No SQL JF-Expert Member Joined Nov 8, 2014 Posts 7,063 Reaction score 12,563 May 27, 2024 #21 Soma chuo ww acha kulialia...kuwa na masters haimaanish kuwa anajua sana....sasa ww fundi unachagua mwalimu.
Soma chuo ww acha kulialia...kuwa na masters haimaanish kuwa anajua sana....sasa ww fundi unachagua mwalimu.
Mwananchi B JF-Expert Member Joined May 23, 2013 Posts 1,885 Reaction score 4,131 May 27, 2024 #22 Hao wajuba wanaishia kwenye kusimamia mitihani tu. Kumbe hapo wanafika hadi huko? Duuuuh.