Wagweno: Kabila lenye asili ya Kenya lililohamia Tanzania kwa mbinu za kiintelijensia

Wagweno: Kabila lenye asili ya Kenya lililohamia Tanzania kwa mbinu za kiintelijensia

hongera....
ntafurahi kwa sasa ukatuambia iyo milima ya ugweno iliitwaje kabla ya kuja kwa wagweno
pia uhusiano wao na koo nyingine kwa maelezo yako wasangi na wasuya si wagweno japo mzeee wa ukoo wa wagweno aliefariki ni msangi.
walipokuja walikuta jamii ipi?unaweza kadiria miaka ipi?jamii zingine zilizokuwepo maeneo ya ugweno ya sasa zilienda wapi?km kuna vita zilitokea je hali ilikuaje?unaweza tupa miaka ya safari toka asili yao hadi ugweno ya sasa?
je wagweno ni kabila au ukoo tu?
Ukitaka kujua kama ni ukoo au kabila linganisha lugha Zao je wanaelewana?
 
Back
Top Bottom