Wagner wanyofoa sehemu za siri za mpiganaji aliyetaka kurudi nyuma kwa uwoga

Wagner wanyofoa sehemu za siri za mpiganaji aliyetaka kurudi nyuma kwa uwoga

Hii inaonyesha hali ilivyokua ngumu kwa Mtanzania aliyeuawa akimpigania Putin, yaani ni aidha usonge mbele ufe au unyofolewe sehemu nyeti...yaani mapum.bu

The merciless tactics of the Wagner Group in Ukraine have been exposed in intelligence reports this week, which learned a mercenary member was "castrated" for trying to surrender to Ukrainian forces.​

A Wagner mercenary was brutally castrated by his fellow fighters for trying to either retreat or surrender to Ukrainian forces in the war. The revelation was included in a Ukrainian intelligence report obtained by CNN which highlighted the extreme and brutal tactics of the Wagner Group. Over the course of the war in Ukraine, Russia has increasingly relied on the paramilitary forces led by oligarch Yevgeny Prigozhin, a close ally of Vladimir Putin.

Ukrainian intelligence services picked up intercepted calls between Russian fighters on the frontline.

In one, a soldier is heard talking about another who tried to give himself up to the Ukrainians but was punished severely.

The Russian troop can be heard saying: “The Wagnerians caught him and cut his f****** balls off."

Hivi unafikiri hawa ni KDF wanajificha kwenye nyasi baada ya kutishia mapanga na Al Shaban?
 
We jamaa cjui waarabu wamekufanya nn na wazungu wanakupa nn ..kila cku Ni chuki chuki kwa faida ya nan cjui ..unataka watu wachukiane kwa tofaut ya dini zao au lengo lako nn hasa ..kila mada unayoleta Ni ya kibaguzi na Kama ikiwa Ni ya kweli bhc hua unaiaribu kwa comment zako mwenyewe ...nakuombea uwe na hekima na kuacha chuki
 
Hii inaonyesha hali ilivyokua ngumu kwa Mtanzania aliyeuawa akimpigania Putin, yaani ni aidha usonge mbele ufe au unyofolewe sehemu nyeti...yaani mapum.bu

The merciless tactics of the Wagner Group in Ukraine have been exposed in intelligence reports this week, which learned a mercenary member was "castrated" for trying to surrender to Ukrainian forces.​

A Wagner mercenary was brutally castrated by his fellow fighters for trying to either retreat or surrender to Ukrainian forces in the war. The revelation was included in a Ukrainian intelligence report obtained by CNN which highlighted the extreme and brutal tactics of the Wagner Group. Over the course of the war in Ukraine, Russia has increasingly relied on the paramilitary forces led by oligarch Yevgeny Prigozhin, a close ally of Vladimir Putin.

Ukrainian intelligence services picked up intercepted calls between Russian fighters on the frontline.

In one, a soldier is heard talking about another who tried to give himself up to the Ukrainians but was punished severely.

The Russian troop can be heard saying: “The Wagnerians caught him and cut his f****** balls off."

Saafi sana Wagner, yeyote atakae saliti chama kata korodani
 
Ni aibu na fedheha kwa Rais wa nchi kumiliki kundi la wahalifu.
Ndo maana wanasema Putin ni mhalifu ndani na nje ya nchi yake. Iko siku watamdaka na watamfungulia mashtaka ya Uhalifu wa Kivita au watamtenda kama yule Kiongozi mapangoni.
 
Hivi unafikiri hawa ni KDF wanajificha kwenye nyasi baada ya kutishia mapanga na Al Shaban?
KDF bure kabisa majigambo tuuu na kupenda sana publicity stunts za kitoto - we angalia tangu troops wamepelekwe huko Congo DRC eti kulinda amani, sasa angalia kinacho endelea huko tangu ujio wao kasi ya - waasi kuteka miji na raia kuuwawa imeongezeka exponentially - wao wapo wapo tu na ngonjera chungu mzima - manufacturing lame excuses kila siku.

Watu wenye akili timamu wala hawashangazwi na dismal performance za la KDF huko Congo DRCpamoja na Somalia.

Tukija kwenye suala la Somalia kwa mfano, ndio KDF kabisaa badala ya kuwashughulikia Al Shabaab kikamilifu wao wako busy wakifyeka misitu ya Wasomali na kuchoma mkaa wa kwenda kuuza huko Uarabuni -lakini MK254 kila siku atakwambia waarabu walivyo wabaya na wakatiri anajaribu ata kutafsiri juzuu za Koran - lengo anajaribu kupalililia chuki za kidini - Watanzania hatuna tatizo hilo chuki za kidini kazi- propagate nchini mwenu Kenya - jamaa huyu ni mtu wa ajabu sana, kwa bahati mbaya ni members wachache wamekwisha msoma kisaikolojia, kama nakumbuka vizuri kuna member fulani mwana saikilojia aliwahi kumpa ushauri kwa nia njema tu, kwamba chuki zake dhidi ya madhehebu ya waislaam na Waarabu in particular hiko so deeply seated kwenye subconscious yake hivyo ingekuwa vyema kama angewaona wataalamu wakamsaidia kisaikolojia - simsemi kwa nia mbaya lakini jaribuni kufatilia kauli zake linapokuja suala la kuwa wazungumzia waislaam na hasa hasa Waarabu, kuna kitu si bure - my opinion.
 
Ipi bora, wanyofoe ufe au uende vitani utunguliwe ubongo?
 
Propaganda za USA hizo.
Anajua kichapo chao Alleppo Syria alipotaka kumtoa Al asaad.
Yeye mbona ana vikundi vingi mfano back water nk,vyake sio vya kigaidi?

Hao ndio walivyo wakizidiwa kete na maadui wake, wanatafuta kila mbinu za kujaribu kuwa-contain hata kwa kupitia through some corrupt United Nation members, wakati mwingine kutishia mataifa dhaifu kwamba wasipo piga kura za ku-support miswaada inayoletwa na USA watanyimwa misaada ya kiuchumi au mataifa yao yatapinduliwa - lakini naona kwa Wagner Group watagonga mwamba jamaa hawa wako so highly organised na wapiganaji wanalipwa hela nzuri na kuwekewa Insurance kwa ajili ya familia zao just in case.

Binafsi ningependekeza kwa Tsishekedi kuomba msaada kutoka kwenye kundi la Wagner Group hao ndio watakomesha migogoro hisiyo kwisha ya kuchonga nchini Congo DRC - kama wamekwisha fanikiwa kurudisha amani kwenye baadhi ya mataifa ya Afrika ya kati yaliyo kuwa yanakaliwa na baadhi ya majeshi ya Ufaransa, Uingereza na USA kujifasha eti wanasimamia amani kumbe ulaghai mtupu ndio maana majeshi hayo ya magharibi yamekwisha anza kuondoka haraka ikwenye mataifa hayo tajwa ili Wagner Group wa take-over actually wamekwisha anza kazi - Wagner Group ndio wataleta amani barani Afrika,middle east and latin American.
 
He hao Wagner mara hiyo wamekuwa waarabu,,, au waarabu wamekula kiboga ndo maana unawachukia,, sipati picha hiyo urusi ndo ingekuwa waarabu sijui ingekuwawaje,,, mana kutwa kutwa kucha ungekuwa unafungua nyuzi zao,,,

Tatizo hiyo dini....mashabiki wake humu mumelewa...
 
Hivi unafikiri hawa ni KDF wanajificha kwenye nyasi baada ya kutishia mapanga na Al Shaban?

Mashababi ni hatari maana wameahidiwa mabikira na allah wenu
 
Na wasiwasi kama Nemes
amerudi nazoo naniizake jaman

dah haya maisha ya kishetani kabisa anyway siri ya familia...
 
Back
Top Bottom