Uchaguzi 2020 Wagombea 460 wajitokeza kuutaka ubunge Kagera kupitia CCM, milango yafungwa

Magufuli amekuza demokrasia ndani ya chama cha mapinduzi.

Kila mwenye shati la kijani na laki moja ya kuchezea ameweza kujipatia form ya kugombea ubunge.

Pongozi nyingi kwa chama cha mafisadi.
 
Huyo ni tycoon ndani ya ccm hakuna wa kumgusa labda ahamue yeye kutogombea na jambo ambalo haliwezekani
Ubunge kwake sio vijisent vya posho na mshahara ni fursa ya kuendesha biashara zake bila ya kubughuziwa na mtu
Ccm ipi? Hii ya jpm!?

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Wengi wanatafuta security ya mambo yao .Mabaya au Mazuri.Wattaalam wanasema ukiwa kiongozi CCM uguswi wala unyanyaswi na Mkuu wa wilaya wala Mkoa wala polisi.Sasa najiuliza sisi watu wakawaida nani anatulinda?JPM asipofanya mageuzi makubwa ya kiutawala ndani ya serikali yake private sector na serikali vitakuwa ni vitu viwili tofauti kwenye kujenga na kulinda uchumi.Anyway labda hii ndio style mpya wa utawala kwani kuna watu wanatengeneza vichaka vyao ndani ya CCM.
 
Ajira ngumu sana siku hizi hata wangefika 750 hakuna kushangaa
 
Huyo ni tycoon ndani ya ccm hakuna wa kumgusa labda ahamue yeye kutogombea na jambo ambalo haliwezekani
Ubunge kwake sio vijisent vya posho na mshahara ni fursa ya kuendesha biashara zake bila ya kubughuziwa na mtu
Naam.
Wewe ndo unamjua.

Hakuna wa kukata kura za maoni.
 
Nasikia Diwani wa Ijuganyondo kashinda CCM Manispaa katika watia nia
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa @innobash ametangazwa kuwa mshindi wa kura za maoni Jimbo la Karagwe, Kagera baada ya kupata kura 587 kati ya kura 679 zilizopigwa (86.5%), wagombea 34 walijitokeza kugombea katika jimbo hilo la karagwe. #MillardAyoUPDATES https://t.co/8xKduv4Eof
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…