Wewe sio chadema. Tuneshakuumbua humu ila unazidi tu kuleta vi thread vyako uchwara humu!!Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Achana na mwana lumumba huyu!!! Huyo ni project ya Gwajima na polepole amejoin jana kwa mkakati maalumIli Jambo lifanyiwe kazi haraka ingawa kampeni ni zaidi ya vipaza sauti unaweza kwenda nyumba mwa nyumba
Wanachana mabango ambayo hayapo?uvcccm wanachana matangazo ya wagombea wa upinzani hasa chadema na hawaambiwi kitu, ila wewe gusa ya ccm uone moto
Umeelewa point ya mtoa mada kweli?Wewe sio chadema. Tuneshakuumbua humu ila unazidi tu kuleta vi thread vyako uchwara humu!!
Kwani silinde alivyoshindaga ubunge kupitia chadema akitokea chuo kikuu alikuwaga na hela gani??? Kampeni zake zilikuwa na matumizi gani ya hela????
Tulioko huku mitaani mtu ukimuuliza mgombea wa chadema hata majina hawajulikani.Wewe Countrywide umebadilisha ID unahangaika tu, kawadanganye wajinga wenzio.
Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Haina tabu kamanda.Wewe sio chadema. Tuneshakuumbua humu ila unazidi tu kuleta vi thread vyako uchwara humu!!
Kwani silinde alivyoshindaga ubunge kupitia chadema akitokea chuo kikuu alikuwaga na hela gani??? Kampeni zake zilikuwa na matumizi gani ya hela????
Watanzania hatupendi ukweli.Umeelewa point ya mtoa mada kweli?
Yani Mbowe anajivunia sana kuwa na watu aina yako!
Hivi hujamuwezesha mtu kwa chochote kwa ajili ya kampeni alafu unataka ashinde kwa mbinu zipi wakati hata hela ya kukodia gari ya matangazo hana?
Au unafikiri majimbo yote unaweza kuzunguka kwa baiskeli ndani ya nusu saa kama ilivyo Majimbo ya dar?
Ok wagombea wa Cdm wana hali nzuri. Furahia, maana unadhani kila kitu ni upuuzi.Achana na mwana lumumba huyu!!! Huyo ni project ya Gwajima na polepole amejoin jana kwa mkakati maalum
Mbowe ashakula zotee!Makao makuu ya chama inatakiwa mchukue hatua za haraka kunusuru wagombea wa chama chetu.
Wengi hawana pesa za kuendeshea kampeni,na hali ni mbaya sana. Mimi ni kamanda nisiyechoka na kweli nitasema.
Hali ya kifedha na kisiasa ni mbaya sana, naomba makao makuu waangalie namna ya kuwasaidia. Wanakosa hata pesa za kukodishia vipaza sauti na michango hatupati sababu inaonyesha watu hawatupi support. Tunatakiwa tusaidiwe ili wagombea wafanye kampeni.
Mgombea wa Chadema huku Missungwi alijitoa kwasbabu hizihizi na kuturuhusu kupita bila kupingwa.Mazingira kama haya ni rahisi sana kuruhusu kuibiwa kura kama kweli wizi wa kura upo. Uongozi wa juu umekuwa na ubinafsi sana.
Inasikitisha sana.Mgombea wa Chadema huku Missungwi alijitoa kwasbabu hizihizi na kuturuhusu kupita bila kupingwa.
Hawajulikani halafu mnahangaika kuwaengua bila sababu, kama hawajulikani nendeni kwenye sanduku la kura muone.Tulioko huku mitaani mtu ukimuuliza mgombea wa chadema hata majina hawajulikani.
Yani chadema sijui huu uchaguzi mnategemea mtashinda vipi?
Ili Jambo lifanyiwe kazi haraka ingawa kampeni ni zaidi ya vipaza sauti unaweza kwenda nyumba mwa nyumba
Hali ni mbaya kwa vyama vyote. Kama huamini njoo jiunge na kampeni ya mmoja wa mgombea wa ubunge CCM !Ukisema kweli makamanda wanachukia na siku zinakimbia.
Utawafikia wapigakura wangapi kwa Facebook kwa jimbo kama Tarime vijijini! Are you guys serious?!MGOMBEA ANAWEKA PICHA YAKE HAKUNA JINA LAKE HAKUNA KAULIMBIU NADHANI CHAMA TAIFA KANDA NA MIKOA BADO HAWAJAJIPANGA INGAWA MAMBO YA BENDERA NA MABANGO SI VYEMA KUWEKA WIKI ZA MWANZO . WIKI ZA MWANZO TUTUMIE FACEBOOK ZAIDI CHAMA TAIFA KANDA MIKOA NA MAJIMBO
Unawafikia wengi tu Kama upo serious . MABANGO timing yake ni wiki tatu za mwishoUtawafikia wapigakura wangapi kwa Facebook kwa jimbo kama Tarime vijijini! Are you guys serious?!