Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Hawa Wagiriki si ndio Wayunani? Hawa walijaaliwa Elimu na Maarifa ya dunia na Mungu mwenyewe, Waliangushwa na Warumi ambao wao walijaliwa kushika Elimu na Uchumi wa dunia mpaka hivi leo.
Na hii ndio point yangu ya mwanzo jamii ikishakubali kwamba wale wamejaliwa ndio maana wapo vile itaendelea kuwa duni...., hakuna kiumbe anayezaliwa ili awe mjinga au mwerevu..., bali mazingira na utamaduni ndio unawapa watu fursa ya kuwa waelevu au wajinga...

Kama jamii hamuwezi kutumia muda wenu wote kushikana uchawi na kupiga majungu alafu mkategemea mtatatua matatizo yenu ya kuongeza uzalishaji wa mazao au ni vipi mtarahisisha umwagiliziaji n.k.
 
Hivi unajua sehemu kama Egypt, Mesopotamia, Crete, Syria, Anatolia, Iran, and the Indus Valley walipata civilization kabla hata ya wagiriki....

Pia wachina waligundua mengi na kusafiri hata kabla ya wengi ambao ndio wamekuwa accredited na ugunduzi huo...

Kwa ufupi ni utamaduni, kukiwa na utamaduni wa kuhoji na watu kupenda kujifunza basi jamii itagundua vitu na kuendelea (Binadamu wanazaliwa wakiwa a Blank Slate) Tabula Rasa ila jamii inayowazunguka ndio inawajengea wawe watu wa aina gani...

Iran ilikuwa imepiga hatua sana, lakini kuingia mambo ya imani all was destroyed in few years. Wachina walikuwa wamesafiri duniani kote tangia zamani ila Mfalme wao kupiga marufuku culture za nje ikawapunguzia kasi...

Kwahio na sisi hizi indoctrination kwamba kila kitu tumepewa au kila kitu kina sababu, hakuna kuhoji wala kutafuta ukweli usishangae miaka milioni moja ijayo tukawa bado tunapiga ramli na kudhani ni Jirani yetu katuloga, au tukiugua ni Mungu amependa.
na kwel watu watakupinga maana wamekalili elimu ya miaka 1500 A.D ambayo kimsing ni elimu takataka, wanasahau kuwa kuna elimu ya kwel ambayo ndyo Chanzo ama Baba wa sayans&uvumbuz ambayo chanzo chake ni zaid ya miaka 10000 before the foolish white jesus[emoji23][emoji23][emoji23](10000B.C) hil jambo hata walimu wa PHD& MASTERS kwa afrika hutoona walifundsha maana nao wamerithishwa takataka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.
1. Imhotep
2.Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Yesu alitakiwa awe namba moja. I bet Newton and Einstein were a bit smarter than Tesla.
 
Ashuru ilikuwa dola nyingine kabisa wala haihusiani na dola ya Persia au Waajemi kama tuwaitavyo. Dola ya Waashuru iliitangulia dola ya Babeli as a superpower nation.
Kwanza kabisa sijawataja Waashuru kweye uzi huu nimewataja waajemi tu (Persian yaani iran)
Ahusuhero ni majina ya viongozi wa persian kwa mujibu wa tafsiri mbalimbali kama ilivyokua kwa wamisri Pharaoh na warumi Caesar.

Wafalme wa Ashuru (Assyria) ni kama Sennacherib na Sargon. Dola ya Ashuru ilipoanguka ndipo Babeli ika rise as superpower commanding the then world.
Ahsante kwa kwa mchango ..
Ikafata Dola ya Wamedi na Waajemi ambao hawa waliangusha utawala wa Babeli..hii dola nayo ikadumu hadi Alipokuja Alekzanda mkuu akiwa na dola ya kigiriki, kijana wa Philip wa Macedonia...akaiangusha dola ya Wamedi na Waajemi.
Kabisa nakubali. Na alexandar anabaki kua bora kwakua alipewa madini yote na Aristotle.. hapa ndio tutaona elimu na Utawala zinavyosaidia. Alexander aliweza kwa kutumia tactics na Falsafa alizofundishwa na Aristotle.

Unaona hata Marcus aurelius aliweza kuongoza vyema kwakua alichagua Zeno of citium kua mentor wake katika falsafa. Nami nimemchagua Aurelius kuwa mentor wangu wa maisha🙏
Wagiriki wakatawala ulimwengu ktk zama zao...Alexander alifika hadi Misri pale akajenga ule mji uitwao Alexandria uliopo mpaka leo...na alipoondoka hapo hakurudi tena. Alexander alifika hadi Modern day India akiwa na majeshi yake..wakishinda na kumiliki miji.
Alexander ilikuja kuanguka mikononi mwa Cleopatra ikapelekea kuharibiwa kwa Maktaba ya kwqnza duniani ikiyokua ina urithi wa maarifa mengi ya watu wa misri enzi za utawala wa warumi
Alipotaka kwenda Hadi uchina..wanajeshi wakaasi..ikabidi waanze safari ya kurudi...alikufa akiwa kijana kabisa aged 32. Under him the Greek culture flourished, Alexander mwenyewe alifundishwa elimu na Aristotle mwenyewe.
Watu wa zamani kweli umri hakujalisha katika kutenda mambo makubwa eg, Yesu, nyerere nk. Dogo angeishi japo miaka 50 Sijui ingekuaje
Katika conquest zote, bwn. Alexander alitumia farasi wake mmoja tu aliyempenda sana aliitwa Bucephalus, alipokufa huyu farasi, Alexander akauita mji jina la farasi huyu huko India kwa kumbukumbu ya farasi wake.

Alipokufa bwn. Alexander utawala wake ukaganyika into four sections chini ya majemedari wake...ukaenda hivyo uki decline hadi Warumi walipoibuka 168BC as superpower.

Warumi nao wakatawala dunia kwa mkono wa chuma...hadi 476 dola yao ilipoanguka. Dola wa Warumi ilipoanguka ndipo zikatokea modern European states zilizodumu hadi Leo.

Point ya hii narration yote ni kueleza kuwa kila zama na kitabu chake...enzi ikienda hairudi tena. Kitu ambacho ni common ni kuwa tamaduni mbalimbali za tawala zilizotangulia zilirithiwa na tawala zilizofutia.

Timeline ya tawala za dunia hadi mwisho wa dunia hii Mungu alifunua kupitia ndoto aliyomwotesha mfalme Nebukadneza iliyofasiriwa na nabii Daniel na maono aliyoyaona Daniel kuhusiana na wale wanyama wanne.

So ile Geeece supremacy haiwezi kujirudia till the end...maana utawala wao kama malaika Gabriel alivyomuelekeza Daniel ulikuja kama ulivyotabiriwa na ukapita wakaja wengine.
Kwel kila zama na kitabu chake.. Sikutegemea Rumi na Ugiriki zitakuja kuanguka. Naona na Great Britain nayo ilishasagika japo inajitutumua bado..Ngoja tuone kama USA nae atakuja kuanguka kama wengine au nivipi..


Finally a worth opponent, our battle will be legendary 😆
 
Na hii ndio point yangu ya mwanzo jamii ikishakubali kwamba wale wamejaliwa ndio maana wapo vile itaendelea kuwa duni...., hakuna kiumbe anayezaliwa ili awe mjinga au mwerevu..., bali mazingira na utamaduni ndio unawapa watu fursa ya kuwa waelevu au wajinga...

Kama jamii hamuwezi kutumia muda wenu wote kushikana uchawi na kupiga majungu alafu mkategemea mtatatua matatizo yenu ya kuongeza uzalishaji wa mazao au ni vipi mtarahisisha umwagiliziaji n.k.
Sawa Mkuu, Mimi nimejibu kwa religious point of view, katika tawala hizo mbili
 
Yesu alitakiwa awe namba moja. I bet Newton and Einstein were a bit smarter than Tesla.
Nimitaja wanafalsafa bora yee ndio namuweka namba moja. Hakua scientist wala mathematician. Kwenye Invention bado naona Newton ni bora kuliko einstein ila kati ya Tesla na Newton hapo sasa mambo hua dro.
 
Sio kwamba Rumi ndio iliangushwa na lugha?? Ila Rumi wajanja waliachana na kutumia ubabe wakatawala watu kwa kutumia dini! Na wote tuseme amina [emoji38]
Constantino mjanja sana nadhani aliona tawala ya Rumi inaenda kufa akaamua kutumia njia nyingine kutawala dunia. Si unaona watawala wa superpower county lazima wakapige chata kwanza Vatican [emoji38]
Hapana soma vizuri historia ya ugiriki na kwann lugha yao haikuwahi kuenea kama ilivyo kiingereza
 
Mzee baba ulitakiwa kuwalaumu waafrika maana hao wagiriki ni chamtoto kabsa, technologia yote na theories zote za kisayansi walizowakalilisha walimu wenu wa uongo ni copied from ancients Africans, yaan karbia 90% ya sayans na technologia zlianzia afrika zkaja ugiriki, then kwa waarabu&wahind&wachina na watu wamwisho ni warumi au wazungu wotee.

na ndvyo ilivyo, mm nna ushahidi nitajie jambo lolote kubwa unalojua kavumbua mgiriki au mrumi kama halina mkono wa muafrika nyuma, ni vile tulimuhasi MUUMBA wa Afrika, akatupiga laana ya usahaulifu, yaan kila kitu tulchofanya kimesahaulika, kuna baazi ya muvies zmejarbu kuwafungua waafrika kuhusu ukuu wa muafria, lkn sie kwa kukaza akili hatuelewi, mfano kuna muvi ya Avatar ya mwaka 2009 December 19 by james cameron imejarbu kueleza nn kiliikumba jamii kama hii ya black people, pia kuna muvie ya Black panther ya juzi tu hapo nayo imejarbu kwambaal kuonesha ukuu wa muafrika japo kidogo sana lkn vichwa ngumu hamuelewi zaid ya kutizama actions bila kutafakari ujumbe wa muvi hiyo,,

Pia kuna masalia na mabaki ya technology za zaman ambazo mpka leo hii baaz ya watawala wetu wanatuficha kwa kutuhujumu na kuzikabizi kwa mabeberu(JIULIZE KWANINI SAMIA NA KIBARAKA WAKE NDALICHAKO WALISITISHA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA?), pia mujue kuwa hata lile sanduku la agano ambalo ktk biblia zenu za uongo zimelipotosha ukwel wake, ukwel ni kwamba lipo Afrika na linatafutwa zaid ya yanavyotafutwa madini yoyote hapa dunian, na wanaolitafta wanafanya siri, kupitia mawakala wao na maspy wao ambao wanakuja kama watalii, wana dini(catholic), wavumbuz wa mali kale, wawekezaji na mamluki wengine, na hili linafanywa kwa siri sana maana hata waafrika hamtambui hili jambo, na hamuwez kutambua mpka pale akil zetu zitakapoamka kutoka ktk usingiz wa kiroho ambao umesababishwa na sie kushika maadili na imani za hovyo, pia laana ya kumuhasi Muumba wa Dunia ambaye ni zaid ya Uungu wa imani zote za kigen, huyu afananishwi na lolote, hajawai onekana na hatowai onekana kwa kiumbe kama mtu, zaid utahisii uwepo wake kupitia nguvu zake(Roho mtakatifu) Ama nguvu za asiri, ama nature ambayo ina control kila kitu hapa dunian.

Huwa nasikitika sana kuwaona waafrika wanamtukuza mtu mweupe yaani hiyo ni zaid ya kufuru, najua wengi hamjabahatika kupata ukomboz wa fikra ndyomaana bado hamuelewi nachokisema, kila ukionacho hiv leo si kipya, bali kilikuwepo kwa namna nyingine, leo kipo kwa namna nyingne ambayo n namna ya uongo wa kubuni kutoka ktk ukweli halisi....AMKENI WAAFRIKA, WEW NDYE mungu wa dunia baada ya Yule asiefananishwa na lolote, naposema MUUMBA namaanisha zaidi ya Umungu, Muumba wa kwel ni zaid ya umungu wenu mliokalilishwa na imani zakipuuzi hizo....Amkeni wakati ni sasa.
.View attachment 1902057
Bila shaka humjui Imhotep, imhotep alikua mtu mweusi kama mkaa jinsi ulivyo wewe kutoka misri. Nawamisri kipindi hicho walikua blacks. Mimi sio kwamba nawatukuza wazungu tatizo wafrika hatutunzi kumbukumbu. Wewe mwenyewe nikikuambia nionyeshe daftari la darasa la saba huna wala form one.
Sasa kama kumbukumbu hatutunzi unataka tujidaie kwa vitu visivyokua na ushahidi? Bora wamisri walijitahidi kutunza tamaduni zao.

Naonaa umegusia kuhusu muvi ya Black Panther. Huku ndio kwenyewe sasa napopapend...
Kwanza kabisa naomba unijibu hapa
...Je hua unasoma Comics.....?????
 
Kwanza kabisa sijawataja Waashuru kweye uzi huu nimewataja waajemi tu (Persian yaani iran)
Ahusuhero ni majina ya viongozi wa persian kwa mujibu wa tafsiri mbalimbali kama ilivyokua kwa wamisri Pharaoh na warumi Caesar.


Ahsante kwa kwa mchango ..

Kabisa nakubali. Na alexandar anabaki kua bora kwakua alipewa madini yote na Aristotle.. hapa ndio tutaona elimu na Utawala zinavyosaidia. Alexander aliweza kwa kutumia tactics na Falsafa alizofundishwa na Aristotle.

Unaona hata Marcus aurelius aliweza kuongoza vyema kwakua alichagua Zeno of citium kua mentor wake katika falsafa. Nami nimemchagua Aurelius kuwa mentor wangu wa maisha🙏

Alexander ilikuja kuanguka mikononi mwa Cleopatra ikapelekea kuharibiwa kwa Maktaba ya kwqnza duniani ikiyokua ina urithi wa maarifa mengi ya watu wa misri enzi za utawala wa warumi

Watu wa zamani kweli umri hakujalisha katika kutenda mambo makubwa eg, Yesu, nyerere nk. Dogo angeishi japo miaka 50 Sijui ingekuaje

Kwel kila zama na kitabu chake.. Sikutegemea Rumi na Ugiriki zitakuja kuanguka. Naona na Great Britain nayo ilishasagika japo inajitutumua bado..Ngoja tuone kama USA nae atakuja kuanguka kama wengine au nivipi..


Finally a worth opponent, our battle will be legendary 😆
Kilichonifanya niwagusie Waashuru ni kwa sababu earlier uzi wako ulisomeka hivyo...uliandika kuhusu Ahasuero then kwenye mabano ukaandika Ashuru. Ndiyo maana nikaanza na hiyo correction...labda kama uliedit baadaye.

Anyways lets learn history....hata Great Britain hawezi tena kureclaim her former glory. The empire ambayo jua halizami.

Superpowers za leo kama Marekani na Uchina they are too strong....hata mchina mwenyewe hawezi kumuangusha US....

Kwa sisi wanafunzi wa unabii tunajua kuwa the US has a role to play in the final world events...it is not going down anaytime soon.
 
Mzee baba ulitakiwa kuwalaumu waafrika maana hao wagiriki ni chamtoto kabsa, technologia yote na theories zote za kisayansi walizowakalilisha walimu wenu wa uongo ni copied from ancients Africans, yaan karbia 90% ya sayans na technologia zlianzia afrika zkaja ugiriki, then kwa waarabu&wahind&wachina na watu wamwisho ni warumi au wazungu wotee.

na ndvyo ilivyo, mm nna ushahidi nitajie jambo lolote kubwa unalojua kavumbua mgiriki au mrumi kama halina mkono wa muafrika nyuma, ni vile tulimuhasi MUUMBA wa Afrika, akatupiga laana ya usahaulifu, yaan kila kitu tulchofanya kimesahaulika, kuna baazi ya muvies zmejarbu kuwafungua waafrika kuhusu ukuu wa muafria, lkn sie kwa kukaza akili hatuelewi, mfano kuna muvi ya Avatar ya mwaka 2009 December 19 by james cameron imejarbu kueleza nn kiliikumba jamii kama hii ya black people, pia kuna muvie ya Black panther ya juzi tu hapo nayo imejarbu kwambaal kuonesha ukuu wa muafrika japo kidogo sana lkn vichwa ngumu hamuelewi zaid ya kutizama actions bila kutafakari ujumbe wa muvi hiyo,,

Pia kuna masalia na mabaki ya technology za zaman ambazo mpka leo hii baaz ya watawala wetu wanatuficha kwa kutuhujumu na kuzikabizi kwa mabeberu(JIULIZE KWANINI SAMIA NA KIBARAKA WAKE NDALICHAKO WALISITISHA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA?), pia mujue kuwa hata lile sanduku la agano ambalo ktk biblia zenu za uongo zimelipotosha ukwel wake, ukwel ni kwamba lipo Afrika na linatafutwa zaid ya yanavyotafutwa madini yoyote hapa dunian, na wanaolitafta wanafanya siri, kupitia mawakala wao na maspy wao ambao wanakuja kama watalii, wana dini(catholic), wavumbuz wa mali kale, wawekezaji na mamluki wengine, na hili linafanywa kwa siri sana maana hata waafrika hamtambui hili jambo, na hamuwez kutambua mpka pale akil zetu zitakapoamka kutoka ktk usingiz wa kiroho ambao umesababishwa na sie kushika maadili na imani za hovyo, pia laana ya kumuhasi Muumba wa Dunia ambaye ni zaid ya Uungu wa imani zote za kigen, huyu afananishwi na lolote, hajawai onekana na hatowai onekana kwa kiumbe kama mtu, zaid utahisii uwepo wake kupitia nguvu zake(Roho mtakatifu) Ama nguvu za asiri, ama nature ambayo ina control kila kitu hapa dunian.

Huwa nasikitika sana kuwaona waafrika wanamtukuza mtu mweupe yaani hiyo ni zaid ya kufuru, najua wengi hamjabahatika kupata ukomboz wa fikra ndyomaana bado hamuelewi nachokisema, kila ukionacho hiv leo si kipya, bali kilikuwepo kwa namna nyingine, leo kipo kwa namna nyingne ambayo n namna ya uongo wa kubuni kutoka ktk ukweli halisi....AMKENI WAAFRIKA, WEW NDYE mungu wa dunia baada ya Yule asiefananishwa na lolote, naposema MUUMBA namaanisha zaidi ya Umungu, Muumba wa kwel ni zaid ya umungu wenu mliokalilishwa na imani zakipuuzi hizo....Amkeni wakati ni sasa.
.View attachment 1902057
Mkuu itabidi utukomboe kifikra ukipata muda andaa thread nzito...

Una material yatofauti kidogo na tuliyo zoea, ingawaje Da' Vinci alishawahi kuelezea(Egypt).
 
Ku a muda natamani tukae tupige historia za Mesopotamia, Misri, Israel,Norway, Greece, basi tu hua Napenda sana masuala ya historia na deity mbalimbali...
Ila misri kwakua ni hapahapa Afrika napenda Zaid.

wakati mfamle Themistocles wa Jiji la Athens (Ugirki) anahangaika kuhamasisha wafalme wa majiji mengine kama Queen Gogo, King Leonidas waungane wawe taifa moja wao wamisri walikua wanafanya vumbuzi kubwa kubwa zilizoacha ulimwengu kinywa wazi. Nitaorodhesha baadhi ya mambo machache ambayo yamegunduliwa na wamisri weusi kipindi hiko hata Amerika kunakaa nyani na sokwe ,Red Indian na Wamaya

Baadhi ya vitu vilivyogunduiwa na wamisri

Mathematics
Wakati wanasayansi kutoka ugiriki kama Euclid,Pythogras,Archimedes na ugiriki kwa ujumla wakipewa heshima ya kuvumbua hisabati lakini ukweli mchungu ni kwamba wamisri ndio wamegundua hisabati. Geometry,survey,vyote hvyo vimegunduliwa Misri.

Maandishi
Wamisri ndio waliogundua mfumo wa kuweka lugha yao katika maandishi, walikua na mfumo wao wa maandishi unaitwa pictograms, kutokana na picha hizo ndipo kulipozaliwa herufi mbalimbali lakini hii iliendelezwa zaidi na wagiriki’

Dawa ya meno
Kama meno yako ni meupe na masafi basi nenda katambikie kuheshimu mizimu ya mababu zenu wa kimisri maana bila wao tusingepata dawa ya meno.

Wigi, Make-Up na Vipodozi
Mnasikia kua mwanamke mzuri zaidi duniani ni Cleopatra, basi uzuri wake ulichagizwa na vipodozi na make ups za kutosha. Wewe dada waheshimu sana wamisri maana bila wao sijui ingekuaje, miaka hiyo hata Yakobo hajahamia misri..watu wa misri walikua washagundua kuvaa mawigi,kutengeneza vipodozi na kufanya make up. Wanja na kuchonga nyusi kumeanzia huko misri, mafarao ilikua sifa kwao kupaka wanja na make up..nyusi wananyoa zote. Ikumbukwe kwamba wamisri walikua hawapaki wanja kama urembo ila ilikua ni kwa ajili ya imani zao pia waliamini kufanyia macho urembo kulikua kunawasaidia kuwakinga na magonjwa ya macho.

Wino Mweusi, Karatasi na Meza
Juhudi za watu weusi ndio zinafanya wazungu waweze kukaa na kuandika propaganda zao kuhusu watu weusi.wamisri ndio wamegundua wino mweusi kwa ajili ya kuandikia na kutengeneza meza. Wakati wazungu na watu wa jamii zingine wakitumia mbao,mawe na ngozi katika kuandika Wao wamisri walivumbua Karatasi za kuandikia zilikua zinaitwa “papylus sheets”. Baadae wagiriki waliziboresha na kuziita paper kutokana na neno Papyrus.

Mashine za kuvuna na kusaga nafaka na kilimo cha umwagiliaji
Wao ndio walivumbua mashine za kuvuna na kusaga/kukoboa nafaka hasa ngano, miaka hii Israel ndio inasifika kwa kilimo cha umwagiliaji na kua sehemu ya tafiti za kilimo cha umwagiliaji duniani lakini ukweli ni kwamba misri ya kale ndio ilianza kugunda kilimo cha umwagiliaji. Wamisr wa kale walijenga mifereji mingi kusambaza maji kutoka mto nile kupeleka mashambani.

Majira na Kalenda
Wakati red Indians wa marekani wakiokota matunda nan a kuwinda wadudu kama mlo wa siku kwenye misitu mikubwa iliyokuwepo Newyork miaka ya 1300AD, Miaka karibia elfu kadhaa iliyopita kabla ya Kristo wazee wa Afrika kutoka misri walikua wameshagundua jinsi ya kutambua saa za siku na kutengeneza kalenda ya kuonyesha majira ya mwaka. Kalenda yao ilikua na miezi 12 na siku 365, kila mwezi ulikua na siku 30…lakini pia walikua washatengeneza saa zao za asili ajili ya kupima masaa ya siku.

Kufuli
Wamisri ndio watu wa kwanza kuvumbua kufuli, unambiwa funguo za kufuli zao zilikua zinauweza kua na urefu wa futi 2. Lakini hawa mababu pia sometimes kwenye IT tunawataja kama watu wa kwanza kutengeneza codes, maana ile milango ya Pyramids kuna mingine haifunguliwi na funguo ila ni codes Fulani walizoziweka miaka zaidi ya elfu 5 iliyopita. Hivyo hata coding tunaweza sema imeanzia misri.

Polisi na Serikali
Kama ulikua hujui basi ndio hivyo polisi zimeanzishwa kwa mara ya kwanza misri, polisi walikua wanatumia siraha na mbwa katika kufanya doria zao. Hakuna maskini wala tajiri aliyekua juu ya sharia halafu adhabu zao ilikua kukupa kichapo, kukuhasi,kukata pua na maskio halafu ukifa ulikua huzikwi unatupwa kama mzoga. Wamisri walikua wanaamini kwamba ukizikwa kwa heshima basi kunauwezekano mkubwa wa kwenda kwenye maisha ya baadae/mbinguni/Afterlife. Mifumo hii ya serikali zetu duniani unazoziona sasa imetengenezwa na wamisri ndio maana Yosef mtoto wa Israel alikua waziri mkuu kipindi kile. Yaani wakati Abrahm Lincoln anatunga definition ya Democracy huko misri wao walikua washamaliza kia kitu kuhusu mifumo-endeshi ya serikali (ujamaa,Udikteta,ubepari nk nk)

Egyptian Hieroglyphics (Aka Emoji za Misri😆)

View attachment 1902031
Hii ni michoro adhimu kabisa iliyobuniwa na wazee wa kiafrika ili kuwasiliana, pia zilikua zinatumika kueleza matukio yaliyopita na yajayo..so ilitumika kuweka rekodi za jamii ya watu wa misri. Unaweza kuona mchorouiliochorwa miaka zaidi ya elfu tano iliyopita ukionyesha image ya aeroplane ni ile ie iliyochorwa na Davinci miaka ya 1600sBC
Misri waligundua lipstick
 
Ashuru ilikuwa dola nyingine kabisa wala haihusiani na dola ya Persia au Waajemi kama tuwaitavyo. Dola ya Waashuru iliitangulia dola ya Babeli as a superpower nation.

Wafalme wa Ashuru (Assyria) ni kama Sennacherib na Sargon. Dola ya Ashuru ilipoanguka ndipo Babeli ika rise as superpower commanding the then world.

Ikafata Dola ya Wamedi na Waajemi ambao hawa waliangusha utawala wa Babeli..hii dola nayo ikadumu hadi Alipokuja Alekzanda mkuu akiwa na dola ya kigiriki, kijana wa Philip wa Macedonia...akaiangusha dola ya Wamedi na Waajemi.

Wagiriki wakatawala ulimwengu ktk zama zao...Alexander alifika hadi Misri pale akajenga ule mji uitwao Alexandria uliopo mpaka leo...na alipoondoka hapo hakurudi tena. Alexander alifika hadi Modern day India akiwa na majeshi yake..wakishinda na kumiliki miji.

Alipotaka kwenda Hadi uchina..wanajeshi wakaasi..ikabidi waanze safari ya kurudi...alikufa akiwa kijana kabisa aged 32. Under him the Greek culture flourished, Alexander mwenyewe alifundishwa elimu na Aristotle mwenyewe.

Katika conquest zote, bwn. Alexander alitumia farasi wake mmoja tu aliyempenda sana aliitwa Bucephalus, alipokufa huyu farasi, Alexander akauita mji jina la farasi huyu huko India kwa kumbukumbu ya farasi wake.

Alipokufa bwn. Alexander utawala wake ukaganyika into four sections chini ya majemedari wake...ukaenda hivyo uki decline hadi Warumi walipoibuka 168BC as superpower.

Warumi nao wakatawala dunia kwa mkono wa chuma...hadi 476 dola yao ilipoanguka. Dola wa Warumi ilipoanguka ndipo zikatokea modern European states zilizodumu hadi Leo.

Point ya hii narration yote ni kueleza kuwa kila zama na kitabu chake...enzi ikienda hairudi tena. Kitu ambacho ni common ni kuwa tamaduni mbalimbali za tawala zilizotangulia zilirithiwa na tawala zilizofutia.

Timeline ya tawala za dunia hadi mwisho wa dunia hii Mungu alifunua kupitia ndoto aliyomwotesha mfalme Nebukadneza iliyofasiriwa na nabii Daniel na maono aliyoyaona Daniel kuhusiana na wale wanyama wanne.

So ile Geeece supremacy haiwezi kujirudia till the end...maana utawala wao kama malaika Gabriel alivyomuelekeza Daniel ulikuja kama ulivyotabiriwa na ukapita wakaja wengine.

Nilitamani usimalize, ahsante.
 
Baada ya kuona Wana akili nyingi wakaamza kuweka sheria ngumu mpaka katika matumizi ya lugha. Kitendo cha kuweka sheria ya matumizi ya lugha ndicho kiliwagharimu mpaka leo
fafanua mkuu?
 
Kilichonifanya niwagusie Waashuru ni kwa sababu earlier uzi wako ulisomeka hivyo...uliandika kuhusu Ahasuero then kwenye mabano ukaandika Ashuru. Ndiyo maana nikaanza na hiyo correction...labda kama uliedit baadaye.
Yeah nilikua nimechanganya maneno ndio maana.
Ahasuhero na ashuru vilinichanganya, thanks kwa kunirekebisha.
Anyways lets learn history....hata Great Britain hawezi tena kureclaim her former glory. The empire ambayo jua halizami.

Superpowers za leo kama Marekani na Uchina they are too strong....hata mchina mwenyewe hawezi kumuangusha US....

Kwa sisi wanafunzi wa unabii tunajua kuwa the US has a role to play in the final world events...it is not going down anaytime soon.
Ila kiukweli kwa kuangalia unabii na hali ya maisha ya sasa unaona kabisa dunia yafika kikomo.
 
Back
Top Bottom