Wagombea ubunge Mwijaku na Mbasha wameiaibisha CCM kwa kukosa maadili

Wagombea ubunge Mwijaku na Mbasha wameiaibisha CCM kwa kukosa maadili

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Bwashee vp yule aliemtandika mwenzake rungu?
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hapa leo umepuyanga, tuhuma si dhambi! Na kwa watu kama hao(celebrities) tegemea tu kusikia tuhuma nyingi tu, na kama kweli wameaibisha chama basi wabunge wengi tu wameaibisha vyama vyao kwa tuhumu. Hapa chini ni tuhuma za baadhi ya wabunge;
- mbowe ana tuhuma za kulewa
- mdee na bulaya wana tuhuma za kusaga....n....
- lema ama tuhuma za wizi wa magari
- nyalandu ana tuhuma za kul.....w.... Ti....g
 
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Unaujua ustaarabu au umeamua kujiliwaza
 
7295be002b50d6610cebc34a920e2bb1.jpg
 
Hapa leo umepuyanga, tuhuma si dhambi! Na kwa watu kama hao(celebrities) tegemea tu kusikia tuhuma nyingi tu, na kama kweli wameaibisha chama basi wabunge wengi tu wameaibisha vyama vyao kwa tuhumu. Hapa chini ni tuhuma za baadhi ya wabunge;
- mbowe ana tuhuma za kulewa
- mdee na bulaya wana tuhuma za kusaga....n....
- lema ama tuhuma za wizi wa magari
- nyalandu ana tuhuma za kul.....w.... Ti....g
Wewe unazungumzia Chadema na mimi siko huko bwashee.

Ndio maana nimekuwa specific.....ustaarabu wa CCM siyo wa Chadema usiwaonee Ufipa na maisha waliyojiamulia.
 
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
CCM yenye ustaarabu ni ile ya Mwalimu JKN (RIP mzee wetu).
nyingine zote zilizofuata zipo zipo tu.
 
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ccm always INA upungufu wa right candidates ndio maana serikali hulaziikia kuja side B ( opposition ) kununua watu na kuwapa vyeo mfano Uwaziri,ukatibu mkuu,ukuu wa mkoa na wilaya ,udas na uras nk in short most of ccm candidates ni hooligans!!!
 
Hapa leo umepuyanga, tuhuma si dhambi! Na kwa watu kama hao(celebrities) tegemea tu kusikia tuhuma nyingi tu, na kama kweli wameaibisha chama basi wabunge wengi tu wameaibisha vyama vyao kwa tuhumu. Hapa chini ni tuhuma za baadhi ya wabunge;
- mbowe ana tuhuma za kulewa
- mdee na bulaya wana tuhuma za kusaga....n....
- lema ama tuhuma za wizi wa magari
- nyalandu ana tuhuma za kul.....w.... Ti....g
Umepuyanga sana!
 
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ushahid wa picha
 
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!

Nani CCM mwenye maadili kabisa? Mwenye maadili hawezi kukaa ccm maana ccm ni kichaka cha kujificha wala rushwa(hadi takakuu wamesalimu amri) ,chaka la wakwepa kodi ,chaka la wasaka tonge ,chaka la mafisadi wa kingono.(mf Mkono wa baunsa)
 
Ccm members ndio hawa
 

Attachments

  • IMG-20191012-WA0054.jpg
    IMG-20191012-WA0054.jpg
    56.4 KB · Views: 2
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    35.1 KB · Views: 1
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    30.3 KB · Views: 1
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.

Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?

Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!

Niishie hapo.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Weka picha na sisi wa mikoani tuone jinsi alivyopigwa mitama na uwele, sasa unapoleta habari siyo wote tulibahatika kuangalia tamasha tunashindwa kuchangia
 
Back
Top Bottom