Wagundua sumu ya kuua VVU mwilini

Makampuni yakutengeneza kondom na ARV yajiandae kufilisika, kitu ambacho sidhani kama watakubaliana nacho.
 
Jamaa wanajitahidi sana kuja na 'innovations' za maana lakini tatizo ni kwamba wanakuwa ni watu wa kutangaza tu!Walete dawa hizo watu watumie sio kusema tu.
 
Ukimwi ni fumbo.
Ila sema umekalia pabayaaa, bora ungekuwa kwa kula ugali wa moto.
 
Dawa ya ukimwi ni "uaminifu tu" nyingine ni porojo.

Kinga ni bora kuliko tiba.
 
Dawa ya ukimwi ni "uaminifu tu" nyingine ni porojo.

Kinga ni bora kuliko tiba.
Watoto waliozaliwa na virus wamekosa uaminifu wapi? Mgonjwa aliyeongezewa damu iliyoscreeniwa na Elisa test ilhali donor amepata maambukizi a week before kisa hakuna damu salama maana kituo cha damu salama hakijatuma damu amekosa uaminifu wapi?

Au mume/mke aliye tulia nyumbani ameletewa virus na partner wake kakosa uaminifu wapi?
 
Mleta uzi kama siyo Muathirika basi atakuwa ni Mzinzi aliyekubuhu..jinsi alivyoiandika Title daah kafurahi kweli.

Lazima kama binaadamu ufurahi kwasababu una ndugu, vizazi, marafiki kws hiyo hata kama wewe huna kuna wengi wanaoteseka kwa ugonjwa huu na sio kwamba wazinzi la hasha, pata picha daktari au mtu aliyopata kwa bahati mbaya kama, mke aliyoletewa na mume, mtoto aliyepata kutoka kwa mama, kujikata n.k, wapende binaadamu wenzako kama unavyojipenda
 
We nenda kanengeneke ukijifariji ukimwi basi maandiki matakatifu yaliyo ndani ya biblia yanasema hivi baada ya kutokea gharika ya nuhu mungu alisema hivi sitaiadhibu tena dunia kwa maji wala kwa moto bali kwa magonjwa kwa hiyo ndugu yangu kansa, ukoma, ukimwi, sukari, presha, na maradhi yanayofanana na hayo ni laana kutoka kwa mwenyezi mungu na anaipiga dunia baada ya maasi kuwa mengi na watu kumsahau muumba.
 
Dawa ya ukimwi ni "uaminifu tu" nyingine ni porojo.

Kinga ni bora kuliko tiba.

Katika miaka 30 iliyopita, utafiti wa tiba umeendelea sana. Hivyo kusema kuwa ni porojo hutendei haki juhudi zilizofanywa mpaka sasa.
 
Tafiti nyingi za dawa kuhusu bnadamu hufanyika kwa panya, hata shuleni kwa waliosoma pcb watakwambia experiment zao kuhusu binadamu walitumia panya! Uliwahi kujiuliza ni kwa nini? Tafiti
 
Utaisha, si leo wala kesho lakini UTAISHA! Kuna magonjwa yalitisha kuliko UKIMWI lakini wataalam waliyapatia dawa.

Dawa ya kwanza (Quinine) kutibu Malaria iligunduliwa miaka 50 baadaye toka ugonjwa ulipozuka, hivyo hata UKIMWI siku moja utapata dawa japo huu ni Viral disease.
 
waliotengeneza virusi vya ukimwi dawa yake wanayo, wanasubiri malengo yao yatimie ili waitoe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…