Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

mkuu natafuta ule uzi wako unaelezea king leonidas na watu wake mia tatu
Aisee nilikua nishasahau kama niliwahi kuandika mada hiyo. JF inabidi wanaipe badge ya Platinum member kwa ajili ya mchango wangu wa maarifa humu jamvini.
Huu hapa uzi..
 
Sasa hawa Waarabu weupe akina Mo Salah walitokea wapi?
Waarabu walikuja baadae kutokea Mashariki ya kati (hasa palestina) na Uturuki kutokana na vita.

Mafarao walikuwa watu weusi Wanubi (Nubians) wanaopatikana Sudan ya kaskazini, Ethiopia na Egypt kusini.

Hawa ndio waliokuwa wanaishi pembezoni mwa mto Nile na kutumia yale maji kwa karne nyingi tu kabla ya Yesu Kristo kuja duniani

Ni waanzilishi wa ustaarabu wa Africa hii

Kwa mfano nafikiri hata Tohara kwa wanaume ilianzia kwao kabla hata ya Wayahudi.

Watazame Wanubi hasa

View attachment 2146209
images%20-%202022-03-10T235731.755.jpg
Screenshot_20220310-235154~2.jpg
 
Sasa hawa Waarabu weupe akina Mo Salah walitokea wapi?

Waarabu walikuwa watumwa Tu wa hawa watu weusi...sema hawa wafalme walioa pia hao waarabu wakaja kutoa watoto mixed race ndo wengine wakawa ma pharaoh pia..

Lakini waanzilishi ni watu weusi na hata tamaduni ni za watu weusi...kabisa

Kinachofanyika ni ku edit history na kuwapa hao mixed race nafasi kubwa na kujaribu kufuta history ya watu weusi...Arab population ilikuja ongezeka baadae sana
 
Waarabu walikuja baadae kutokea Mashariki ya kati (hasa palestina) na Uturuki kutokana na vita.

Mafarao walikuwa watu weusi Wanubi (Nubians) wanaopatikana Sudan ya kaskazini, Ethiopia na Egypt kusini.

Hawa ndio waliokuwa wanaishi pembezoni mwa mto Nile na kutumia yale maji kwa karne nyingi tu kabla ya Yesu Kristo kuja duniani

Ni waanzilishi wa ustaarabu wa Africa hii

Kwa mfano nafikiri hata Tohara kwa wanaume ilianzia kwao kabla hata ya Wayahudi.

Watazame Wanubi hasa

View attachment 2146209View attachment 2146210View attachment 2146211



Wazungu walipokuja kugundua kuwa karibu
Wafalme hao wote walikuwa weusi ndo wakaja Ku edit history kwa kusema hawa wachache ndo walikuwa weusi kabisa..
Wale wengine ambao nao walikuwa weusi wanajaribu kulazimisha waonekane waarabu
 
Wazungu walipokuja kugundua kuwa karibu
Wafalme hao wote walikuwa weusi ndo wakaja Ku edit history kwa kusema hawa wachache ndo walikuwa weusi kabisa..
Wale wengine ambao nao walikuwa weusi wanajaribu kulazimisha waonekane waarabu
Hakika.
 
Wazungu walipokuja kugundua kuwa karibu
Wafalme hao wote walikuwa weusi ndo wakaja Ku edit history kwa kusema hawa wachache ndo walikuwa weusi kabisa..
Wale wengine ambao nao walikuwa weusi wanajaribu kulazimisha waonekane waarabu
Muvi kama Exodus, Gods of Egypt, X-Men apocalypse wale viongozi wanaonekana ni wazungu ila wale watumwa na wananchi wa kawaida huonekana ni Blacks. Inashagaza sijui wazungu wana nini nasi waafrika na kwanini watumie nguvu kubwa kiasi hicho
 
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.
1. Imhotep
2.Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
PhD huzioni SUA wakisafisha Banda la panya?
 
Mzee baba ulitakiwa kuwalaumu waafrika maana hao wagiriki ni chamtoto kabsa, technologia yote na theories zote za kisayansi walizowakalilisha walimu wenu wa uongo ni copied from ancients Africans, yaan karbia 90% ya sayans na technologia zlianzia afrika zkaja ugiriki, then kwa waarabu&wahind&wachina na watu wamwisho ni warumi au wazungu wotee.

na ndvyo ilivyo, mm nna ushahidi nitajie jambo lolote kubwa unalojua kavumbua mgiriki au mrumi kama halina mkono wa muafrika nyuma, ni vile tulimuhasi MUUMBA wa Afrika, akatupiga laana ya usahaulifu, yaan kila kitu tulchofanya kimesahaulika, kuna baazi ya muvies zmejarbu kuwafungua waafrika kuhusu ukuu wa muafria, lkn sie kwa kukaza akili hatuelewi, mfano kuna muvi ya Avatar ya mwaka 2009 December 19 by james cameron imejarbu kueleza nn kiliikumba jamii kama hii ya black people, pia kuna muvie ya Black panther ya juzi tu hapo nayo imejarbu kwambaal kuonesha ukuu wa muafrika japo kidogo sana lkn vichwa ngumu hamuelewi zaid ya kutizama actions bila kutafakari ujumbe wa muvi hiyo,,

Pia kuna masalia na mabaki ya technology za zaman ambazo mpka leo hii baaz ya watawala wetu wanatuficha kwa kutuhujumu na kuzikabizi kwa mabeberu(JIULIZE KWANINI SAMIA NA KIBARAKA WAKE NDALICHAKO WALISITISHA SOMO LA HISTORIA YA TANZANIA?), pia mujue kuwa hata lile sanduku la agano ambalo ktk biblia zenu za uongo zimelipotosha ukwel wake, ukwel ni kwamba lipo Afrika na linatafutwa zaid ya yanavyotafutwa madini yoyote hapa dunian, na wanaolitafta wanafanya siri, kupitia mawakala wao na maspy wao ambao wanakuja kama watalii, wana dini(catholic), wavumbuz wa mali kale, wawekezaji na mamluki wengine, na hili linafanywa kwa siri sana maana hata waafrika hamtambui hili jambo, na hamuwez kutambua mpka pale akil zetu zitakapoamka kutoka ktk usingiz wa kiroho ambao umesababishwa na sie kushika maadili na imani za hovyo, pia laana ya kumuhasi Muumba wa Dunia ambaye ni zaid ya Uungu wa imani zote za kigen, huyu afananishwi na lolote, hajawai onekana na hatowai onekana kwa kiumbe kama mtu, zaid utahisii uwepo wake kupitia nguvu zake(Roho mtakatifu) Ama nguvu za asiri, ama nature ambayo ina control kila kitu hapa dunian.

Huwa nasikitika sana kuwaona waafrika wanamtukuza mtu mweupe yaani hiyo ni zaid ya kufuru, najua wengi hamjabahatika kupata ukomboz wa fikra ndyomaana bado hamuelewi nachokisema, kila ukionacho hiv leo si kipya, bali kilikuwepo kwa namna nyingine, leo kipo kwa namna nyingne ambayo n namna ya uongo wa kubuni kutoka ktk ukweli halisi....AMKENI WAAFRIKA, WEW NDYE mungu wa dunia baada ya Yule asiefananishwa na lolote, naposema MUUMBA namaanisha zaidi ya Umungu, Muumba wa kwel ni zaid ya umungu wenu mliokalilishwa na imani zakipuuzi hizo....Amkeni wakati ni sasa.
.View attachment 1902057
Endelea kujifariji na movie za michongo
 
ugiriki ni vibaka hawana akili ya ugunduzi na nyie wanaislael mnasemaje?siku hizi nasikia wabongo nao wanajiita Russia.
 
Waarabu walikuja baadae kutokea Mashariki ya kati (hasa palestina) na Uturuki kutokana na vita.

Mafarao walikuwa watu weusi Wanubi (Nubians) wanaopatikana Sudan ya kaskazini, Ethiopia na Egypt kusini.

Hawa ndio waliokuwa wanaishi pembezoni mwa mto Nile na kutumia yale maji kwa karne nyingi tu kabla ya Yesu Kristo kuja duniani

Ni waanzilishi wa ustaarabu wa Africa hii

Kwa mfano nafikiri hata Tohara kwa wanaume ilianzia kwao kabla hata ya Wayahudi.

Watazame Wanubi hasa

View attachment 2146209View attachment 2146210View attachment 2146211
Sahihi kabisa hata bible imelezea asili ya Misri ni mtu mweusi na sio mwarabu
 
Hivyo Yesu na wazazi wake kwa nini walikimbilia Misri? Kulikua na ndugu zake? Hivyo Yesu alikuwa black mani? Najaribu kuwaza kwa sauti tu
 
Ashuru ilikuwa dola nyingine kabisa wala haihusiani na dola ya Persia au Waajemi kama tuwaitavyo. Dola ya Waashuru iliitangulia dola ya Babeli as a superpower nation.

Wafalme wa Ashuru (Assyria) ni kama Sennacherib na Sargon. Dola ya Ashuru ilipoanguka ndipo Babeli ika rise as superpower commanding the then world.

Ikafata Dola ya Wamedi na Waajemi ambao hawa waliangusha utawala wa Babeli..hii dola nayo ikadumu hadi Alipokuja Alekzanda mkuu akiwa na dola ya kigiriki, kijana wa Philip wa Macedonia...akaiangusha dola ya Wamedi na Waajemi.

Wagiriki wakatawala ulimwengu ktk zama zao...Alexander alifika hadi Misri pale akajenga ule mji uitwao Alexandria uliopo mpaka leo...na alipoondoka hapo hakurudi tena. Alexander alifika hadi Modern day India akiwa na majeshi yake..wakishinda na kumiliki miji.

Alipotaka kwenda Hadi uchina..wanajeshi wakaasi..ikabidi waanze safari ya kurudi...alikufa akiwa kijana kabisa aged 32. Under him the Greek culture flourished, Alexander mwenyewe alifundishwa elimu na Aristotle mwenyewe.

Katika conquest zote, bwn. Alexander alitumia farasi wake mmoja tu aliyempenda sana aliitwa Bucephalus, alipokufa huyu farasi, Alexander akauita mji jina la farasi huyu huko India kwa kumbukumbu ya farasi wake.

Alipokufa bwn. Alexander utawala wake ukaganyika into four sections chini ya majemedari wake...ukaenda hivyo uki decline hadi Warumi walipoibuka 168BC as superpower.

Warumi nao wakatawala dunia kwa mkono wa chuma...hadi 476 dola yao ilipoanguka. Dola wa Warumi ilipoanguka ndipo zikatokea modern European states zilizodumu hadi Leo.

Point ya hii narration yote ni kueleza kuwa kila zama na kitabu chake...enzi ikienda hairudi tena. Kitu ambacho ni common ni kuwa tamaduni mbalimbali za tawala zilizotangulia zilirithiwa na tawala zilizofutia.

Timeline ya tawala za dunia hadi mwisho wa dunia hii Mungu alifunua kupitia ndoto aliyomwotesha mfalme Nebukadneza iliyofasiriwa na nabii Daniel na maono aliyoyaona Daniel kuhusiana na wale wanyama wanne.

So ile Geeece supremacy haiwezi kujirudia till the end...maana utawala wao kama malaika Gabriel alivyomuelekeza Daniel ulikuja kama ulivyotabiriwa na ukapita wakaja wengine.
Marekani ndio kinara sasa
 
Back
Top Bottom