Wagner na jeshi la Urusi waanza kugombania sifa

Wagner na jeshi la Urusi waanza kugombania sifa

Tusema wote UKRAINE na NATO wanaanza kufeli vibaya mno, ...sema inauma sana kwa Ukraine kuingizwa mkenge na NATO USA na EU ......sasa UKRAINE wawe watumwa wa USA watamlipa marekani resources zote walizonazo , pia huyu mtu....ni aende front line akone wenzake wanavyopata shida
Umeshawahi kumshauri maneno kama haya bwana andunje putin?
 
Hata hivyo habari hiyo iliandikwa kipropaganda zaidi toka upande unaopigwa.
Nao wasambazaji wao wakaipokea kwa furaha.
Lkn Huku wakikili kimoyomoyo kua Soleder imeenda.
Hilo neno la kugombea sifa ndio linahitimisha kua ni kweli Soleder imeenda.
Pia neno kugombea sifa ni kujaribu kupunguza furaha ya mafanikio ya Soleder kua chini ya mikono ya Urusi.
 
Mr Prigozhin will most likely use any victory to bolster the reputation of Wagner as an effective fighting force in the eyes of President Putin.

But the Russian defence ministry appeared to contradict the controversial oligarch's claims.
Wanashindana kujipendekeza kwa mafia Putin.
 
You also need to go to help your fellow jihadists of Al Shabaab, Isis or Boko Haram fighting for their mythical allah.
Hapo inaongelewa ukraine na russia sasa sijui huyo Allah ameingiaje hv nyinyi christians huwa hamjifikirii kwann waislam huwa hawamkashifu jesus yaani katika mijadala yote wanaoanzisha kudharau imani za wengine hata km kinachoongelewa hakihusu dini ni nyinyi christians kwani huko sunday school huwa mnafundishwa chuki dhidi ya uislam?
 
Hapo inaongelewa ukraine na russia sasa sijui huyo Allah ameingiaje hv nyinyi christians huwa hamjifikirii kwann waislam huwa hawamkashifu jesus yaani katika mijadala yote wanaoanzisha kudharau imani za wengine hata km kinachoongelewa hakihusu dini ni nyinyi christians kwani huko sunday school huwa mnafundishwa chuki dhidi ya uislam?
Usipate nao tabu teari huko PUTIN
Kasha wainamisha jana zele kwenye hotuba yake huku kiza kikitawala nchi nzima ANALIA LIA anataka msaada kila siku kawa mtu wa kuomba omba

Wao waache waseme warusi wamechinjwa hata milioni wakimaliza waje waombe chumvi

Usijali kuhusu kutukana waislamu.
hao hawana elimu wala akili za kufikiri

Na wanapenda kufanya hivyo ili angalau wapunguze huzuni za kufiwa kwa mabwana zao huko Ukraine.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hapo inaongelewa ukraine na russia sasa sijui huyo Allah ameingiaje hv nyinyi christians huwa hamjifikirii kwann waislam huwa hawamkashifu jesus yaani katika mijadala yote wanaoanzisha kudharau imani za wengine hata km kinachoongelewa hakihusu dini ni nyinyi christians kwani huko sunday school huwa mnafundishwa chuki dhidi ya uislam?
Islam haijatajwa kabisa hapo.
 
Back
Top Bottom