Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
Kwa kigezo gan umemweka YESU namba 3 na sio 1 au kutomweka kabisanasikitika kusema kuwa wew bado mchanga ktk elimu ya ugunduzi, na umeshakuwa brainwashed by white supremacy, baazi ya hao uliowataja hawajawai ku exist na hawatowai lakn walifojika kwa kuiba uhusika wa wahusika wakweli na kupachika uhusika wa kwel kwa muhusika wa uongo(imaginary character), na nikikuomba ushahid wao utabaki kujibaraguza hapa maana wew mwenyew umekalil[emoji23][emoji23][emoji23]...wake up bro
Unataka nikutolee uvivu?Wewe umegundua nini mpaka sasa?
Wenyeji wa Afrika Kaskazini ni Amazigh ambao wana asili ya Cushitic. Cushites na Bantu ni watu tofauti kabisa. Cushites wana asili ya Kaskazini Mashariki mwa Afrika.Mkuu unataka kusema hata Zanzibar haikua na watu weusi basi. Kama tusingekua na muungano nadhani kizazi halisi cha wanzibbar kingekuja kutoweka na kubaki warabu kama ilivyo algeria.
Hivi unajuw afrika Ina wat w aina ngapi (ethnicaly character)!? Johansu ni weus!?Mkuu unataka kusema hata Zanzibar haikua na watu weusi basi. Kama tusingekua na muungano nadhani kizazi halisi cha wanzibbar kingekuja kutoweka na kubaki warabu kama ilivyo algeria.
Kama sijakosea ni aina 4Hivi unajuw afrika Ina wat w aina ngapi (ethnicaly character)!? Johansu ni weus!?
Umenipa kitu kipya hapa mkuu ngoja niendelee kufuatiliwaKw kesi ya Zanzibar mkuu haitosh kuw mfano kw kesi y misri itatsmbua kidogo sabb hat Zanzibar yenyew nahis kw population namba yao nahis hakkukaliw n wat zaman wamehamia tu (hii inalet urahis pengne w kudisapear namb yao ple kisiwaNi).
Kwakweli sina ushahidi wowote mkuu nimejaribu kuibua mjadala tu.. Sijui mwenzangu labda unaweza kua na facts kuhusu chimbuko la Zanzibar tujifunzeuna ushahid w ugunduz mkubw w miak mingi iliyopita hapo Zanzibar Kam misri weka hapa tuijadl
Brown na nywele laini zilizojisokota kama ilivyo kwa jamii nyingi za Ethiopia na Wasomali.So Wamisri walikua weupe au weusi kwa muono wako mate??
Nilikuwa napita kama msomaji mpaka nilivyoona hoja yako hapa, mkuu ishu ya race kufutwa ni rahisi sana rejea hapo Argentine(amerika kusini) kwa kina Messi, huko watumwa wengi walipelekwa kiasi kwamba Brazil,Peru,Uruguay na nchi zingine miaka hii zina population kubwa ya blacks lakini ni tofauti kwa Argentine ambayo inasemekana waliwafanyizia watu weusi na kuwapoteza kabisa kwenye ramani ya nchi yao mpaka sasa hivi huji kumsikia wala kumuona muajentina mweusi!Watu weusi misri wameingizw nautumwa mkuu.. ndo mana ni minority group pale misri' Kam ulivyo kwao minority in Asia, America n europe' pili, wazawa w misri Kam wangekuwa weusi lazima tuwe n tresi ni Lin hasa muarab aliingia pale na kwa hoja zipi has muarab akatwaa uongoz n uwingi was wat wake kias Cha mzawa kukos madaraka yote mpak kuwa mtumwa
Alaf hizi za michoro kuonekan n pua kubwa sijui au kuonekan miungu yenye rangi nyeus ni hoja zeny dhana ya kuuikweza tu uafrika sabb (north Africa yenyew) tukisem misri weusi lazima tuelezee imekuaje misri na sio north yote!?vip!? na kw nn Libya, Tunisia na moroko Arabs pia!? hao weusi walitolewaje!? .North yote mpak wazawa Afrikan kuw minorities maeneo hayo!?
Toa elimu hiyo mkuu
Mbona hizo picha ni za red indians mkuuBrown na nywele laini zilizojisokota kama ilivyo kwa jamii nyingi za Ethiopia na Wasomali.
View attachment 1903475
View attachment 1903477
View attachment 1903478
View attachment 1903480
Ndio mkuu, mmoja ya watu wazawa wa amerika ni yule demu wa kwenye movie ya apocalyptoHata race ya red indian imepotea kiasi chake waliojazana marekani ni black america na whites kutoja Ulaya
Hapana, ni Amazigh au Berbers. Wenyeji wa asili wa Afrika Kaskazini.Mbona hizo picha ni za red indians mkuu
Huyo wa kulia ni jamii ya Cushites, nadhani ni Beja wa Sudan.Mkuu vipi kuhusu hawa...?
View attachment 1903601
Jinga kabisa wewe!!Akili za chadema katiba ili mbowe awe raisi akili za tikiki
Hapo ndipo aliharibu!!Mwanazoni nilipoanza kusoma comment yako nilianza kuvutiwa kweli kuona kumbe kuna elimu nzuri nilikuwa siijui kuhusu Africa yetu. Nilipofika pale umeandika Ndalichako na Samia wamesitisha somo la uzalendo nikashituka ghafla, nikapoteza hata interest ya kuendelea kusoma.
Hebu jaribu kuielezea vizuri mada yako!!Hii kwako mr Da'Vinci na kwa wengine wenye mitazamo eti wamisri walikuwa weusi tii. sijui ni misingi gani mnabase your claim. Nadhani mnatumia misingi ya ubara na urangi, eti kwa kuwa misri ipo pamoja na bara la Afrika, eti kama njia ya kuonyeaha mtu mweusi nae yumo. Si sawa kufanya hivyo tafuta ukweli na ukweli atakuweka huru.
Mimi napinga kuwa wamisri wa kale walikuwa weusi kwa kutumia kanuni za kigeographia. Yatupasa kujua watu katika sayari yetu hapo kale walikuwa wametenganishwa kwa namna mbalimbali: kuna bahari,kuna mito, kuna mabonde ya ufa, kuna milima, na pia kuna majangwa. Hili la mwisho jangwa watu huwa hawazingatii kabisa lakini sisi waafrika rangi nyeusi twapaswa kujua the great sahara desert kama moja wapo wa ukinzani uliotukinga na maendeleo kwa miaka mingi hapo nyuma.
Ukitazama ramani yako chini ya jangwa la sahara ndio kuna watu weusi juu yake kuna watu rangi nyeupe. Ukiuliza kwa nini ni kwa sababu ilikuwa haiwezekani enzi hizo weupe kushuka chini na weusi kwenda juuu. In short wamisri wenyewe walishindwa kufwatilia chanzo cha mto nile kutokana na ukakasi uliletwa na jangwa. Imagine wamisri wangefika Victoria si wangetuabudu kama miungu wao na kutupa ujuzi wao wote. Mbali na kuwa kizuizi kikuu pia ilipelekea kusini kutokupata farasi na farasi ndio ilikuwa yaendesha uchumi kipindi hicho. Sasa tunapata taabu sana kwa sababu kuna baadhi ya stage wafrika weusi hatujapitia katika maendeleo yetu.
Wengine ni watoto wajuzi, nenda nao pole pole!duuuu aisee kazi Ipo Plato ni mwanafalsafa mgiriki aliishi miaka mingi nyuma kabla ya Yesu na sio Ponsio Pilato mrumi ndugu!