johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.
Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?
Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!
Niishie hapo.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa....... Mambo ya Dominica bwashee!Bwashe kuna siku sense huwa zinakurudia
Unaujua ustaarabu au umeamua kujiliwazaCCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.
Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?
Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!
Niishie hapo.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unazungumzia Chadema na mimi siko huko bwashee.Hapa leo umepuyanga, tuhuma si dhambi! Na kwa watu kama hao(celebrities) tegemea tu kusikia tuhuma nyingi tu, na kama kweli wameaibisha chama basi wabunge wengi tu wameaibisha vyama vyao kwa tuhumu. Hapa chini ni tuhuma za baadhi ya wabunge;
- mbowe ana tuhuma za kulewa
- mdee na bulaya wana tuhuma za kusaga....n....
- lema ama tuhuma za wizi wa magari
- nyalandu ana tuhuma za kul.....w.... Ti....g
Naujua bwashee!Unaujua ustaarabu au umeamua kujiliwaza
Hyu itakua kuna mahali wamevurugana huko sio bureBwashe kuna siku sense huwa zinakurudia
CCM yenye ustaarabu ni ile ya Mwalimu JKN (RIP mzee wetu).CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.
Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?
Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!
Niishie hapo.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa.......!Hyu itakua kuna mahali wamevurugana huko sio bure
Ccm always INA upungufu wa right candidates ndio maana serikali hulaziikia kuja side B ( opposition ) kununua watu na kuwapa vyeo mfano Uwaziri,ukatibu mkuu,ukuu wa mkoa na wilaya ,udas na uras nk in short most of ccm candidates ni hooligans!!!CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.
Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?
Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!
Niishie hapo.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Umepuyanga sana!Hapa leo umepuyanga, tuhuma si dhambi! Na kwa watu kama hao(celebrities) tegemea tu kusikia tuhuma nyingi tu, na kama kweli wameaibisha chama basi wabunge wengi tu wameaibisha vyama vyao kwa tuhumu. Hapa chini ni tuhuma za baadhi ya wabunge;
- mbowe ana tuhuma za kulewa
- mdee na bulaya wana tuhuma za kusaga....n....
- lema ama tuhuma za wizi wa magari
- nyalandu ana tuhuma za kul.....w.... Ti....g
Ushahid wa pichaCCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.
Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?
Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!
Niishie hapo.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
CCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.
Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?
Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!
Niishie hapo.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Weka picha na sisi wa mikoani tuone jinsi alivyopigwa mitama na uwele, sasa unapoleta habari siyo wote tulibahatika kuangalia tamasha tunashindwa kuchangiaCCM ni chama cha watu wastaarabu wasiopenda tabia za hovyo hovyo sasa inapotokea wanachama wake tena wanaogombea uongozi kukosa maadili inafikirisha sana.
Hebu fikiria unapokuwa na mbunge anayetuhumiwa kupost picha za utupu mitandaoni taswira ya chama inaonekanaje?
Au mbunge anayepigwa mitama " kizembe" jukwaani vijana wa uvcvm watafikiriwaje huko mtaani!
Niishie hapo.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!