Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchiKatika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.
Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.
View attachment 1961182
😅😅😅this is barbaricKatika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.
Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.
View attachment 1961182
Cheap and accessibleHiyo machela ipo mswano sana, safe and reliable
Kupanga machinfa tu mjini imeshindikana. Hao ni wapiga kura wangu😅😅Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi
Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.
Hiyo ni baada ya miaka 60 ya uhuru bado watu wanasafirishwa kwa njia zilizo tumika enzi za zana za mawe.Katika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.
Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.
View attachment 1961182
Ficha ujinga wako,mbona siku ya uchaguzi tume huwa inafika huko.Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi
Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.
Angekuwepo leo nami ningkuwa naitwa mwekezaji maana ninacherehani 4.Tanzania ya viwanda, mashule na mahospitali.
Tunakumiss sana mzee wa propaganda Mh. Mwijage.
Akili ndog unazungumzia central au local government!?Katika kijiji cha Kitewele Wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe hali sio hali, kwani hakuna huduma ya za afya karibu, Wananchi wanalazimika kutembea zaidi ya km 30 kufuata huduma katika kituo cha afya.
Pamoja na kukosekana huduma ya kitutua cha afya barabara katika kijiji hicho hazipitiki iwe kwa gari wala pikipiki.
View attachment 1961182
Eti?Hiyo ni baada ya miaka 60 ya uhuru bado watu wanasafirishwa kwa njia zilizo tumika enzi za zana za mawe.
Bila kuiondoa ccm madarakani tutaendelea kuogelea kwenye dimbwi la umasikini
Nchi ilipitia na inapitia majaribu mazito sana. Tatizo letu kama nchi tunaabudu mungu-moto/mwenge. Hapa ndio laana ilipoanziaAngekuwepo leo nami ningkuwa naitwa mwekezaji maana ninacherehani 4.