hongera....
ntafurahi kwa sasa ukatuambia iyo milima ya ugweno iliitwaje kabla ya kuja kwa wagweno
pia uhusiano wao na koo nyingine kwa maelezo yako wasangi na wasuya si wagweno japo mzeee wa ukoo wa wagweno aliefariki ni msangi.
walipokuja walikuta jamii ipi?unaweza kadiria miaka ipi?jamii zingine zilizokuwepo maeneo ya ugweno ya sasa zilienda wapi?km kuna vita zilitokea je hali ilikuaje?unaweza tupa miaka ya safari toka asili yao hadi ugweno ya sasa?
je wagweno ni kabila au ukoo tu?