Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Serikali yenyewe haiwezi kupanga vitu vyake, sembuse hao wananchi.Elimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi
Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.
Nakubaliana na wewe kwa 100%Nchi ilipitia na inapitia majaribu mazito sana. Tatizo letu kama nchi tunaabudu mungu-moto/mwenge. Hapa ndio laana ilipoanziaView attachment 1961254
Hayo mapato utakuta 30% yanaingia kwenye ununuzi wa ma gari ya kifahari kama alivyosema PolepoleMbunge wao anaitwa nani. Anashindwa kuwasaidia wananchi wake waliomchagua.
Chama cha Mbunge kinashindwa kusaidia. Mapato tuliyokusanya kwa mwezi yana kazi na faida gani ikiwa wananchi wanaangaika.
Viongozi wao wanapanda ndege wakati wananchi wanashida
Wakati hata uhakika wa kwao kupata milo 3 kwa siku ni shidaukiwasikiliza chawa wanavyopamba utadhani bongo kama ulaya
Huo mtalimbo ukikatika mgonjwa atavunjika kiuno.ubongo,figo,maini,bandama kuleHiyo machela ipo mswano sana, safe and reliable
Umeongea kilimbukeni, utaratibu wa kuanzishwa kijiji upo wazi kabisa, hakuna watu wanaweza kuanzisha kijiji bila kufuata utaratibuElimu ianze kwanza kwa kuzui uanzishwaji wa vijiji holela holela madhara yake ndio haya , tanzania inabidi tufike mahali tuanze kupanga wananchi
Sio mtu anaacha mji anapandisha milimani juu huko mbali kabisa halafu akifika huko anaanza kulalamika hafikishiwi huduma za kijamii ,hili nalo ni tatizo kubwa sana tanzania.
Tuliza chura iyoTuliza tako
Yaan hapa wewe ndiye unaye onekana mjinga zaid kwa sababu hujaelewa context ya nilicho kiandika ila umekurupuka tu kujibu kisiasa ila wenye akili timamu kabisa na walio komaa kifikra wamenielewaFicha ujinga wako,mbona siku ya uchaguzi tume huwa inafika huko.
Kwa muundo wa vijiji ulivyo tanzania hiyo ya kusafirisha wagonjwa haita kwepeka hata kama hospitali itajengwa kila kijiji maana hata ndan ya vijiji kuna ndani mlimani huko watu wameweka vijumba huko kwa hiyo kumpeleka mgonjwa lazima abebwe tu maana si gari wa pikipiki inaingia hukoHiyo machela ipo mswano sana, safe and reliable