Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Umenena vyema na pia Umeuliza swali zuri sana.
Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kunywa chai ni kuingiza kitu cha moto. Wangapi wamekufa kwa kujifukizia .Tuachie tujaribu maana dawa haijapatikana bado.
Utajaribu hadi kula mavi mtaalamu kakuambia mfumo wa hewa haujatengenezwa ww maamuma wa kiwalani unasema unajaribu.
Ujinga huu!!
 
Dogo hadi Pierre Liquid katoroka
 
Mkuu liquid alikuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…