Wahamiaji haramu hawatakiwi Afrika Kusini baada ya 01 Juni

Haya mambo yameshazoeleka ni kawaida kwa mabaharia wala haishtui hiyo.
yenza nje njengenjwayelo, izihlobo zinomona ngomsebenzi, azifuni ukuchitha usuku lonke zidakwa, namaphoyisa ayawuthanda ukuze akwazi ukugebenga abantu kahle.
Mwenyewe kama umetutusi.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Wabongo walio wengi SA ni wezi na wauza unga
 
wahamiaji haramu wengi SA bora walivyofanya hivi
wao walichelewa kudai uhuru ndo maana mzungu kawajengea uchumi na miundo mbinu bora. wengine tuliwahi kudai uhuru tukajengewa.... na .... mabaya!! hao walijazana huko kwa mzulu jmulisha na hao wanaokufa maji mediterenian sea kulilia kuingia ulaya utabakia na wachina na wahindi tuu africa!
 
South machoqo mengi balaa Kama unapenda hizo mambo aisee utachoka kupiga paipu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…