Kenya ndo experiment ya high democracy in Africa , according to me high democracy in coercive nations zetu doesn't have a positive impact... lecturers wamegoma, teachers wamegoma, nurses wamegoma, nasa wamegoma....
Wahadhiri wa viuo vikuu huwa hawana mzaha, wakisema wanagoma lazima watagoma. Mgomo wenyewe utakuwa wa miezi kama mitatu hivi hawa maprofessa huwa hawaskizi chochote!