu(JIULIZE KWANINI SAMIA NA KIBARAKA WAKE NDALICHAKO WALISITISHA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA?), pia mujue kuwa hata lile sanduku la agano ambalo ktk biblia zenu za uongo zimelipotosha ukwel wake, ukwel ni kwamba lipo Afrika na linatafutwa zaid ya yanavyotafutwa madini yoyote hapa dunian, na wanaolitafta wanafanya siri, kupitia mawakala wao na maspy wao ambao wanakuja kama watalii, wana dini(catholic), wavumbuz wa mali kale, wawekezaji na mamluki wengine, na hili linafanywa kwa siri sana maana hata waafrika hamtambui hili jambo, na hamuwez kutambua mpka pale akil zetu zitakapoamka kutoka ktk usingiz wa kiroho ambao umesababishwa na sie kushika maadili na imani za hovyo, pia laana ya kumuhasi Muumba wa Dunia ambaye ni zaid ya Uungu wa imani zote za kigen, huyu afananishwi na lolote, hajawai onekana na hatowai onekana kwa kiumbe kama mtu, zaid utahisii uwepo wake kupitia nguvu zake(Roho mtakatifu) Ama nguvu za asiri, ama nature ambayo ina control kila kitu hapa dunian.
Huwa nasikitika sana kuwaona waafrika wanamtukuza mtu mweupe yaani hiyo ni zaid ya kufuru, najua wengi hamjabahatika kupata ukomboz wa fikra ndyomaana bado hamuelewi nachokisema, kila ukionacho hiv leo si kipya, bali kilikuwepo kwa namna nyingine, leo kipo kwa namna nyingne ambayo n namna ya uongo wa kubuni kutoka ktk ukweli halisi....AMKENI WAAFRIKA, WEW NDYE mungu wa dunia baada ya Yule asiefananishwa na lolote, naposema MUUMBA namaanisha zaidi ya Umungu, Muumba wa kwel ni zaid ya umungu wenu mliokalilishwa na imani zakipuuzi hizo....Amkeni wakati ni sasa.
.View attachment 1902057