Ninakumbuka vijana wa Tanga walikuwa wanaendesha magari kuwahi disco Mombasa miaka hiyoo.Mombasa mbona hali inakua tete hivi, wanafukuzia Nairobi balaa.
Wawe makini sana huko japo wana undugu na watu wa Tanga na kule Zenji, ila kwa sasa wazuie kuruhusu muingiliano, kila mtu abaki kwenye nchi yake kwanza tupambane na hiki kitu, baada ya hapo ndio wataruhusu watu kuingia ingia.
Ninakumbuka vijana wa Tanga walikuwa wanaendesha magari kuwahi disco Mombasa miaka hiyoo.
Kuna Mnyakyusa alileta mchele Tanga kutoka Kyela. Alikutana na Mwanauani akakaribishwa mjini. Mwalafyale aliuza mchele akaanza kula faida. Alipomaliza faida akala mtaji, alipomaliza kula nailuli ilibidi atafutiwe kibarua bandarini.Ndugu hadi kwenye majanga, ila ndio hivyo sisi wa mikoani huwa tunasema kuingia Mombasa huwa harusi ila kutoka labda kwa msiba....nilikuta hicho kitu Bongo pia, watu wa mikoa mingine kama kanda ziwa au kaskazini wakiingia Tanga huachia vyote na kurudi mifuko ikiwa mitupu.
Kuna Mnyakyusa alileta mchele Tanga kutoka Kyela. Alikutana na Mwanauani akakaribishwa mjini. Mwalafyale aliuza mchele akaanza kula faida. Alipomaliza faida akala mtaji, alipomaliza kula nailuli ilibidi atafutiwe kibarua bandarini.
Baada ya miaka mitatu ndugu walitoka Kyelakumtafuta, wanamkuta Mwalafyale ana kikoi kiunoni.
Wewe jadili hoja kama ulivyoikuta, unalialia sana kama binti.