Wagner walipokinukisha warusi wa Buza waliishia wapi?

Wagner walipokinukisha warusi wa Buza waliishia wapi?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kulikoni wale wafuasi kindakindaki wa yule wakimwita mwamba Putin tokea pande za Buza kutokomea kusikojulikana?

Au tuseme hawajauona umuhimu wa kujaza hilo ombwe lililoachwa na wale ndugu zao wa Wagner?

Si waswahili walisema ukipenda boga upende na ua lake?

Wako wapi kina Yericko Nyerere na wenzao?

Maisha mbona ni murua msingi ukiwa kuwa na Imani isiyotetereka kuhusu haki?

"Haki ni haki tu, hata kama ni za wa Ukraine au za ma CCM."
 
unazungumzia watanzania wanaotumia nguvu akili zao kwenye utumbo mpana.
kipindi cha nyuma magufuli jembe leo mama katuvusha kwenye utawala mubaya

Aliwaita Magufuli kuwa ni vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili.

Kwa hili la urusi na Wagner waliko sasa ni kama mapanya yaliyomwagiwa na maji.
 
Aliwaita Magufuli kuwa ni vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili.

Kwa hili la urusi na Wagner waliko sasa ni kama mapanya yaliyomwagiwa na maji.
tanzania tuna kundi la wajuwai wasio taka kujua.
rudi anza kuona kosa lilotokea sudani ndio utaona kwa urusi kwa mtu ambaye kama unafatalia vizuri.achana na kahawa na wavaa kobazi hawa ambao wanakazana kusifia tu kwa jaziba
 
tanzania tuna kundi la wajuwai wasio taka kujua.
rudi anza kuona kosa lilotokea sudani ndio utaona kwa urusi kwa mtu ambaye kama unafatalia vizuri.achana na kahawa na wavaa kobazi hawa ambao wanakazana kusifia tu kwa jaziba

"Tuna nchi ya ajabu sana." -- TAL.
 
Kulikoni wale wafuasi kindaki ndaki wa yule wakimwita nwamba Putin
tokea pande za Buza kutokomea kusikojulikana?

Au tuseme hawajauona umuhimu wa kujaza hilo ombwe lililoachwa na wale ndugu zao wa Wagner?

Si waswahili walisema ukipenda boga upende na ua lake?

Wako wapi kina Yericko Nyerere na wenzao?

Maisha mbona ni murua msingi ukiwa kuwa na Imani isiyotetereka kuhusu haki?

"Haki ni haki tu, hata kama ni za wa Ukraine au za ma CCM."
Sasa hivi tuko na waarabu wa buza wanaitetea DP World
 
Screenshot_20230626-075333_(1).png
 
Sasa hivi tuko na waarabu wa buza wanaitetea DP World
Hutaki wapewe magunia ya Futari na Ng'ombe na Pesa bure siku za Eid, fika mwananchi pale karibu na kituo Cha mafuta wanagawa mchele, nyama na Pesa leo Eid Al Adha waarabu wanagawa bure
 
Hutaki wapewe magunia ya Futari na Ng'ombe na Pesa bure siku za Eid, fika mwananchi pale karibu na kituo Cha mafuta wanagawa mchele, nyama na Pesa leo Eid Al Adha waarabu wanagawa bure
Vipi wale wanaotoa misaada halafu wanakulazimisha kusuport watu kufumuana malinda?

Tena wanatishia kabisa kua usipoikubali LGBTQ tunakata misaada,wewe hao ndio unawapenda Eeh?
 
tanzania tuna kundi la wajuwai wasio taka kujua.
rudi anza kuona kosa lilotokea sudani ndio utaona kwa urusi kwa mtu ambaye kama unafatalia vizuri.achana na kahawa na wavaa kobazi hawa ambao wanakazana kusifia tu kwa jaziba
Wao wanasifia kwa jazba ila na wewe mvaa ushanga unakazana kupinga kwa chuki,tofauti yenu iko wapi hapo sasa?
 
Warusi wa Buza wameamshwa usingizini, wameoneshwa kwa vitendo hakuna nguvu inayozidi haki.
 
Back
Top Bottom