Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

nasikitika kusema kuwa wew bado mchanga ktk elimu ya ugunduzi, na umeshakuwa brainwashed by white supremacy, baazi ya hao uliowataja hawajawai ku exist na hawatowai lakn walifojika kwa kuiba uhusika wa wahusika wakweli na kupachika uhusika wa kwel kwa muhusika wa uongo(imaginary character), na nikikuomba ushahid wao utabaki kujibaraguza hapa maana wew mwenyew umekalil[emoji23][emoji23][emoji23]...wake up bro
Kwa kigezo gan umemweka YESU namba 3 na sio 1 au kutomweka kabisa
 
Mkuu unataka kusema hata Zanzibar haikua na watu weusi basi. Kama tusingekua na muungano nadhani kizazi halisi cha wanzibbar kingekuja kutoweka na kubaki warabu kama ilivyo algeria.
Wenyeji wa Afrika Kaskazini ni Amazigh ambao wana asili ya Cushitic. Cushites na Bantu ni watu tofauti kabisa. Cushites wana asili ya Kaskazini Mashariki mwa Afrika.

Asilimia kubwa ya Amazigh wamechanganyika na Wazungu na Waarabu kwa sasa.

Waarabu wa Afrika Kaskazini ni wavamizi kutokea Uarabuni, walivamia wakati wa kueneza Uislamu.
 
Mkuu unataka kusema hata Zanzibar haikua na watu weusi basi. Kama tusingekua na muungano nadhani kizazi halisi cha wanzibbar kingekuja kutoweka na kubaki warabu kama ilivyo algeria.
Hivi unajuw afrika Ina wat w aina ngapi (ethnicaly character)!? Johansu ni weus!?
Kw kesi ya Zanzibar mkuu haitosh kuw mfano kw kesi y misri itatsmbua kidogo sabb hat Zanzibar yenyew nahis kw population namba yao nahis hakkukaliw n wat zaman wamehamia tu (hii inalet urahis pengne w kudisapear namb yao ple kisiwaNi). Kam una ushahid w ugunduz mkubw w miak mingi iliyopita hapo Zanzibar Kam misri weka hapa tuijadl
 
Mods naomba huu Uzi muulinde kwa nguvu zote,Mimi Nina interest sana Ishu km hizi.Napenda sana Falsafa na Sayansi.
 
Hivi unajuw afrika Ina wat w aina ngapi (ethnicaly character)!? Johansu ni weus!?
Kama sijakosea ni aina 4
Kw kesi ya Zanzibar mkuu haitosh kuw mfano kw kesi y misri itatsmbua kidogo sabb hat Zanzibar yenyew nahis kw population namba yao nahis hakkukaliw n wat zaman wamehamia tu (hii inalet urahis pengne w kudisapear namb yao ple kisiwaNi).
Umenipa kitu kipya hapa mkuu ngoja niendelee kufuatiliwa
una ushahid w ugunduz mkubw w miak mingi iliyopita hapo Zanzibar Kam misri weka hapa tuijadl
Kwakweli sina ushahidi wowote mkuu nimejaribu kuibua mjadala tu.. Sijui mwenzangu labda unaweza kua na facts kuhusu chimbuko la Zanzibar tujifunze
 
So Wamisri walikua weupe au weusi kwa muono wako mate??
Brown na nywele laini zilizojisokota kama ilivyo kwa jamii nyingi za Ethiopia na Wasomali.

1629648143096.png

1629648217797.png

1629648285575.png

1629648350749.png
 
Watu weusi misri wameingizw nautumwa mkuu.. ndo mana ni minority group pale misri' Kam ulivyo kwao minority in Asia, America n europe' pili, wazawa w misri Kam wangekuwa weusi lazima tuwe n tresi ni Lin hasa muarab aliingia pale na kwa hoja zipi has muarab akatwaa uongoz n uwingi was wat wake kias Cha mzawa kukos madaraka yote mpak kuwa mtumwa
Alaf hizi za michoro kuonekan n pua kubwa sijui au kuonekan miungu yenye rangi nyeus ni hoja zeny dhana ya kuuikweza tu uafrika sabb (north Africa yenyew) tukisem misri weusi lazima tuelezee imekuaje misri na sio north yote!?vip!? na kw nn Libya, Tunisia na moroko Arabs pia!? hao weusi walitolewaje!? .North yote mpak wazawa Afrikan kuw minorities maeneo hayo!?
Toa elimu hiyo mkuu
Nilikuwa napita kama msomaji mpaka nilivyoona hoja yako hapa, mkuu ishu ya race kufutwa ni rahisi sana rejea hapo Argentine(amerika kusini) kwa kina Messi, huko watumwa wengi walipelekwa kiasi kwamba Brazil,Peru,Uruguay na nchi zingine miaka hii zina population kubwa ya blacks lakini ni tofauti kwa Argentine ambayo inasemekana waliwafanyizia watu weusi na kuwapoteza kabisa kwenye ramani ya nchi yao mpaka sasa hivi huji kumsikia wala kumuona muajentina mweusi!


Race kufutwa sehemu ni rahisi tu mkuu, kumbuka hata miaka inayosemwa hapo ni zaidi ya miaka 5000 iliyopita!
 
Archimedes Ni yule aliyesema"eureka" yaani nimegundua. Newton alirusha embe juu akajiuliza ni kwa nini lianguke, lisiendelee kwenda juu? Sijui kama alikuwa Myunani! Sio mchezo Wayunani ni kichwa!
 
Mwanazoni nilipoanza kusoma comment yako nilianza kuvutiwa kweli kuona kumbe kuna elimu nzuri nilikuwa siijui kuhusu Africa yetu. Nilipofika pale umeandika Ndalichako na Samia wamesitisha somo la uzalendo nikashituka ghafla, nikapoteza hata interest ya kuendelea kusoma.
Hapo ndipo aliharibu!!
 
Hii kwako mr Da'Vinci na kwa wengine wenye mitazamo eti wamisri walikuwa weusi tii. sijui ni misingi gani mnabase your claim. Nadhani mnatumia misingi ya ubara na urangi, eti kwa kuwa misri ipo pamoja na bara la Afrika, eti kama njia ya kuonyeaha mtu mweusi nae yumo. Si sawa kufanya hivyo tafuta ukweli na ukweli atakuweka huru.
Mimi napinga kuwa wamisri wa kale walikuwa weusi kwa kutumia kanuni za kigeographia. Yatupasa kujua watu katika sayari yetu hapo kale walikuwa wametenganishwa kwa namna mbalimbali: kuna bahari,kuna mito, kuna mabonde ya ufa, kuna milima, na pia kuna majangwa. Hili la mwisho jangwa watu huwa hawazingatii kabisa lakini sisi waafrika rangi nyeusi twapaswa kujua the great sahara desert kama moja wapo wa ukinzani uliotukinga na maendeleo kwa miaka mingi hapo nyuma.
Ukitazama ramani yako chini ya jangwa la sahara ndio kuna watu weusi juu yake kuna watu rangi nyeupe. Ukiuliza kwa nini ni kwa sababu ilikuwa haiwezekani enzi hizo weupe kushuka chini na weusi kwenda juuu. In short wamisri wenyewe walishindwa kufwatilia chanzo cha mto nile kutokana na ukakasi uliletwa na jangwa. Imagine wamisri wangefika Victoria si wangetuabudu kama miungu wao na kutupa ujuzi wao wote. Mbali na kuwa kizuizi kikuu pia ilipelekea kusini kutokupata farasi na farasi ndio ilikuwa yaendesha uchumi kipindi hicho. Sasa tunapata taabu sana kwa sababu kuna baadhi ya stage wafrika weusi hatujapitia katika maendeleo yetu.
Hebu jaribu kuielezea vizuri mada yako!!
 
Kilichoharibu kabisa genetic codes za wagiriki na waitaliano kutoka kuwa magenius mpaka kuwa mazwazwa kama sasa hivi ni kutumia vifaa vilivyotengenezwa kwa Lead(Pb) katika matumizi yao ya winery, wametumia vifaa hivyo kuivisha vinyo mpaka kwenye vifaa vya kunywea, walkuwa wakiweka vinyo kwenye vikombe vya Lead inakuwa tamu sana mpaka wakavipa jina la kuvifisia kumbe wanajiua! Wale walio na mwanga kidogo wa kemia wanajua madhara ya heavy metals haswa Lead(Pb) na Mercury(Hg). Hizi metals zinaathiri kuanzia kwenye ubongo, reproductive systems mpaka genes!
Nadhani ndo hyo sababu( yaani walitumia vifaa hivyo bila kujua zaidi ya miaka 4000)
 
Back
Top Bottom