Addes_Tech_School
Member
- May 5, 2024
- 20
- 11
Chuo cha MUST kina vijana wahadhiri wengi wameishia degree ya kwanza wanafundisha mpaka mwaka wa nne uhandisi. Ni wasumbufu mno wanachosha.
Ingependeza waishie kufundisha mwaka wa kwanza basi . Tunachoka
Ingependeza waishie kufundisha mwaka wa kwanza basi . Tunachoka