Hapana, ana nia njema na yuko tayari hata kujitoa muhanga sababu ya chama chake. Tatizo ni mmoja wa mamilioni ambao kwao Mbowe & Co ni sacrosanct. Mamilioni ya wanachama hawa kujikosesha fursa muhimu sana ya kuhoji yanayofanywa na uongozi ndio imetoa mwanya kwa viongozi kukiongoza chama kama taasisi binafsi na kusababisha wachache wanaoweza kuhoji kuonekana wasaliti.Wewe ni mmoja wa makamanda wasio na nia njema na Chadema.
Ukihoji maswali kama hayo utafukuzwa kama Zitto. Kaa kimya chama chetu kina mambo mazito.Kwani ruzuku ya chama kwa miaka mitano iko wapi? Na yale makato ya mishahara ya wabunge kwa miaka mitano iko wapi?
[emoji3][emoji3][emoji3]Hapana, ana nia njema na yuko tayari hata kujitoa muhanga sababu ya chama chake. Tatizo ni mmoja wa mamilioni ambao kwao Mbowe & Co ni sacrosanct. Mamilioni ya wanachama hawa kujikosesha fursa muhimu sana ya kuhoji yanayofanywa na uongozi ndio imetoa mwanya kwa viongozi kukiongoza chama kama taasisi binafsi na kusababisha wachache wanaoweza kuhoji kuonekana wasaliti.
Ukisikia mtu kafikia hatua ya kusema atakipigia kura chama chake hata kikisimamisha shati kama mgombea, count him/her out.
Wacha mzaha Kamanda! Huo ni ubahiri tu, mbona wana fedha za kukodi HELICOPTER? Kamanda Asiyechoka acha kutetea ubadhirifu na uharibifu wa fedha za wanachama na wabunge ndani ya CHADEMA.Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Unacheka mazuri?[emoji3][emoji3][emoji3]
We unamuangalia Lissu tu? Huku chini madiwani na wabunge,hawana hata hela ya kukodi bajaji.Wacha mzaha Kamanda! Huo ni ubahiri tu, mbona wana fedha za kukodi HELICOPTER? Kamanda Asiyechoka acha kutetea ubadhirifu na uharibifu wa fedha za wanachama na wabunge ndani ya CHADEMA.
Watakuja wenzenu kubisha hapa.Fact. Majimboni (Ukitoa majimbo machache yenye wagombea wanaojitosheleza ki-rasilimali) hali ni mbaya sana. Hata haijulikani kampeni zitaanza lini.
Mkuu, hivi unadhani Ni simple kutembea nyumba kwa nyumba..?Ili Jambo lifanyiwe kazi haraka ingawa kampeni ni zaidi ya vipaza sauti unaweza kwenda nyumba mwa nyumba
Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Wengi wao walishachukua sh 200 milioni zimekwenda wapi?Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Ili Jambo lifanyiwe kazi haraka ingawa kampeni ni zaidi ya vipaza sauti unaweza kwenda nyumba mwa nyumba
Kama nyie mnavyojaza wasanii kuvuta umatiAcha utani,wananchi wanatakiwa wavutwe na matangazo.
Taja hayo maeneo watu waweze kuwafikia kiurahisiUkisema kweli makamanda wanachukia na siku zinakimbia.
uvcccm wanachana matangazo ya wagombea wa upinzani hasa chadema na hawaambiwi kitu, ila wewe gusa ya ccm uone motoDa no kweli, huku mtaani posters za wagombea wa cdm hatuzioni yamejaa mapicha ya jiwe na malaika zake,