Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Nadhani watz hakuna budi kukuvali mapema kwamba mh kikwete ataibuka na ushindi wa sunami 2010 baada ya kuonekana mtendaji mzuri hasa huu uhuru aliotuachia.lkn swala la wabunge kijinafasi bungeni, tunasahau BM (Benjamen) alivyoingiza management TANESCO kwa FFU nani aliethubu kuhoji na kulipeleka swala hilo bungeni? wapo wanaopinga na kuona uhuru huu eti untaokana na watz wenyewe. jee kweli watz tumefikia hivyo? naamini ni utawala huu wa kikwete ndio uliotufikisha hapa. watz wengi tulikua hatujui haki zetu tuutmie kabla ya 2016 baada ya Jk kuondoka
Last edited by a moderator: