Wahadhiri wanastaafu miaka 65 waruhusiwe kuendelea kufundisha kutokana na Uhaba wao

Wahadhiri wanastaafu miaka 65 waruhusiwe kuendelea kufundisha kutokana na Uhaba wao

Unasahau kuwa Brain na Physical body viko tofauti sana, unapofanya sana kazi za nguvu mwili unachoka zaidi unafika wakati unaweza kuumiza mwili wako lakini kwa kesi ya akili(brain) ni tofauti, kadiri unavyotumia ndivyo unavyokuwa kuwa mzuri zaidi.
... as an example, walimu wa primary na secondary schools wanaostaafu kwa lazima at 60 wao wanatumia miguu kufundishia? Mbona tunapenda kutoa conclusions ambazo tunajinyooshea vidole wenyewe?
 
Uyu nae akili zake fupi kuliko uhalisia wake kumbe kwaiyo sisi vijana tuendelee kuteseka huku na phd zetu hajambo nini huyu dada sijui mama
... anajiandalia mazingira ya kurudi darasani baada ya ubunge na u-NS! Binadamu ni kiumbe kibinafsi sana!
 
... anajiandalia mazingira ya kurudi darasani baada ya ubunge na u-NS! Binadamu ni kiumbe kibinafsi sana!

Haya mambo ya kuangalia usoni hayakubaliki.

Kama kustaafu ni miaka 60 na iwe kwa wote. Si mwanasiasa si Profesa si Daktari wote!

Ndiyo maana tunalea tatizo la ajira.
 
... as an example, walimu wa primary na secondary schools wanaostaafu kwa lazima at 60 wao wanatumia miguu kufundishia? Mbona tunapenda kutoa conclusions ambazo tunajinyooshea vidole wenyewe?
Oooh, sikujua kuwa kuna uhaba wa walimu wa primary na secondary kama ilivyo kwa wahadhiri. Nilijua uzi unajidili swala la kuendelea kuwatumia wahadhiri kama njia ya kudeal na uhaba wao.
 
Haya mambo ya kuangalia usoni hayakubaliki.

Kama kustaafu ni miaka 60 na iwe kwa wote. Si mwanasiasa si Profesa si Daktari wote!

Ndiyo maana tunalea tatizo la ajira.
... ndio hivyo ujue kuna wenzetu wamejipa hatimiliki ya kuitafuna nchi hadi Muumba atakapowachukua! Na wanaitafuna kweli kweli kwa kupumbaza watu na ujinga uliobatizwa uzalendo.
 
... ndio hivyo ujue kuna wenzetu wamejipa hatimiliki ya kuitafuna nchi hadi Muumba atakapowachukua! Na wanaitafuna kweli kweli kwa kupumbaza watu na ujinga uliobatizwa uzalendo.

Katiba mpya ni suala la dharura sana!

Kunahitajika mustakabala mpya.
 
Oooh, sikujua kuwa kuna uhaba wa walimu wa primary na secondary kama ilivyo kwa wahadhiri. Nilijua uzi unajidili swala la kuendelea kuwatumia wahadhiri kama njia ya kudeal na uhaba wao.
... graduates wenye gpa za kutosha kufundisha vyuoni wamezagaa mtaani! By the way hoja yako ilikuwa physical body vs brain na majibu yangu yalijielekeza hivyo! Vyuo viandae proper succession plan badala ya wazee kujiandalia mazingira ya kubaki maofisini hadi mauti.
 
Katiba mpya ni suala la dharura sana!

Kunahitajika mustakabala mpya.
... sana Mkuu. Kuna watu walishajijengea mazoea, mazoea yakakomaa yakawa tabia, tabia imekomaa sasa inataka kuwa sheria!
 
Kwahiyo mpaka wafie kazini kama wanasiasa?

Kwani graduates hakuna ?
Tatizo wengi ni wabinafsi, hawataki ku transfer knowledge kwa juniors wao at full scale, wanataka waonekane ni bora na wawe wategemewa milele.
Siku hizi knowledge base imepanuka kupitia internet for self study, ila unakuta muhadhiri anataka ujibu kama alivyokufundisha yeye kwa references zake ambazo most of time is outdated.
 
... as an example, walimu wa primary na secondary schools wanaostaafu kwa lazima at 60 wao wanatumia miguu kufundishia? Mbona tunapenda kutoa conclusions ambazo tunajinyooshea vidole wenyewe?
Kwa upande wangu Mimi naona hiyo brain ndiyo inazidi ku-deteriorate. Kwa sababu inafikia stage mtu anasahau hata kunyoa ndevu!
 
Kwa upande wangu Mimi naona hiyo brain ndiyo inazidi ku-deteriorate. Kwa sababu inafikia stage mtu anasahau hata kunyoa ndevu!
... nakubaliana na wewe. Eti profesa wa 70 ana-deliver better than profesa wa 40 ceteris paribus! Wazee waache ubinafsi, waandae vijana kuchukua nafasi. Aione Msichana wa jana.
 
Ili vijana waendelee kukosa ajira na kulindikana mtaani, wastaafu tu tena wakifika hata 60 isiyo hiari bali lazima
 
Yaani mtu uajiriwe kufundisha chuo ukiwa na miaka 25 au 30 then ufanye kazi hadi miaka 65 bado tu uwe na hamu ya kuendelea kufundisha.
Hao maprof waache tamaa, wawaachie wengine waimplement knowledge zao.
Hapo shida si maprof pekee, na watawala wanahusika. Kwanza, mafao duni; pili, serikali haiajiri kwa wakati. Ukichunguza kwa sasa hata mahospitali, madaktari wengi ni wadogoo, wale wazee wametupwa ghafla. Ilipaswa watu waajiriwe kwa kufuata nature. Hapa ndipo uwiano kiumri na uzoefu utakuwa safi.Lakini, serikali ilikaa kwa miaka mingi bila kuajiri, kisha inakuja kuajiri wengi kwa pamoja. Ndicho kilichopo sasa.mnajikuta kundi fulani halipo.
 
Ni uoga wa maisha.
Kama wanaweza wasisaini mikataba waone hali halisi nje ya chaki.
Ni wazembe hawajajiandaa kustaafu.
Wastaafu tu wadogo zetubwaajiliwe.
Mtu mpaka mgongo unapinda eti ni mtumishi.
 
Back
Top Bottom