Wagonjwa wa "Red eyes" muwe wastarabu

Upo sahihi kwa kila kitu ila huu ugonjwa husababishwa na virusi (at least hicho ndicho walichobandika ukutani)

Nafikiri ndiyo maana hata kupona kwake ni kwa kujichunga kwa kunawa maji mara kwa mara, kukaa eneo ambao halitakazia ugonjwa n.k. nahisi ingekua bacteria kupona ingekua rahisi. Kwakua hauui wafanyakazi wamejiambukiza makusudi na kuomba leave na wamegewa
 
Jana nilipita sehemu nikamuona mchoma maindi kavaa zake miwani mikubwa meusi (kimoyomoyo nikajiambia atakuwa na red eyes tu huyu). Mara akanyanyua kidogo miwani akaanza kufikicha macho, jicho jekunduuu.
Then akaendelea kuzungusha zungusha maindi bila hata kunawa.
Mungu atusaidie tu kwa kweli, na maisha yetu yalivyo magumu hata kama unaumwa lazima utoke uhangaike!!
 
Umeacha kazi? Unafanya shughuli gani now?
 
kukosa elimu ya kutosha pia inachangia
wengi sana wanajua unapata huo ugonjwa ni kwa kuwa zamu yako imefika

binafsi wakati nasoma chuo cha kati, dorm karibia lote liliumwa, mie sikuupata sababu tu nilikataa kupeleka mikono machoni
 
Hebu ona sasa. Mtu anajua kabisa anaugonjwa wa macho halafu anachoma mahindi. Imagine idadi ya watu wengine atakaowaambukiza na kuwalisha uchafu.

Ukiona sehemu ya mtoa huduma mtu kavaa miwani myeusi kama paka wa kichawi jua tayari anasumbuliwa na red eyes.
 
HUO NDIO UAFRIKA, LAANA NA KOSA KUBWA ALILOLIFANYA mUNGU (KAMA YUPO) NI KUMUUMBA MTU MWEUSI
Kwahiyo mjomba hao mashoga mnaowashabikia hawana laana sio! Nyinyi ndio wale nyimbo ya lil wayn anawazungumzia masnitch kwenye jamii yake lkn bado mkija humu mnasema waafrica ndio masnitch
 
kukosa elimu ya kutosha pia inachangia
wengi sana wanajua unapata huo ugonjwa ni kwa kuwa zamu yako imefika

binafsi wakati nasoma chuo cha kati, dorm karibia lote liliumwa, mie sikuupata sababu tu nilikataa kupeleka mikono machoni
Kabisa mkuu, ukikaa vijiweni utasikia wanajibizana "subiri zamu yako itafika". Kumbe inabidi uweke viganja vyako mbali na macho.
Sasahivi hata door handles hatushiki kwa viganja, tusukumizia chini tu na viwiko!
 
Ndio maana kuna watu hawali vyakula vya barabarani.
 
Kwahiyo mjomba hao mashoga mnaowashabikia hawana laana sio! Nyinyi ndio wale nyimbo ya lil wayn anawazungumzia masnitch kwenye jamii yake lkn bado mkija humu mnasema waafrica ndio masnitch
ushoga wao is none of your business! ni mambo ya chumbani kwao hayakuhusu, tunasema those issues that impact everybody's daily life
 
Nini Hatua nifanye kama sijaambukizwa
 
Upo sahihi 60% na haupo sahihi 40%

Kinachomsumbua MTU mweusi siku zote ni ubinafsi ule wa akiwa anaumwa basi tuumwe sote na akiwa masikini basi tuwe masikini sote.

Red eyes inasambazwa makusudi MTU anaumwa Ila anataka Ku-shake hands na kila MTU .
 
Riziki ya mbwa ipo kwenye miguu yake. Kama wewe ni mbwa wa kufugwa huwezi jua hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…