Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

Afage

Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
46
Reaction score
66
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
 
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
Kama wewe ni graduate wa 2015 huna masomo ya Science aisee kupata kazi ni vigumu mno, hao wa 2019 wanaochukuliwa ni wenye Physics, haiwezekani wakuchukue wewe wa Kiswahili wamuache wa physics never, hizi ajira kwa upande wa sekondari 97% zitaenda kwa masomo ya Science,
 
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
Also after deadline mwezi mmoja tu majina yanatoka,
 
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
POINTLESS, WALIMU MNASHIDA SANA HIVI KADA NYINGINE KWANI UWA WANAAJIRIWA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI? AU WANAAJIRIWA KWA COMPETENCE NA VIGEZO VYA MTU? YAANI KUMALIZA ZAMANI NDIYO IWE GUARANTEE YA WEWE KUAJIRIWA? ULIONA WAPI? ACHA KUTAFUTA HURUMA WITH FAKE REASONING. NJOONI AJIRA PORTAL HUKU MUONE KAMA KUNA HIVYO VIGEZO UCHWARA VYA "ETI MIMI NIMEMALIZA ZAMANI".. WATU WANAANGALIA UNA NINI SIYO UMEMALIZA LINI NA INGEPENDEZA SERIKALI IWEKE NA INTERVIEW KWENYE AJIRA ZENU. TUPATE COMPETENT TEACHERS SIYO WATU WANAOTAKA MISHAHARA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI.
]
 
POINTLESS, WALIMU MNASHIDA SANA HIVI KADA NYINGINE KWANI UWA WANAAJIRIWA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI? AU WANAAJIRIWA KWA COMPETENCE NA VIGEZO VYA MTU? YAANI KUMALIZA ZAMANI NDIYO IWE GUARANTEE YA WEWE KUAJIRIWA? ULIONA WAPI? ACHA KUTAFUTA HURUMA WITH FAKE REASONING. NJOONI AJIRA PORTAL HUKU MUONE KAMA KUNA HIVYO VIGEZO UCHWARA VYA "ETI MIMI NIMEMALIZA ZAMANI".. WATU WANAANGALIA UNA NINI SIYO UMEMALIZA LINI NA INGEPENDEZA SERIKALI IWEKE NA INTERVIEW KWENYE AJIRA ZENU. TUPATE COMPETENT TEACHERS SIYO WATU WANAOTAKA MISHAHARA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sema interview za walimu zitakuwa noma, yaani nafasi 12k application Ni 120k
 
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
UNAPOSEMA WATU WASITUME MAOMBI KWAMBA MAJINA YENU TAYARI WANAYO.
HUJUI KWENYE HAYO MAJINA KUNA WATU WASHAFARIKI, KUNA WATU HAWATAKI TENA HIZO AJIRA.
 
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
Heri hata walimu wanahajiruwa haijalishi ni wahitumu wa mwaka ganiii kuna kada zingine hazijawai kuajiriwa kbs
 
Sema interview za walimu zitakuwa noma, yaani nafasi 12k application Ni 120k
[emoji16] WAMEZOESHWA VIBAYA HAWA YAANI HAWAJUI KADA NYINGINE WATU WANAVYO COMPETE KWENYE INTERVIEW KUPATA AJIRA. WENYEWE NI KULIA TUU OOH NIAJIRINI MIMI NIMEMALIZA ZAMANI! KUMALIZA ZAMANI HAKUWEZI KUWA GUARANTEE YA MTU KUAJIRIKA KAMWE. WATU TUNAENDAGA KWENYE INTERVIEW NA WADOGO ZETU TULIYOWAACHA CHUO NA WANACHUKULIWA KWA UWEZO WAO. ONDOA DHANA YA KUMALIZA ZAMANI NDUGU.
]
 
POINTLESS, WALIMU MNASHIDA SANA HIVI KADA NYINGINE KWANI UWA WANAAJIRIWA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI? AU WANAAJIRIWA KWA COMPETENCE NA VIGEZO VYA MTU? YAANI KUMALIZA ZAMANI NDIYO IWE GUARANTEE YA WEWE KUAJIRIWA? ULIONA WAPI? ACHA KUTAFUTA HURUMA WITH FAKE REASONING. NJOONI AJIRA PORTAL HUKU MUONE KAMA KUNA HIVYO VIGEZO UCHWARA VYA "ETI MIMI NIMEMALIZA ZAMANI".. WATU WANAANGALIA UNA NINI SIYO UMEMALIZA LINI NA INGEPENDEZA SERIKALI IWEKE NA INTERVIEW KWENYE AJIRA ZENU. TUPATE COMPETENT TEACHERS SIYO WATU WANAOTAKA MISHAHARA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Bila shaka wewe umemaliza mwaka Jana sociology ndo maana unahemka
 
Bila shaka wewe umemaliza mwaka Jana sociology ndo maana unahemka
UNAPOZUNGUMZA NA KAKA ZAKO JARIBU KU_BEHAVE, MIMI NI DRIVER BY PROFFESIONAL KUTOKA HAPO N. I. T 2011.
NA ACHA KULIA LIA DUNIA HAINA HURUMA. ETI OOH NIMEMALIZA ZAMANI. KIGEZO CHA MTU KUPATA AJIRA NI VYETI VYAKE NA UWEZO WAKE, SIYO MWAKA WA KUMALIZA NDUGU.

]
 
POINTLESS, WALIMU MNASHIDA SANA HIVI KADA NYINGINE KWANI UWA WANAAJIRIWA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI? AU WANAAJIRIWA KWA COMPETENCE NA VIGEZO VYA MTU? YAANI KUMALIZA ZAMANI NDIYO IWE GUARANTEE YA WEWE KUAJIRIWA? ULIONA WAPI? ACHA KUTAFUTA HURUMA WITH FAKE REASONING. NJOONI AJIRA PORTAL HUKU MUONE KAMA KUNA HIVYO VIGEZO UCHWARA VYA "ETI MIMI NIMEMALIZA ZAMANI".. WATU WANAANGALIA UNA NINI SIYO UMEMALIZA LINI NA INGEPENDEZA SERIKALI IWEKE NA INTERVIEW KWENYE AJIRA ZENU. TUPATE COMPETENT TEACHERS SIYO WATU WANAOTAKA MISHAHARA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
binadamu mna wivu sana
 
Back
Top Bottom