Wahandisi hebu niambieni kwenye hii picha nini kimekosekana?

Wahandisi hebu niambieni kwenye hii picha nini kimekosekana?

Llio 002

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
1,636
Reaction score
2,053
Wahandisi niambieni nini kimekosekana hapa?

Nb: tunafanya Underground Water survey kwa Tshs 250,000 kwa wakazi wa Dar Es salaam

Pia Tunachimba visima kwa ghalama nafuu kabisa

0689 150 968
0625 557 395
0764 418 248
IMG-20220726-WA0000.jpg
 
hiyo kwenye picha ndio mnaita survey? i mean hicho kitendo mnachofanya
Kwenye picha ni uchimbaji wa kisima kwa kutumia mud circulation. Survey ni hatua inayofanyika kabla ya uchimbaji wa kisima, lengo ni kujua ni kwa umbali gani maji mengi yanaweza kupatikana, aina ya matabaka ya ardhi (geological formation ambapo ndio itakufanya uchague aina ya uchimbaji) na pia kujua idadi na ukubwa wa mikondo ya maji iliyopo chini ya ardhi.
 
Kwenye picha ni uchimbaji wa kisima kwa kutumia mud circulation. Survey ni hatua inayofanyika kabla ya uchimbaji wa kisima, lengo ni kujua ni kwa umbali gani maji mengi yanaweza kupatikana, aina ya matabaka ya ardhi (geological formation ambapo ndio itakufanya uchague aina ya uchimbaji) na pia kujua idadi na ukubwa wa mikondo ya maji iliyopo chini ya ardhi.
Exactly boss
 
Kwenye picha ni uchimbaji wa kisima kwa kutumia mud circulation. Survey ni hatua inayofanyika kabla ya uchimbaji wa kisima, lengo ni kujua ni kwa umbali gani maji mengi yanaweza kupatikana, aina ya matabaka ya ardhi (geological formation ambapo ndio itakufanya uchague aina ya uchimbaji) na pia kujua idadi na ukubwa
wa mikondo ya maji iliyopo chini ya ardhi.
Mnatumia kifaa gani mkuu
 
Kwenye picha ni uchimbaji wa kisima kwa kutumia mud circulation. Survey ni hatua inayofanyika kabla ya uchimbaji wa kisima, lengo ni kujua ni kwa umbali gani maji mengi yanaweza kupatikana, aina ya matabaka ya ardhi (geological formation ambapo ndio itakufanya uchague aina ya uchimbaji) na pia kujua idadi na ukubwa wa mikondo ya maji iliyopo chini ya ardhi.
Good mtaalamu
 
WACHIMBAJI BORA WA VISIMA TANZANIA


Tunahakikisha Huduma Bora Kwa Kila Hatua:


1. Upimaji Maji Ardhini


2. Uchimbaji Visima Vya Maji


3. Usafishaji Na Ukarabati Wa Visima Vya Maji


4. Ufungaji Wa Pump


Piga Simu Sasa:


📞 0689 150 968 | 0625 557 395 | 0764 418 248 | 0712 675 412


Au Tuandikie:
📧
Tawawaterproffesional@Gmail.com


Tunahakikisha unapata kisima kilicho bora kabisa


Maji Ni Uhai Na Sisi Tunawezesha Maisha Yenye Afya Na Ustawi


#KisimaNafuu
IMG-20241122-WA0001.jpg
 
WACHIMBAJI BORA WA VISIMA TANZANIA


Tunahakikisha Huduma Bora Kwa Kila Hatua:


1. Upimaji Maji Ardhini


2. Uchimbaji Visima Vya Maji


3. Usafishaji Na Ukarabati Wa Visima Vya Maji


4. Ufungaji Wa Pump


Piga Simu Sasa:


📞 0689 150 968 | 0625 557 395 | 0764 418 248 | 0712 675 412


Au Tuandikie:
📧
Tawawaterproffesional@Gmail.com


Tunahakikisha unapata kisima kilicho bora kabisa


Maji Ni Uhai Na Sisi Tunawezesha Maisha Yenye Afya Na Ustawi


#KisimaNafuu
 

Attachments

  • VID-20241122-WA0000.mp4
    7.8 MB
OFA OFA OFA.....DODOMA,SINGIDA,KONDOWA,MANYONI


Tupo kwenu, Tunachimba visima kwa gharama nafuu kabisa,
Ukichimba na sisi tunakuwekea PAMPU YA MAJI BURE KABISA


SURVEY ni gharama nafuu kabisa
0625 55 73 95 | 0689 150 968 | 0764 418 248 | 0712 675 412
#KisimaNafuu
 

Attachments

  • FB_IMG_1715928048285.jpg
    FB_IMG_1715928048285.jpg
    238.3 KB · Views: 4
Wahandisi niambieni nini kimekosekana hapa?

Nb: tunafanya Underground Water survey kwa Tshs 250,000 kwa wakazi wa Dar Es salaam

Pia Tunachimba visima kwa ghalama nafuu kabisa

0689 150 968
0625 557 395
0764 418 248View attachment 2304909
Gharama nafuu ndio kiasi gani?! Nipo Sumbawanga na tayari nina kisima cha kama mita 10 hivi. Nataka mkiboreshe kama mpo na huku
 
Huduma za uchimbaji wa kisima bado zinaendelea
FB_IMG_1715928058922.jpg
 
Tukikuchimbia kisima tunakupa Tenki bure
FB_IMG_1715928048285.jpg
 
Back
Top Bottom