Uchaguzi 2020 Wagombea wa chama chetu wana hali mbaya

Uchaguzi 2020 Wagombea wa chama chetu wana hali mbaya

Wewe ni mmoja wa makamanda wasio na nia njema na Chadema.
Hapana, ana nia njema na yuko tayari hata kujitoa muhanga sababu ya chama chake. Tatizo ni mmoja wa mamilioni ambao kwao Mbowe & Co ni sacrosanct. Mamilioni ya wanachama hawa kujikosesha fursa muhimu sana ya kuhoji yanayofanywa na uongozi ndio imetoa mwanya kwa viongozi kukiongoza chama kama taasisi binafsi na kusababisha wachache wanaoweza kuhoji kuonekana wasaliti.

Ukisikia mtu kafikia hatua ya kusema atakipigia kura chama chake hata kikisimamisha shati kama mgombea, count him/her out.
 
Kwani ruzuku ya chama kwa miaka mitano iko wapi? Na yale makato ya mishahara ya wabunge kwa miaka mitano iko wapi?
 
Hapana, ana nia njema na yuko tayari hata kujitoa muhanga sababu ya chama chake. Tatizo ni mmoja wa mamilioni ambao kwao Mbowe & Co ni sacrosanct. Mamilioni ya wanachama hawa kujikosesha fursa muhimu sana ya kuhoji yanayofanywa na uongozi ndio imetoa mwanya kwa viongozi kukiongoza chama kama taasisi binafsi na kusababisha wachache wanaoweza kuhoji kuonekana wasaliti.

Ukisikia mtu kafikia hatua ya kusema atakipigia kura chama chake hata kikisimamisha shati kama mgombea, count him/her out.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kiukweli chadema ina hali mbaya sana kifedha
 
Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.

Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.

Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Wacha mzaha Kamanda! Huo ni ubahiri tu, mbona wana fedha za kukodi HELICOPTER? Kamanda Asiyechoka acha kutetea ubadhirifu na uharibifu wa fedha za wanachama na wabunge ndani ya CHADEMA.
 
Wacha mzaha Kamanda! Huo ni ubahiri tu, mbona wana fedha za kukodi HELICOPTER? Kamanda Asiyechoka acha kutetea ubadhirifu na uharibifu wa fedha za wanachama na wabunge ndani ya CHADEMA.
We unamuangalia Lissu tu? Huku chini madiwani na wabunge,hawana hata hela ya kukodi bajaji.
 
Fact. Majimboni (Ukitoa majimbo machache yenye wagombea wanaojitosheleza ki-rasilimali) hali ni mbaya sana. Hata haijulikani kampeni zitaanza lini.
Watakuja wenzenu kubisha hapa.
 
Mkuu hata makao makuu hamna pesa ndo maana mgombea urais anatembea na bakuli. So nashauri kuliko kukomaa na kampeni ambazo zinazidi kuwafirisi na hawana uhakika wa kushinda ni bora watandike daruga watajaribu next time wakiwa wamejipanga..
 
Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.

Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.

Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.

Sasa watu hawatoi support kwenu watawapa kura kweli,CDM mwaka huu kwisha kazi hakuna jipya.
 
Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.

Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.

Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Wengi wao walishachukua sh 200 milioni zimekwenda wapi?
 
Ukikosoa wewe Hufai
Muulizeni Faru John Ruzuku ipo wapi
 
KUNA WAGOMBEA DHAIFU SANA BAADHI YA MAENEO . UNASHINDWA KUTUMIA SIMU NA PAGES MBALIMBALI KUJITANGAZA
 
Back
Top Bottom