Uchaguzi 2020 Wagombea waliohamia CCM wapitishwa na chama kugombea Ubunge

East African

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
704
Reaction score
993
Wabunge waliokuwa CHADEMA na kujiunga CCM wote wamerudishwa isipokuwa Lijualikali aliyelia Bungeni waliorudishwa ni pamoja na

Cecil Mwambe - Ndanda
Mwita Waitara - Tarime Vijijini
Dkt. Godwin Mollel - Siha
David Silinde - Tunduma
Pauline Gekul - Babati Mjini
Dkt. Mkundi - Ukerewe
 
Maana ya ngoma inogile ndo huu Uzi Sasa...yaani pamfikia patamu Sana...hakuna mccm anajielewa akakubali upuuzi huo aisee...wajumbe msikate tamaa...malipo yenu soon mtayaona
 
Hili ni kosa kubwa sana wamefanya ccm hyo majimbo tunayarudisha yalipokua mwanzo
 
Naona majimbo mengi ya Kilimanjaro yakarudi CCM mfano:
Vunjo
Moshi vijijini
Rombo na
Siha
Huko kote wameingia maprof wazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…