Kiukweli hapendezi kupita bila kupingwa bora waweke hata kivuli watu wachague Kati ya mgombea na kivuli1 September 2020
Dodoma, Tanzania
Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"
Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa Na Wasimamizi Wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.
2 September 2020
Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea
Hivi kwa nini mnapenda kurejesha nyuma hili taifa? Hamna haya nyie? kujaza fomu tu ni mpaka atafutwe mwana sheria? Hivi kwa nini mnapenda kuwafanya wenzenu wajinga?Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?
CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook https://www.facebook.com/
Huu ni utaratibu wa ndani ya CCM na sio vyama vingine, vyama vingine wao wanajiamini kama watu wateule wao wanauwezo wa kujaza fomu. Matokeo yake wale walipitisha fomu kwa mwanasheria, fomu zao hazina kosa hata moja, na wale ambao hawakupitisha kwa mwanasheria, wao wana 50% ya makosa. Je ukiwa mwenyekiti wa chama chako itatafuta mchawi wapi, tume au uliowateuwa wako?Hivi kwa nini mnapenda kurejesha nyuma hili taifa? Hamna haya nyie? kujaza fomu tu ni mpaka atafutwe mwana sheria? Hivi kwa nini mnapenda kuwafanya wenzenu wajinga?
Kujaza fomu ya udiwani na ubunge mnaweka wanasheria 1200!!!!???Pitia maelezo ya Polepole wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, CCM hairuhusu mgombea wake yoyote hata awe na Phd kurudisha fomu kabla haijapitiwa na wanasheria wa chama. Na hao wanasheria wako wengi sana, sasa niambie chama gani mbali na CCM kina utaratibu huo?
CCM ILIANDAA WANASHERIA ZAIDI YA 1200... - WEKA WAZI FIKRA ZAKO | Facebook https://www.facebook.com/
Wewe ni kilaza,muongo na mbumbumbu. Weka ushahidi wa kiongozi wa upinzani aliyesema atamwaga damu.Tena umesema jambo la maana sana, miaka hiyo ya nyuma kulikuwa na viongozi makini wa upinzani, sio wa sasa wanaopenda kutengeneza figisu zisizo na tija kwa mwananchi. Kiongozi unasema nitaruhusu wananchi wamwage damu kama sitashinda uchaguzi. Au unaenda kupigana na askari magereza eti tu uonekane unaonewa. Sidhani kama Marehemu Mzee Bob Makani angeweza kufanya uchafu kama huo.
Dawa inachemka1 September 2020
Dodoma, Tanzania
Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"
Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa Na Wasimamizi Wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.
2 September 2020
Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea
Ulivyo mbumbumbu mwenyewe umeuliza "kwa nini ni upinzani tu ndio uonekane umekosea taratibu na kanuni za uchaguzi tokea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana. Maana yake umeuliza ni kwa nini iwe awamu hiii tuu!Jikite kwenye hoja, kwani upinzani tu ndio uonekane unakosea taratibu na kanuni za uchaguzi? Hili ni swali ambalo upinzani wamekuwa na muda kulitafutia ufumbuzi, (tokea uchaguzi wa serikali za mitaa) lakini wameamua kulipuuzia. Na yote hii inatokana na mambo mawili, ukwasi, na kutengeneza hoja.
Ulivyo mbumbumbu mwenyewe umeuliza "kwa nini ni upinzani tu ndio uonekane umekosea taratibu na kanuni za uchaguzi tokea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana. Maana yake umeuliza ni kwa nini iwe awamu hiii tuu!
Binadamu timamu lazima ajiulize,kwa nini ni awamu hii tu.
Yawezekana tume ina upofu na ukiziwi ina macho haioni ina maskio haisikii. Kuna nia ovu iliyokusudiwa si kwamba tume iko kimya pasipo sababu.1 September 2020
Dodoma, Tanzania
Bila Uwoga SUGU ailipua TUME ya UCHAGUZI, Amtaja Katibu wa CCM, - "Amani ya nchi Ipo mikinoni Mwao"
Wabunge Wa CHADEMA Walioenguliwa Na Wasimamizi Wa Uchaguzi Katika Majimbo Mbalimbali Wamekutana Na Waandishi Wa habari jijini Dodoma Kuiomba Tume Ya Uchaguzi Kutoa Majibu Ya Rufaa Walizokata... kwa ujumla kuna wabunge na madiwani jumla yao zaidi ya 1, 000 wapo Dodoma wakifuatilia rufani walizokata Tume ya Uchaguzi.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Joseph Mbilinyi abainisha Mbeya mjini madiwani 16 wameenguliwa, aiasa Tume ya Uchaguzi Taifa kuwa wana dhamana kubwa kuhakikisha rufani za wagombea ubunge walioenguliwa na Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo mbalimbali zinatendewa haki kwa haraka ili wakaendelee na kampeni za kunadi sera na kuomba kuchaguliwa na wananchi.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya CHADEMA anasema Hali ya kisiasa ni mbaya sana inatishia amani kutokana na Ma-DC na DED kuvuruga mchakato wa uchaguzi na ndiyo maana wapo Dodoma kuipatia Tume ya Uchaguzi ukweli wa kilichofanyika ktk kuenguliwa kihuni na Wasimamizi wa Uchaguzi walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi kusimamia zoezi hilo muhimu ktk majimbo mbalimbali nchini.
2 September 2020
Mwanasheria wa ACT Wazalendo atowa kauli kuenguliwa wagombea
Unataka kuleta ubishi isio tija, Lissu ameshatupa onyo Watanzania, kama akishindwa ataingia wananchi barabarani. Kwa mtazamo wako unategemea nini kitatokea hapo?Wewe ni kilaza,muongo na mbumbumbu. Weka ushahidi wa kiongozi wa upinzani aliyesema atamwaga damu.
Uongo ni ushetani na baba wa uongo ni shetani.
Vyama vya upinzani hilo hawalioni kabisa.Vyama vya siasa vinatakiwa kutoa elimu kwa wagombea wao kwa wakati. Mtu anajaza jina lake kwenye sehemu ya tarehe ya kuzaliwa, unategemea msimamizi wa uchaguzi atafanya nini. Kama ni job interview, unategemea utaitwa tena?
Kuingia barabarini ni kumwaga damu?Unataka kuleta ubishi isio tija, Lissu ameshatupa onyo Watanzania, kama akishindwa ataingia wananchi barabarani. Kwa mtazamo wako unategemea nini kitatokea hapo?
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Na ACT PEMBA wameshaweka yao hadharani, au na hayo huyajuwi?
SWALI, unategemea nini kitatokea wakiingia barabarani?? Watapikiwa chai na chapati??Kuingia barabarini ni kumwaga damu?
Acha ushetani. Uongo ni ushetani.