Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

Nyie mnaowatukana walimu mnalima viazi ni uongo
Mkuu kweli..nimefanya kazi na walimu
Kuna kipindi tulikuwa tunamark Mock ya mwanza..

daaah. Hii kada unapojisimamia unafanyiwa fitina tena na walimu wenzio.

nilipiga chini..nipo nalima huku mapolini mkuu.. nipo juu ya mawe nachat kupata mtandao
 
Kuna mwaka nadhani 2016 walisema wameajiri walimu wa hesabu na sayansi tu lakini cha ajabu nikakutana na dada mmoja mwalimu wa Kiswahili tena kapangiwa DSM. Hahahaa
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
 
Kuna mwaka nadhani 2016 walisema wameajiri walimu wa hesabu na sayansi tu lakini cha ajabu nikakutana na dada mmoja mwalimu wa Kiswahili tena kapangiwa DSM. Hahahaa
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
 
Kutokana na tangazo lilitolewa Jana bungeni kuhusu ajira mpya bira shaka wizara yako ndo mnufaika mkubwa hivyo yafuatayo yazingatiwe
1.wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019 hapa huwa mnatumia njia gani
2. Kwa kuwa watu walishatuma maombi zaidi y mara tatu hususani waliomaliza huko nyuma hahuna haha ya kutuma upya maombi
3.mnapopanga vituo zingatieni maombi ya walioomba mtu anaomba shule A anapelekwa Z
4.mchakato wa kutoa majina usichukue mda mrefu kama huko mwanzo
5.tunajua mtaanza na ndugu zenu ila msisahau walimu waliomaliza 2015
Nawasilisha
Yaani Mimi nilikosa ajira kwa kuwa nimehitimu 2015. Walichukua intake ya 2018,2019 na 2020. Wanaotoa nafasi za ajira ila kigezo ni uwe umehitimu 3 years ago. Huu ni uonevu na ni unfair distribution of wealth. Kwa nini hao nao wasisote kama Sisi? Hatukupenda kutoajiriwa baada ya graduation, mfumo haukutuoa Ajira as a result wanatuengua eti tumemaliza siku nyingi Umri ni Mkubwa wa Ajira. Wenye Ajira wabanwe kwa huu ubaguzi.
 
Yaani Mimi nilikosa ajira kwa kuwa nimehitimu 2015. Walichukua intake ya 2018,2019 na 2020. Wanaotoa nafasi za ajira ila kigezo ni uwe umehitimu 3 years ago. Huu ni uonevu na ni unfair distribution of wealth. Kwa nini hao nao wasisote kama Sisi? Hatukupenda kutoajiriwa baada ya graduation, mfumo haukutuoa Ajira as a result wanatuengua eti tumemaliza siku nyingi Umri ni Mkubwa wa Ajira. Wenye Ajira wabanwe kwa huu ubaguzi.
Kada gani chifu

]
 
UNAPOZUNGUMZA NA KAKA ZAKO JARIBU KU_BEHAVE, MIMI NI DRIVER BY PROFFESIONAL KUTOKA HAPO N. I. T 2011.
NA ACHA KULIA LIA DUNIA HAINA HURUMA. ETI OOH NIMEMALIZA ZAMANI. KIGEZO CHA MTU KUPATA AJIRA NI VYETI VYAKE NA UWEZO WAKE, SIYO MWAKA WA KUMALIZA NDUGU.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hivi tecno ndio inakua inasauti ya juu hivi.
 
Yaani Mimi nilikosa ajira kwa kuwa nimehitimu 2015. Walichukua intake ya 2018,2019 na 2020. Wanaotoa nafasi za ajira ila kigezo ni uwe umehitimu 3 years ago. Huu ni uonevu na ni unfair distribution of wealth. Kwa nini hao nao wasisote kama Sisi? Hatukupenda kutoajiriwa baada ya graduation, mfumo haukutuoa Ajira as a result wanatuengua eti tumemaliza siku nyingi Umri ni Mkubwa wa Ajira. Wenye Ajira wabanwe kwa huu ubaguzi.
kazi ya serikali sio kuajiri. Serikali uajiri pale inapokua na uhitaji wa rasilimali watu.
 
Wivu upi chifu? NI TAASISI UCHWARA AMBAYO INAWEZA KUMUAJIRI MTU KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI.
LABDA ANGESEMA AMEANZA KAZI ZAMANI HIVYO ANA EXPERIENCE YAKUTOSHA, ILA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI NI CHA KIPUUUZI.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mkuu kumaliza zamani kwa sehemu kubwa kunahusishwa na uzoefu/experience. Huwezi sema ww dereva wa mwaka 2011 uwezo wako uwe sawa na dereva aliyemaliza masomo yake mwezi march.2022. ikiwa wakati wote ulikuwa ukiifanyia kazi taaluma yako.

Ajira za ualimu na afya zilikuwa ni ajira za moja kwa moja kutokana na idadi kubwa ya mahitaji huduma zao kwa taifa. Huu mfumo tokea uwe disturbed miaka ya hivi karibuni serikali haijawahi kutoa tamko la moja kwa moja kuwa serikali haitakuwa na ajira za moja kwa moja kwa hao waalimu na watumishi wa afya wataajiriwa interview kwa kufuata vigezo vya uzoefu,gpa,n.k kama ilivyo kwa kada nyingine.

Kitendo cha serikali kutokutoa kauli yoyote juu ya kusitisha ajira za moja kwa moja serikalini na kitendo cha watumishi wa elimu na afya kupangiwa hata kwenye vituo vya kazi tofauti na vile ambavyo waliviomba kuna ashiria kuwa zile ajira za moja kwa moja bado zipo na lile tangazo la kuwataka waombe ajira kwa barua ni kutafuta uthibitisho tu ili kujua ni Nani yupo teyari kuitumikia serikali lakin kujua idadi ya wahitaji ajira.

Ajira za ualimu na afya zinasemamiwa na WIZARA moja kwa moja tofauti na ajira nyingi za kule ajira portal ambazo unakuta zinasimamiwa na taasisi husika mfano ajira za mashirika,halmashauri,n.k
 
Mkuu kumaliza zamani kwa sehemu kubwa kunahusishwa na uzoefu/experience. Huwezi sema ww dereva wa mwaka 2011 uwezo wako uwe sawa na dereva aliyemaliza masomo yake mwezi march.2022. ikiwa wakati wote ulikuwa ukiifanyia kazi taaluma yako.

Ajira za ualimu na afya zilikuwa ni ajira za moja kwa moja kutokana na idadi kubwa ya mahitaji huduma zao kwa taifa. Huu mfumo tokea uwe disturbed miaka ya hivi karibuni serikali haijawahi kutoa tamko la moja kwa moja kuwa serikali haitakuwa na ajira za moja kwa moja kwa hao waalimu na watumishi wa afya wataajiriwa interview kwa kufuata vigezo vya uzoefu,gpa,n.k kama ilivyo kwa kada nyingine.

Kitendo cha serikali kutokutoa kauli yoyote juu ya kusitisha ajira za moja kwa moja serikalini na kitendo cha watumishi wa elimu na afya kupangiwa hata kwenye vituo vya kazi tofauti na vile ambavyo waliviomba kuna ashiria kuwa zile ajira za moja kwa moja bado zipo na lile tangazo la kuwataka waombe ajira kwa barua ni kutafuta uthibitisho tu ili kujua ni Nani yupo teyari kuitumikia serikali lakin kujua idadi ya wahitaji ajira.

Ajira za ualimu na afya zinasemamiwa na WIZARA moja kwa moja tofauti na ajira nyingi za kule ajira portal ambazo unakuta zinasimamiwa na taasisi husika mfano ajira za mashirika,halmashauri,n.k
Nimekuelewa chifu, ila uzoefu unakuja kwa ku practice ulichosomea.
]
 
Alafu kuna madogo wamekuja field last month nao wanasomea ualimu first year 2022

Cha ajabu sasa eti ni baed history kiswahili

Yaan nawangalia naona hawa watoto ni vichaa nn
 
Mkuu kweli..nimefanya kazi na walimu
Kuna kipindi tulikuwa tunamark Mock ya mwanza..

daaah. Hii kada unapojisimamia unafanyiwa fitina tena na walimu wenzio.

nilipiga chini..nipo nalima huku mapolini mkuu.. nipo juu ya mawe nachat kupata mtandao
Walimu wengi ni majungu
 
Yaani Mimi nilikosa ajira kwa kuwa nimehitimu 2015. Walichukua intake ya 2018,2019 na 2020. Wanaotoa nafasi za ajira ila kigezo ni uwe umehitimu 3 years ago. Huu ni uonevu na ni unfair distribution of wealth. Kwa nini hao nao wasisote kama Sisi? Hatukupenda kutoajiriwa baada ya graduation, mfumo haukutuoa Ajira as a result wanatuengua eti tumemaliza siku nyingi Umri ni Mkubwa wa Ajira. Wenye Ajira wabanwe kwa huu ubaguzi.
Lima viazi mkuu
 
Alafu kuna madogo wamekuja field last month nao wanasomea ualimu first year 2022

Cha ajabu sasa eti ni baed history kiswahili

Yaan nawangalia naona hawa watoto ni vichaa nn
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wataajiliwa 2033
 
POINTLESS, WALIMU MNASHIDA SANA HIVI KADA NYINGINE KWANI UWA WANAAJIRIWA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI? AU WANAAJIRIWA KWA COMPETENCE NA VIGEZO VYA MTU? YAANI KUMALIZA ZAMANI NDIYO IWE GUARANTEE YA WEWE KUAJIRIWA? ULIONA WAPI? ACHA KUTAFUTA HURUMA WITH FAKE REASONING. NJOONI AJIRA PORTAL HUKU MUONE KAMA KUNA HIVYO VIGEZO UCHWARA VYA "ETI MIMI NIMEMALIZA ZAMANI".. WATU WANAANGALIA UNA NINI SIYO UMEMALIZA LINI NA INGEPENDEZA SERIKALI IWEKE NA INTERVIEW KWENYE AJIRA ZENU. TUPATE COMPETENT TEACHERS SIYO WATU WANAOTAKA MISHAHARA KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI.
]
Walimu wengi viwango vyao vya ku reason viko chini mno..yani ukiwa na hela usije jaribu kusomesha mwanao shule za kata..utatengeneza felia..mana walimu wao ni felia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna professional ya u driver hiyo hiyo hata hausegirl wanaweza ? Kama unprofessional umefanya wapi desertation?
Umedifend kwa mda gan na vyuo vingap?
Nan alikuwa supervisor wako?
Ni wap ulipoandika journal yeyote?
niambie hata school Dean wako alikuwa nan

Kua
We jamaa mbona mshamba sana..no wonder huna ajira hiyo ya ualimu mpaka sasa.

Unaona kelimika ni kupublish..hujui hata phd watu wananunua.

Tafuta hela acha kulialia kama demu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom