Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.

1. Imhotep
2. Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Yesu alikuwa na akili gani?
 
Yesu alikuwa na akili gani?
Majibu ya swali lako yapo hapa. Ingia usome hadi uchoke
Cc
FaizaFoxy
 
Ukitaka kujua Yesu alikuwa na akili gani, alipoletewa yule mwanamke mzinifu ili amhukumu alijibu nini? Jamaa walisepa na cha ajabu walianza wazee!!

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Alexander alifika hadi Modern day India akiwa na majeshi yake..wakishinda na kumiliki miji.
This is contested..... wali face defeats huku ndio wakageuza. India walitumia majeshi ya tembo na kulikua na fortified terrains sio rahisi kupambana huko.
 
Timeline ya tawala za dunia hadi mwisho wa dunia hii Mungu alifunua kupitia ndoto aliyomwotesha mfalme Nebukadneza iliyofasiriwa na nabii Daniel na maono aliyoyaona Daniel
You're misinterpreting things, kwahiyo British empire haikuwepo kwa ndoto ta Nebuchadnezzar? Vipi Ottoman? kama dunia itaisha mwaka 3000 ina maana tawala ni hizo nne pekee? Why do u interpret kirahisi tu hivyo
 
You're misinterpreting things, kwahiyo British empire haikuwepo kwa ndoto ta Nebuchadnezzar? Vipi Ottoman? kama dunia itaisha mwaka 3000 ina maana tawala ni hizo nne pekee? Why do u interpret kirahisi tu hivyo
Sijafanya misinterpretation yoyote. Kuna vitu sikugusia..Hizo tawala kuu nne nilizosema utawala wa nne ndiyo una historia ya hizo tawala unazozizungumzia.

Hii unahitaji ufafanuzi na andiko separate ili kujua what were the states which emerged after the fall of the Roman empire..?

To this end, niishie hapa until nitakapoandika kujibu hoja yako nikipata nafasi.
 
I salute Socrates, Plato and Aristotle.
Socrates baba lao. Kawafundisha wote
FB_IMG_17046907332821013.jpg
 
Ukiniambia nitaje Binaadamu watano wenye akili zaidi duniani nitataja hawa.

1. Imhotep
2. Leonado da Vinci
3. Yesu
4. Nikola Tesla
5. plato

Imhotep ndio baba wa gunduzi zote kunzia hesabu za Geometry, Upasuaji wa ubongo, pyramids na Maze Tombs zilizojengwa Misri katengeneza yeye. Huyu jamaa wagiriki wanamuabudu kama Mungu wa tiba na madawa maana alikua daktari wa kila kitu. Alikua Polymath kwelikweli kuliko hata Da'Vinci. Michoro yote ya Misri katengeneza yeye.
Imhotep wa JF au?
 
H
Wagiriki walivyokua bado hawajaungana kila Eneo linajitawala walitumia nguvu zaidi kujiimarisha maana wao hawakugopa kufa waliaamini wao ni viumbe special kutoka kwa baba yao wa uumbaji Zeus. Majina mengi ya kigiriki yanaishia na S hata majina ya watu wa mataifai mengine yanaishia S kwakua ni utamaduni uliotokana na wagiriki. Yesu pia jina lake laishia na S yaani Jesus sababu ni kwamba wagiriki wanaamini majina yanayoishia na S yanamaanisha ni mwanaume kutokana na Mungu wao wa kiume Zeus jina lake lainshia na S

Walivyoungana na kua kitu kimoja wakaanza kutumia akili na nguvu ili kujiimarisha zaido kwa kila nyanja wafalme waliwatumia watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri katika kutatua changamoto zinazowakabiri na waliwekea mazingira wezeshi hapa sasa ndio gunduzi zikaanza.
Mfano......

Kipindi fulani ugiriki ilikua ni sherehe ya mavuno hivyo wagiriki walikua wanamsherehekea Mungu wao wa mavuno kuwapatia mavuno mengi. Mfalme kama kiongozi mkuu alitakiwa awepo kwenye sherehe sasa mfalme akampatia dhahabu Muhunzi (Goldsmith) amtengenezee kofia ya kuvaa wakati wa sherehe (Crown), Muhunzi kuona dhahabu kashikwa na tamaa akachakachua dhahabu akaweka dhahabu nusu akaongezea na bronze (shaba) akampelekea mfalme kofia yake.... Mfalme akaangalia kofia akaona hapa kashapigwa cha juu ila hana uhakika.

Akaamua kumuita jamaa mmoja ambae kipindi hicho aliaminika ana akili sana aje amchunguzie kofia yake kama imetengenezwa kwa dhahabu tupu kweli au imechanganywa. Ila akamwambia asiiharibu wakati wa kuichunguza maana hana kofia nyingine...Jamaa huyo ni Archimedes

Archimedes akachukua kofia akaenda maabala kwakwe akachunguza wee akashindwa kupata majibu kichwa kikawaka moto hajui afanye nini.. akamuagiza mfanyakazi wake amuwekee mai ya kuoga bafuni kwenye Jacuzzi.
Akaenda bafuni akavua nguo akaingia kwenye Jacuzzi maji yakamwagika nje aivyoona hivo akatoka nje akikimbia uchi huku anapiga kelele hadi ikulu.

Alipomfikia mfalme akaanza kusema harakaharaa "When a body is totally or partially immersed in a fluid is subjected to an upwards force equal to the weight of the displaced fluid. "

Mfalme akamwambia unamaanisha nini wewe mbona sikuelewi 😂😂
Ndio mzee baba akaanza kumuelezea vizuri sasa... Akachukua vipimo vyake akapima uzito wa dhahabu na Shaba kisha akapima uzito wa Ile kofia ikaonekana muhunzi aliiba dhahabu. Na hapo ndio tukapata Law pedwa ya Archimedes principle na law of floatation inayohusu Density. Kupitia law hizo tumepata Meli mbalimbali..

Sio hivyo tu Archimedes alisaidia san kwenye vita..alikua anatengeneza vifaa vya kivita au anatumia vioo kuunguza meli za maadui wanakuja kuvamia nchi yake.

Sisi huku kama una ujuzi wa kutengeneza Gobole au siraha unanyanganywa na unakomeshwa kabisa uwe mfano wengine wasirudie upuuzi kama huo
Hiyo Archimedes principal hujakosea ila hicho kisa chake ni vile visa vya "kawawa funika kikombe" 😂
 
a Archimedes principle na law of floatation inayohusu Density. Kupitia law hizo tumepata Meli mbalimbali..
Kwa hiyo kabla ya Bwana Archimedes kusaula akielekea Ikulu, safari zote za wagiriki na binadamu wengine zilikuwa za nchi kavu tu!!!?
 
Kwa hiyo kabla ya Bwana Archimedes kusaula akielekea Ikulu, safari zote za wagiriki na binadamu wengine zilikuwa za nchi kavu tu!!!?
Yaani sawa sawa uulize kua kabla ya kugundulika gravity jiwe lilikua likilishwa juu halirudi chini????
 
H

Hiyo Archimedes principal hujakosea ila hicho kisa chake ni vile visa vya "kawawa funika kikombe" 😂
Hivi stori za kawawa nani alizitunga na kwasababu gani?? Eti kawawa alilala chini alishwindwa kujua kitanda kipo ukutani inabidi ubonyeze batan ili kichomoke. Ila nyerere alijua. 😂
Walikua wanatuchukuliaje lakini??

Eureka Eureka.....
 
Back
Top Bottom