Wahadhiri wa SUA tafadhali ongezeni 'Msuli' kwa Wanafunzi wenu kwani 'Wanazagaa' mno 'Mitaani' Morogoro na 'Vichwani' ni Watupu

Wahadhiri wa SUA tafadhali ongezeni 'Msuli' kwa Wanafunzi wenu kwani 'Wanazagaa' mno 'Mitaani' Morogoro na 'Vichwani' ni Watupu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Haiwezekani iwe ni Asubuhi, Mchana na hasa Usiku unakutana nao tu barabarani na katika Vilinge vya Starehe wakati nijuavyo kwa Vyuo Vikuu serious kama changu Takatifu na Tukuka cha SAUT Mwanza, Mzumbe, Tumaini na UDSM kwa Msuli walionao huwezi kukuta Wanafunzi wao wanazagaa hovyo kama Mbuzi wa Mpemba wa Mbezi Beach Makonde Mkoani Dar es Salaam.

Mwana Chuo unayeitafuta kweli GPA yako ya Kuanzia 3.0 kwenda ya 4 hadi ile ya 5 muda wa Kuzurula hovyo na kushinda Baa Kutwa unaipata wapi?

Halafu nyie Wahadhiri wa SUA Morogoro licha ya kuwataka muwaongezee Volume ya Msuli pia nawaombeni wafundisheni jinsi ya Kufikiri ( kuwa Critical Thinkers ) hasa wakikutana na Vichwa vya SAUT, Mzumbe, Tumaini na UDSM kwani uwezo wao wa Kujenga Hoja ni mdogo sana kiasi kwamba wanazidiwa hata na Wanafunzi wa O - Level.

Halafu Mademu wa SUA wajirekebishe.
 
Hao mademu wa sua wajirekebishe kwa lipi?

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbona unaifananisha SUA na vitu vya kijingajinga.....hadi unawafananisha na mangwini wa mzumbe, UDSM na SAUT.
 
Haiwezekani iwe ni Asubuhi, Mchana na hasa Usiku unakutana nao tu barabarani na katika Vilinge vya Starehe wakati nijuavyo kwa Vyuo Vikuu serious kama changu...
Hii nchi inawatu vilaza sna sababu kubwa ya ongezeko la jobless kwenye hii nchii ni ivi vyuo vyetu mnawawka wanafunzi siku nzima darasani mda mwingine Hadi saa4 usiku kama SUA Hadi jumapili darasani wanaenda alafu unataka akimaliza chuo ajiajiri mko na akili kweli?

Vyuo vipunguze mda WA wanafunzi kukaa darasani nakuwe na somo kwenye kila semister la kuusu njia za kupambania na Aya maisha siyo somo moja Tu ujasiriamali tna halina makazo wowote
 
Sawa sasa unataka kusema chuo Cha Kata Kama SAUT Ni Bora kuliko chuo Cha Sokoinne duuh haya mapya kusikia
 
Haiwezekani iwe ni Asubuhi, Mchana na hasa Usiku unakutana nao tu barabarani na katika Vilinge vya Starehe wakati nijuavyo kwa Vyuo Vikuu serious kama changu Takatifu na Tukuka cha SAUT Mwanza, Mzumbe, Tumaini na UDSM kwa Msuli walionao huwezi kukuta Wanafunzi wao wanazagaa hovyo kama Mbuzi wa Mpemba wa Mbezi Beach Makonde Mkoani Dar es Salaam.

Mwana Chuo unayeitafuta kweli GPA yako ya Kuanzia 3.0 kwenda ya 4 hadi ile ya 5 muda wa Kuzurula hovyo na kushinda Baa Kutwa unaipata wapi?

Halafu nyie Wahadhiri wa SUA Morogoro licha ya kuwataka muwaongezee Volume ya Msuli pia nawaombeni wafundisheni jinsi ya Kufikiri ( kuwa Critical Thinkers ) hasa wakikutana na Vichwa vya SAUT, Mzumbe, Tumaini na UDSM kwani uwezo wao wa Kujenga Hoja ni mdogo sana kiasi kwamba wanazidiwa hata na Wanafunzi wa O - Level.

Halafu Mademu wa SUA wajirekebishe.
Duh, wanafunzi mnashindana
 
Back
Top Bottom